K kibokilimani Senior Member Joined Jul 5, 2020 Posts 144 Reaction score 37 Oct 1, 2020 #341 Itabidi tu hata kama atakuwa hataki ila mpaka yeye amejua hali ngumu ndo maana amewekeza viti maalum
Miss Makandana Member Joined Sep 28, 2020 Posts 83 Reaction score 13 Oct 1, 2020 #342 Bora upumzike katika ishu za siasa tu halima maana hujafanya chochote kazi yako ilikuwa ni kupiga porojo tu
Bora upumzike katika ishu za siasa tu halima maana hujafanya chochote kazi yako ilikuwa ni kupiga porojo tu
M Mtutu wa bunduki Senior Member Joined Jul 6, 2020 Posts 171 Reaction score 31 Oct 1, 2020 #343 Bora aondoke ili akapate hata muda wa kutafuta mume wa kumuowa kwakwe na yeye aitwe mama.
H Handsome wa Urambo Member Joined Sep 29, 2020 Posts 84 Reaction score 20 Oct 1, 2020 #344 Shida ni kwamba alizoe kuwa mbunge na akasahau matatizo ya wanakawe
Traffic JF Senior Member Joined Jul 5, 2020 Posts 136 Reaction score 22 Oct 1, 2020 #345 Huyu bibi aende kijijini sasa akalime mihogo Mana kawe wamesarenda na yeye
Miss Makandana Member Joined Sep 28, 2020 Posts 83 Reaction score 13 Oct 1, 2020 #346 Yaani mdee umekuwa kichefuchefu kwa wanaKawe
K kibokilimani Senior Member Joined Jul 5, 2020 Posts 144 Reaction score 37 Oct 1, 2020 #347 Gwajima kaliamsha dude kawe kama ni ugoro basi umejitia puani ni mwendo wa Chafya halima pumzika.
N Nondo mla Watu Senior Member Joined Sep 28, 2020 Posts 175 Reaction score 29 Oct 1, 2020 #348 Me nasubiri tu matokeo baada ya kumpigia kura Gwaji boy na diwani wa kata yangu bila kumsahau shujaa wetu ako magu
Me nasubiri tu matokeo baada ya kumpigia kura Gwaji boy na diwani wa kata yangu bila kumsahau shujaa wetu ako magu
K kibokilimani Senior Member Joined Jul 5, 2020 Posts 144 Reaction score 37 Oct 1, 2020 #349 Kama ameshindwa miaka 10 hakunasababu za msingi kwenda nae.
M Mtutu wa bunduki Senior Member Joined Jul 6, 2020 Posts 171 Reaction score 31 Oct 1, 2020 #350 Nenda Halima nenda wana Kawe wala hatuta kukumbuka maana hamna zuri lolote ulilotufanyia.
T Tigershark JF-Expert Member Joined Oct 9, 2018 Posts 7,051 Reaction score 12,566 Oct 1, 2020 #351 Naona Gwajima kaona namna pekee ya kupita ni kumshambulia Halima badala ya kuelezea sera zake!
B Bangaloo Member Joined Sep 28, 2020 Posts 57 Reaction score 5 Oct 1, 2020 #352 Maisha yanabadilika sana! Ni zamu ya Gwajima na hilo halipingiki.Tarehe 28.10 ndo tutajua nani ataibuka na ushindi
Maisha yanabadilika sana! Ni zamu ya Gwajima na hilo halipingiki.Tarehe 28.10 ndo tutajua nani ataibuka na ushindi
K kibokilimani Senior Member Joined Jul 5, 2020 Posts 144 Reaction score 37 Oct 1, 2020 #353 Safari ya Halima Mdeee imeshafika mwisho tumeshamchoka uyu mbibi
K kibokilimani Senior Member Joined Jul 5, 2020 Posts 144 Reaction score 37 Oct 1, 2020 #354 Halima anachofanya ni tamaa ya madaraka wakati hana uwezo na nguvu za kuleta mabadiliko.
N Nondo mla Watu Senior Member Joined Sep 28, 2020 Posts 175 Reaction score 29 Oct 1, 2020 #355 Halima hali ni mbaya mpaka ameaumua kuvaa majubaa ili asijulikane maana wananchi wanahasira naye balaa
Halima hali ni mbaya mpaka ameaumua kuvaa majubaa ili asijulikane maana wananchi wanahasira naye balaa
M Mtutu wa bunduki Senior Member Joined Jul 6, 2020 Posts 171 Reaction score 31 Oct 1, 2020 #356 Yawezekana siasa ndiyo zilimfanya asiolewe bora tu aachane nazo anaweza akaolewa.
Traffic JF Senior Member Joined Jul 5, 2020 Posts 136 Reaction score 22 Oct 1, 2020 #357 Safari njema Mdee subiri kidogo uone bingwa akifanya mambo kawe
H Handsome wa Urambo Member Joined Sep 29, 2020 Posts 84 Reaction score 20 Oct 1, 2020 #358 Halima siasi alikuwa amechoka muda tu ndiyo maana alikua ajishughulishi na wanakawe unaweza kuamini miaka kumi yote aliyopewa alichofanya ni jina lake kujulikana kuliko maendeleo aliyoyafanya
Halima siasi alikuwa amechoka muda tu ndiyo maana alikua ajishughulishi na wanakawe unaweza kuamini miaka kumi yote aliyopewa alichofanya ni jina lake kujulikana kuliko maendeleo aliyoyafanya
mjingamimi JF-Expert Member Joined Aug 3, 2015 Posts 42,209 Reaction score 51,004 Oct 1, 2020 #359 Nguvu ya gwajima hii
O Otorong'ong'o JF-Expert Member Joined Aug 17, 2011 Posts 37,957 Reaction score 26,414 Oct 1, 2020 #360 Hizi ID mpya ni kero