Halima Mdee na wenzake Washinda kesi dhidi ya CHADEMA. Waendelea kuwa wanachama wa CHADEMA. Kuendelea na Ubunge wao

Halima Mdee na wenzake Washinda kesi dhidi ya CHADEMA. Waendelea kuwa wanachama wa CHADEMA. Kuendelea na Ubunge wao

Mahakama inayohaki ya kuzichallenge katiba zozote za taasis. Pili mtu asipohisi kutendewa haki na taasisi ni mahakama ndio yenye haki ya kupitia maamuzi-unadhani taasisi hizi zisingehojika, watu wake ukandamizwaji ungekuwaje? Nasema haya bila kukwepa ubovu wa mahakama zetu. Tatu hata hukumu hii imeangalia uhalali wa wajumbe wa baraza kuu ndio maana ikahitimisha ilikuwa ni impartial.
Kwa hiyo mahakama walisubiri muda wa miaka mitatu kujua hilo?
 
Pale kulikua hakuna kesi ni mda tu ulikua unasubiriwa hili hayo yatokee naomba kufahamishwa baada ya mahakama kufuta ua muzi wa chadema je kina Madee wataendelea kutambuliwa na chadema kama wanachama wao na ikiwa watakataa kuwatambua sheria inasemaje kwa anayejua naomba anijibu kisheria swali langu baada ya ma amuzi ya mahakama kufuta uamuzi wa baraza kuu chadema italazimika kuwatambua kama wanachama wao au haina ulazima kuwatambua sheria inasemaje juu ya hilo

Mchakato wa kuwafukuza inaanza upya kuanzia Baraza kuu.
 
Mahakama inayohaki ya kuzichallenge katiba zozote za taasis. Pili mtu asipohisi kutendewa haki na taasisi ni mahakama ndio yenye haki ya kupitia maamuzi-unadhani taasisi hizi zisingehojika, watu wake ukandamizwaji ungekuwaje? Nasema haya bila kukwepa ubovu wa mahakama zetu. Tatu hata hukumu hii imeangalia uhalali wa wajumbe wa baraza kuu ndio maana ikahitimisha ilikuwa ni impartial.
Mahakama hii hii iliyosema suala la mgombea binafsi ni la kisiasa hivyo likapelekwe bungeni? Ni kwamba unadhani hatuna ufahamu wa ubovu huu wa mahakama zetu?
 
Kwenye ujumbe wa the state wa "operation imesitishwa the state imesema apewe muda"

"Wabunge wasio na chama waondolewe Bungeni"ni hao walioteuliwa kinyume na utaratibu wa chama!

"Mwakani yaani 2022 kuwe na mwendelezo was kuandika katiba Bunge liundwe sio lazima lihusishe wabunge wote bali wale wenye tija!


"Punguza kukopa kwasasa kwasababu deni la taifa ni kubwa,imarisha ukusanyaji mapato!

Fanya hayo na sisi tutasitisha "Mambo yetu",Tulionya hakusikia na Sasa hayupo!

The state!

Nadhani maagizo yanaendelea kukiukwa sana!!

Ngoja tuone!!
 
Ndugu mwenyekiti anajituliza na bapa muda huu.
 
Mahakama inayohaki ya kuzichallenge katiba zozote za taasis. Pili mtu asipohisi kutendewa haki na taasisi ni mahakama ndio yenye haki ya kupitia maamuzi-unadhani taasisi hizi zisingehojika, watu wake ukandamizwaji ungekuwaje? Nasema haya bila kukwepa ubovu wa mahakama zetu. Tatu hata hukumu hii imeangalia uhalali wa wajumbe wa baraza kuu ndio maana ikahitimisha ilikuwa ni impartial.

Hivi unaweza kuwa mjumbe wa kamati kuu bila kuwa mjumbe wa halmashauri kuu?.
 
Kabisa. Huyu ni muda tu alishachoka. Mimi baada ya blunder ya Lowassa nilijua hakuna mwenyekiti sahihi hapo. Anyway tumevumilia Hadi uchaguzi mkuu wa chama uliopita hakustahili tena. Kwa sasa anaendelea kwa sababu anazojua yeye, lakini sio kukiimarisha chama. Alisema hii 2023 ataachia uenyekiti, lakini naona kajikausha akidhani tumesahau.
Unategemea mzee mbowe aachie nafasi ya uwenyekiti akiwa na nguvu?
 
Back
Top Bottom