Halima Mdee: Mimi pamoja na timu yangu (Wabunge 19) tutabaki kuwa WanaCHADEMA kindakindaki. Tutaenda kuyajenga ndani kwetu

Halima Mdee: Mimi pamoja na timu yangu (Wabunge 19) tutabaki kuwa WanaCHADEMA kindakindaki. Tutaenda kuyajenga ndani kwetu

Vipi huyu,ni Malaya wa nini?View attachment 1638986
Kama wewe ni mwanaume na hauna picha hata moja ya ukiwa umekumbatiwa na mwanamke(rafiki, mke, binti yako, mfanya kazi mwenzako, mwanafunzi mwenzako, mwana kwaya mwenzako, bar maidi, mpango wa kando n.k.) basi una matatizo. Na hivyo hivyo kama wewe ni mwanamke. Acheni unafiki.

Amandla...
 
Wana hara hara tu hawa mama zetu na wadogo zetu! Wamerubuniwa, wameingia mkenge. MZEE MDEE bila haya unatuambia tusome Zaburi: 35 wakati unakula wanawake wa BAVICHA!

Mmepewa ubunge kinyume na katiba, mmeapishwa gereji na aliyewaapisha kumpiga vijembe aliyekuwa mwenyekiti wako [Mbowe].

Mzee HALIMA tunakushauri uanzishe chama kipya na jina liwe COVID-19.
 
Kama wewe ni mwanaume na hauna picha hata moja ya ukiwa umekumbatiwa na mwanamke( rafiki, mke, binti yako, mfanya kazi mwenzako, mwanafunzi mwenzako, mwana kwaya mwenzako, bar maidi, mpango wa kando n.k.) basi una matatizo. Na hivyo hivyo kama wewe ni mwanamke. Acheni unafik.

Amandla...
Imekuuma, Mbowe ni funding sana huko chini
 
Mpaka Hapa Kwa namna alivyoongea Mdee, naiona busara yake na anastahili kuwa MK Chama ama KM Chama, kawazidi wote waliopo kwenye nafasi hiyo.

Waliopo ni wakurupukaji na si waonyesha njia, Uongozi si mihemko, Uongozi ni Hekima na kiongozi hupimwa ktk kutatua Changamoto na si vinginevyo
 
Mpaka Hapa Kwa namna alivyoongea Mdee, naiona busara yake na anastahili kuwa MK Chama ama KM Chama, kawazidi wote waliopo kwenye nafasi hiyo,

Wliopo ni wakurupukaji na si waonyesha njia, Uongozi si mihemko, Uongozi ni Hekima na kiongozi hupimwa ktk kutatua Changamoto na si vinginevyo
MATAGA , Mnataka Mdee awe Mwenyekiti amuondoe Mbowe, aluu, hata Membe anafaa kuwa mwenyekiti wa CCM kwa busara zake na utulivu wake, hata namna anavyoongea kingereza.
 
Wabunge 19 viti maalum kupitia CHADEMA ambao waliapishwa na Spika Ndugai kisha kufutiwa uanachama na chama chao leo wanaongea na waandishi wa habari. Tayari wabunge hao wanawake wamefika ukumbi wa Regency wakiwa wamevalia sare za CHADEMA almaarufu 'Gwanda'. Kuwa nami kukujuza watachokiongea.



=========

9:32 Asubuhi: Halima Mdee na Ester Bulaya kufika baada ya dakika kumi kutokana na kuchelewa

9:45 Asubuhi: Halima Mdee na Ester Bulaya wameingia ukumbini na kinachoendelea ni burudani ya wimbo wa Halima Mdee

9:48 Asubuhi: Ester Lambert anafanya utangulizi na kumkaribisha mzungumzaji, Halima Mdee

Halima Mdee: Niombe radhi kwa kuchelewa dakika 15 kwani ilikuwa tuanze saa tatu na nusu, pili nitambue uwepo wa wazazi wangu wapo na mimi siku zote kwa shida na raha. Tatu nitambue uwepo wa viongozi wenzangu, hawa ni timu ya BAWACHA ambalo tumelizalisha baada ya kazi nzuri sana tuliofanya kujenga baraza nikiwa na timu yangu.

Vile vile tuna viongozi wa chama wanawake na wa kanda pia tuna katibu mkuu wa BAVICHA, Nusrat Hanje mstaafu vilevile tuna wabunge wa Bunge lililopita.

