Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #201
Acha uongo ww mamlukiMara ya kwanza tangu uzaliwe unakuwa mkweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha uongo ww mamlukiMara ya kwanza tangu uzaliwe unakuwa mkweli
Sitegemei, lakini hastahili tena.Unategemea mzee mbowe aachie nafasi ya uwenyekiti akiwa na nguvu?
Na kule akina Mbowe na wenzake wakiendelea kuvuta ruzuku kila mwezi inayotokana na akina Mdee kuwepo
bungeni. Na wakileta fyoko kukata rufaa, hiyo kesi itamalizika 2027, wallahi tena.
CDM ni mali ya ukooMbowe muda wake umeisha.
Naangalia hapa mahakamani zimejaa sura za wachaga tu hivi chadema mtaacha lini ukabila?
CDM ni mali ya ukoo
Basi vumilia hadi siku ambayo atakuwa hawezi kubeba mguu ndio utaamini kuwa sio mwenyekiti wa chama hata hivyo hata ungekuwa ni wewe hivi unawezaji kuachia ngombe wa maziwa?Sitegemei, lakini hastahili tena.
Maoni yangu juu ya swala hili. Tokea mwanzo nilitatzwa sana na lilivyo wahusisha CHADEMA; niseme wazi, hasa Mwenyekiti Mbowe.Chadema waombeni msamaha hawa wanawake kwa usumbufu mliowasababishia.
JokaKuu zitto junior Bams brazaj Kalamu
Magufuli uendelee kulaaniwa huko uliko inawezekana serikali ya Samia haipendi haya ila wafanyaje?
Still bado wanachamaUbunge ni wa kwenu sisi tunashughulika na uanachama. Maana ubunge waliopewa na CCM na mahakama sio CHADEMA.
Cdm ina maziwa gani, ni hazina ya nchi Nini boss? Au hujui maana ya ng'ombe wa maziwa?Basi vumilia hadi siku ambayo atakuwa hawezi kubeba mguu ndio utaamini kuwa sio mwenyekiti wa chama hata hivyo hata ungekuwa ni wewe hivi unawezaji kuachia ngombe wa maziwa?
Maoni yangu juu ya swala hili. Tokea mwanzo nilitatzwa sana na lilivyo wahusisha CHADEMA; niseme wazi, hasa Mwenyekiti Mbowe.
Pamoja na sifa kubwa nisizoweza kumwondolea Mbowe katika kuiongoza CHADEMA, na hasa wakati mgumu chini ya Magufuli, lakini sina shaka tena na ushiriki wa huyu Mwamba katika maswala ya chinichini; mojawapo likiwa la hawa akina Mdee.
Nilijiuliza sana bila kupata majibu, itawezekana vipi binti huyo, tena mwenye msimamo thabiti chini ya chama chake, afanye maamuzi kama aliyofanya bila ya kuwepo na uhusika wa viongozi wa juu wa chama (soma Mbowe) Alama zote juu ya jambo hilo zilielekea kwa Mbowe; kama zilivyoelekea kwa Mbowe wakati wa ujio wa Lowasa kwenye chama, na kama inavyoonekana sasa chama kuzama kutokana na ahadi za maridhiano.
Mhusika mkuu katika yote haya ni Mbowe. Hakuna sababu tena ya kupigapiga maneno mengine pembeni.
Still bado wanachama
Peter Kibala hajawahi kushinda kesi yoyote
Mahakama kuu haijafuta maamuzi ya kamati kuu ilitowavua uanachama.