Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Kila mtu ametoka kwake hapa, hatujawahi kupata ulinzi sio tu wa usalama wa Taifa hata wa mgambo. Hakuna ulinzi wowote, sisi tulindwa na Mungu kwa hiyo ninashauri sana huyo mtu huko ajue kwamba atasubiri sana kama ataweza akanchonganisha na chama changu, atasubiri sana kama anadhani anaweza akanichonganisha na wanachama na Taifa kwa ujumla.
Hili ni kama linaelekea kwa Kigogooo