Nimekuja leo kuzungumza na nyie kwa sababu moja kubwa, niliamua kukaa kimya lakini ukikaa kimya vilevile unawapa nafasi wengine wanaongea, wanatengeneza uongo mwingi na uongo ukiwa mwingi unaonekana ni ukweli, imenilazima nije nizungumze kwa nia ya kutuliza haya mambo kwa sababu sio makubwa kama ambavyo yanataka yawe.

Mimi ni mwanachadema na nimekuwa mwanachadema kwa miaka 16 na kwangu mimi ukiacha wazazi wangu, familia yangu ya pili ni CHADEMA na katika muktadha huo maana kuna watu wanasema anakuja kuunga juhudi sijui, pamoja na kwamba mimi na wenzangu tumechukuliwa hatua za kinidhamu na viongozi wetu kwa mantiki ya kamati kuu, niwahakikishie mimi pamoja na timu yangu tutabaki kuwa wanachadema kindakindaki, nataka hilo niliweke wazi.

Mimi sina dhamira ya kuondoka CHADEMA, wenzangu, unaambiwa usiseme nafsi ya mtu lakini kwa historia yao ndani ya chama, hapa sihani kama kuna mtu ana pungufu ya miaka 5 ndani ya chama, kuna miaka 5, wengine wana miaka 10, wengine tuna miaka 16, wengine wana miaka 30 kwahiyo kila mmoja hapa ameijenga CHADEMA, amesaidia kuijenga CHADEMA kwa jasho na damu yake.

Pamoja na changamoto ambayo tunapitia, niwahakikishie wanachadema nchi nzima, Halima mnaemfahamu miaka yote ndio halima yuleyule na uaminifu wake kwa chama utabaki vilevile na ninaamini nikisema Halima maana yake na timu yangu.

Kumekuwa na maneno mengi, kuna watu wanasema Halima amenunuliwa, amepata mpunga mrefu, niseme hivi, mimi Halima Mdee sijawahi kununuliwa, sitanunuliwa, sitarajii kununuliwa.

Watu waliofanya kazi na mimi iwe kwenye chama, bungeni wanajua ukiambiwa taja watu watatu ambao rushwa kwao ni mwiko inawezekana Halima nikawa namba moja. Kwa hiyo mimi sina thamani ya kipande cha fedha, kazi zangu zote nimekuwa nikifanya kwa uaminifu na kwa mapenzi kutoka moyoni, sina maigizo.

Maana sasa hivi wanasema Mdee na wenzake maana mimi ndio napigwa mawe kwelikweli, fedha ukipewa haina siri, yani kama nimepewa bilioni 1, kama milioni 200 haina siri, ama itakuwa kwenye akauti ama itakuwa nyumbani kwenye sandarusi.

Kwakuwa haina siri walionipa watasema kama hapa ninawakana kama hawajanipa, wanasema Halima tulikupa tarehe fulani, hakuna yeyote aliepewa hela na kama kuna mambo yoyote yaliyotokea yalikuwa na dhamira nzuri kabisa ya kujenga taasisi imara, kustreghthen baraza la wanawake.
Sasa tueleze ukweli ilikuwaje hadi ukatuingiza kwenye sintofahamu hii. Weweni kiongozi wa ngazi ya kitaifa. Unaelewa na uneshawahi kushiriki kwenye mchakato wa kuteua wabunge wa viti maalum. Imekuwaje leo ukaamua kukuteua na kwenda kuapishwa na Ndugai kwa utaratibu unaovunja katiba?
 
Wabunge 19 viti maalum kupitia CHADEMA ambao waliapishwa na Spika Ndugai kisha kufutiwa uanachama na chama chao leo wanaongea na waandishi wa habari. Tayari wabunge hao wanawake wamefika ukumbi wa Regency wakiwa wamevalia sare za CHADEMA almaarufu 'Gwanda'. Kuwa nami kukujuza watachokiongea.



