Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
Muogope MunguHiz zoote ni sanaa tu za Mbowe na ka-circle kake. DJ Anajua alichofanya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muogope MunguHiz zoote ni sanaa tu za Mbowe na ka-circle kake. DJ Anajua alichofanya
Si ajabu lamama zikarudi kwa Magufuli!
As we speak still wanachama wa chadem take that
Edwin Mtei na Mzee mbowe wana uhusiano gani?gdbless lema na mzee mbowe wana uhusiano gani?yule mrema na Asanga wana uhusiano gani ?Sio kweli.
Kwa hiyo wakili "nguli" Kibatali ameangukia pua licha ya msaada wa chiba?😎
Bado ni wanchama baada ya baraza kuu kunajisi maamuzi ya kamati kuuMahakama kuu haijafuta maamuzi ya kamati kuu ilitowavua uanachama.
Yeah ndio alituingiza kwenye hii mess, tumekua na bunge la hovyo tokea uhuru. Niambie sheria ipi ya maana bunge limepitisha?Si ajabu lamama zikarudi kwa Magufuli!
Unategemea mzee mbowe aachie nafasi ya uwenyekiti akiwa na nguvu?
Braza sawa ila nasukumwa kuamin hivyo. Mdee hana ubavu huu wa kuipelekesha chadema. Alishindwa Zitto, nin Mdee? Huu mchezo Mbowe ndio Refa anajua kinachoendeleaMuogope Mungu
OHiyo umesema wewe. Ila kamati ilitoa maamuzi ya kuwafukuza uanachama, ila Ndugai akawakingia kifua kwenye ubunge. Baraza kuu kazi yake ilikuwa kubariki maamuzi ya kamati kuu sio kusikiliza kesi upya.
OHiyo umesema wewe. Ila kamati ilitoa maamuzi ya kuwafukuza uanachama, ila Ndugai akawakingia kifua kwenye ubunge. Baraza kuu kazi yake ilikuwa kubariki maamuzi ya kamati kuu sio kusikiliza kesi upya.
OoHiyo umesema wewe. Ila kamati ilitoa maamuzi ya kuwafukuza uanachama, ila Ndugai akawakingia kifua kwenye ubunge. Baraza kuu kazi yake ilikuwa kubariki maamuzi ya kamati kuu sio kusikiliza kesi upya.
Rostam ndio nani?Rostam alishatoa jibu kuhusu Hilo.
Ni wanachama pending appeal ya baraza kuu.Bado ni wanchama baada ya baraza kuu kunajisi maamuzi ya kamati kuu
OHiyo umesema wewe. Ila kamati ilitoa maamuzi ya kuwafukuza uanachama, ila Ndugai akawakingia kifua kwenye ubunge. Baraza kuu kazi yake ilikuwa kubariki maamuzi ya kamati kuu sio kusikiliza kesi upya.
Hivi ile michango wanayokamua wananchi maskini kwenye mikutano unafikiri ni hela ndogo?embu fikiria ruzuku ya bilion mbili kila mwezi na hata ofisi hawana ?cdm ni zaidi ya ngombe wa maziwa.Cdm ina maziwa gani, ni hazina ya nchi Nini boss? Au hujui maana ya ng'ombe wa maziwa?
Edwin Mtei na Mzee mbowe wana uhusiano gani?gdbless lema na mzee mbowe wana uhusiano gani?yule mrema na Asanga wana uhusiano gani ?
Na wanajiita Makamanda😭😭😭Chadema ina wapumbavu wengi