Kwa hiyo mahakama walisubiri muda wa miaka mitatu kujua hilo?Mahakama inayohaki ya kuzichallenge katiba zozote za taasis. Pili mtu asipohisi kutendewa haki na taasisi ni mahakama ndio yenye haki ya kupitia maamuzi-unadhani taasisi hizi zisingehojika, watu wake ukandamizwaji ungekuwaje? Nasema haya bila kukwepa ubovu wa mahakama zetu. Tatu hata hukumu hii imeangalia uhalali wa wajumbe wa baraza kuu ndio maana ikahitimisha ilikuwa ni impartial.
Sasa kama ni hivyo mnacholalamika nini?kina mdee si wanaendelea na ubunge wao ?Nani kashindwa. Mahakama inataka Baraza kuu lirudie procedure.
Pale kulikua hakuna kesi ni mda tu ulikua unasubiriwa hili hayo yatokee naomba kufahamishwa baada ya mahakama kufuta ua muzi wa chadema je kina Madee wataendelea kutambuliwa na chadema kama wanachama wao na ikiwa watakataa kuwatambua sheria inasemaje kwa anayejua naomba anijibu kisheria swali langu baada ya ma amuzi ya mahakama kufuta uamuzi wa baraza kuu chadema italazimika kuwatambua kama wanachama wao au haina ulazima kuwatambua sheria inasemaje juu ya hilo
Mahakama hii hii iliyosema suala la mgombea binafsi ni la kisiasa hivyo likapelekwe bungeni? Ni kwamba unadhani hatuna ufahamu wa ubovu huu wa mahakama zetu?Mahakama inayohaki ya kuzichallenge katiba zozote za taasis. Pili mtu asipohisi kutendewa haki na taasisi ni mahakama ndio yenye haki ya kupitia maamuzi-unadhani taasisi hizi zisingehojika, watu wake ukandamizwaji ungekuwaje? Nasema haya bila kukwepa ubovu wa mahakama zetu. Tatu hata hukumu hii imeangalia uhalali wa wajumbe wa baraza kuu ndio maana ikahitimisha ilikuwa ni impartial.
Mkishindwa hamkosi sababu
Usikute huyu ni hakimu wa mahakama. Kichwa empty kinaweza kupokea maelekezo tuNa kule akina Mbowe na wenzake wakiendelea kuvuta ruzuku kila mwezi inayotokana na akina Mdee kuwepo bungeni. Na wakileta fyoko kukata rufaa, hiyo kesi itamalizika 2027, wallahi tena.
Ruzuku za vyama hazitokani na idadi ya wabungeKwa akili yako unaamini kabisa yule mbunge mmoja wa jimbo la NKANSI ndiye anasababisha Msajili wa vyama awape hayo Mabilioni mnayopata!! Check your arithmetic bro
Saafi sana aisee...! Hii ndiyo tafasiri sahihi sasa, chama ni cha wananchi na si cha kiongozi mmoja mkuu hapo ufipani
Kabisa, maana kama ni uozo uko kwenye muhimili mzima wa mahakama. Huwa nawaelewa sana wazungu wanapoamua kutumia mahakama za nje.Hata mahakama ya rufani haiaminiki.
Lema ndio anaandaliwa mkuuMbowe bado hajaandaa mrithi wake kwa sasa.
Sasa kama ni hivyo mnacholalamika nini?kina mdee si wanaendelea na ubunge wao ?
Mkuu uko serious, mabilioni wapewe cdm?Kwa akili yako unaamini kabisa yule mbunge mmoja wa jimbo la NKANSI ndiye anasababisha Msajili wa vyama awape hayo Mabilioni mnayopata!! Check your arithmetic bro
Nimeipokea taarifa mkuu.Hutaki taarifa ?
Mahakama inayohaki ya kuzichallenge katiba zozote za taasis. Pili mtu asipohisi kutendewa haki na taasisi ni mahakama ndio yenye haki ya kupitia maamuzi-unadhani taasisi hizi zisingehojika, watu wake ukandamizwaji ungekuwaje? Nasema haya bila kukwepa ubovu wa mahakama zetu. Tatu hata hukumu hii imeangalia uhalali wa wajumbe wa baraza kuu ndio maana ikahitimisha ilikuwa ni impartial.
Ww mkuda wa ccm ndio kipimo Cha ukweli humu jf?Mara ya kwanza tangu uzaliwe unakuwa mkweli
Unategemea mzee mbowe aachie nafasi ya uwenyekiti akiwa na nguvu?Kabisa. Huyu ni muda tu alishachoka. Mimi baada ya blunder ya Lowassa nilijua hakuna mwenyekiti sahihi hapo. Anyway tumevumilia Hadi uchaguzi mkuu wa chama uliopita hakustahili tena. Kwa sasa anaendelea kwa sababu anazojua yeye, lakini sio kukiimarisha chama. Alisema hii 2023 ataachia uenyekiti, lakini naona kajikausha akidhani tumesahau.