=========

9:32 Asubuhi: Halima Mdee na Ester Bulaya kufika baada ya dakika kumi kutokana na kuchelewa

9:45 Asubuhi: Halima Mdee na Ester Bulaya wameingia ukumbini na kinachoendelea ni burudani ya wimbo wa Halima Mdee

9:48 Asubuhi: Ester Lambert anafanya utangulizi na kumkaribisha mzungumzaji, Halima Mdee

Halima Mdee: Niombe radhi kwa kuchelewa dakika 15 kwani ilikuwa tuanze saa tatu na nusu, pili nitambue uwepo wa wazazi wangu wapo na mimi siku zote kwa shida na raha. Tatu nitambue uwepo wa viongozi wenzangu, hawa ni timu ya BAWACHA ambalo tumelizalisha baada ya kazi nzuri sana tuliofanya kujenga baraza nikiwa na timu yangu.

Vile vile tuna viongozi wa chama wanawake na wa kanda pia tuna katibu mkuu wa BAVICHA, Nusrat Hanje mstaafu vilevile tuna wabunge wa Bunge lililopita.

Nimekuja leo kuzungumza na nyie kwa sababu moja kubwa, niliamua kukaa kimya lakini ukikaa kimya vilevile unawapa nafasi wengine wanaongea, wanatengeneza uongo mwingi na uongo ukiwa mwingi unaonekana ni ukweli, imenilazima nije nizungumze kwa nia ya kutuliza haya mambo kwa sababu sio makubwa kama ambavyo yanataka yawe.

Mimi ni mwanachadema na nimekuwa mwanachadema kwa miaka 16 na kwangu mimi ukiacha wazazi wangu, familia yangu ya pili ni CHADEMA na katika muktadha huo maana kuna watu wanasema anakuja kuunga juhudi sijui, pamoja na kwamba mimi na wenzangu tumechukuliwa hatua za kinidhamu na viongozi wetu kwa mantiki ya kamati kuu, niwahakikishie mimi pamoja na timu yangu tutabaki kuwa wanachadema kindakindaki, nataka hilo niliweke wazi.

Mimi sina dhamira ya kuondoka CHADEMA, wenzangu, unaambiwa usiseme nafsi ya mtu lakini kwa historia yao ndani ya chama, hapa sihani kama kuna mtu ana pungufu ya miaka 5 ndani ya chama, kuna miaka 5, wengine wana miaka 10, wengine tuna miaka 16, wengine wana miaka 30 kwahiyo kila mmoja hapa ameijenga CHADEMA, amesaidia kuijenga CHADEMA kwa jasho na damu yake.

Pamoja na changamoto ambayo tunapitia, niwahakikishie wanachadema nchi nzima, Halima mnaemfahamu miaka yote ndio halima yuleyule na uaminifu wake kwa chama utabaki vilevile na ninaamini nikisema Halima maana yake na timu yangu.

Kumekuwa na maneno mengi, kuna watu wanasema Halima amenunuliwa, amepata mpunga mrefu, niseme hivi, mimi Halima Mdee sijawahi kununuliwa, sitanunuliwa, sitarajii kununuliwa.

Watu waliofanya kazi na mimi iwe kwenye chama, bungeni wanajua ukiambiwa taja watu watatu ambao rushwa kwao ni mwiko inawezekana Halima nikawa namba moja. Kwa hiyo mimi sina thamani ya kipande cha fedha, kazi zangu zote nimekuwa nikifanya kwa uaminifu na kwa mapenzi kutoka moyoni, sina maigizo.

Maana sasa hivi wanasema Mdee na wenzake maana mimi ndio napigwa mawe kwelikweli, fedha ukipewa haina siri, yani kama nimepewa bilioni 1, kama milioni 200 haina siri, ama itakuwa kwenye akauti ama itakuwa nyumbani kwenye sandarusi.

Kwakuwa haina siri walionipa watasema kama hapa ninawakana kama hawajanipa, wanasema Halima tulikupa tarehe fulani, hakuna yeyote aliepewa hela na kama kuna mambo yoyote yaliyotokea yalikuwa na dhamira nzuri kabisa ya kujenga taasisi imara, kustreghthen baraza la wanawake.
Halima unasema waliokuwa viongozi wako ni waongo! Kwa neno hilo hauwezi kupata suluhu, insubordination ya kwanza mlipokataa wito na hii ya kuwaita waongo inakazia uhalali wa kufukuzwa uanachama. Halima, fafanua jinsi utakavyoendelea uanachama wako chini ya viongozi wako waongo! Au mtafanya mapinduzi na nyie kuwa viongozi wa CHADEMA?
 
Back
Top Bottom