Huyu Tuliya ni mpuuzi na MPUMBAVU fulani hivi. Piechidii gani mjinga hiviiii?Tulia Akson uspika wake umetokana na batili, hivyo ni haramu.
Haramu haikai na haki chungu kimoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu Tuliya ni mpuuzi na MPUMBAVU fulani hivi. Piechidii gani mjinga hiviiii?Tulia Akson uspika wake umetokana na batili, hivyo ni haramu.
Haramu haikai na haki chungu kimoja
Ndugu Chagu wa Malunde hakuna chama cha siasa kilichosajiliwa kisheria Tanzania kinachoitwa CDM...Impliedly jaji Mkeha anakiri wazi kuwa kuwa Kamati kuu ilishawafuta uanachama Mdee na wenzake.
Kosa ni fairness in terms of Natural justice.
Ila anakubali kuwa walifutwa uanachama kihalali.
Lakini shida ni baraza kuu la CHADEMA kuwa na wajumbe wanaojirudia.
Lakini alipaswa kusema kuwa katiba ya JMT ibara ya ya 67 (1) (b) inavunjwa maana Mdee na wenzake sio wanachama wa Cdm ya Mbowe
Job Ndugai?!Angekuwa na PhD asingempokea mtu aliyetolewa gerezani usiku na kuapishwa ubunge.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Job Ndugai aliewaapisha hawa Wanawake Majasiri kutoka Chadema hajawahi kusema ana PhD!Angekuwa na PhD asingempokea mtu aliyetolewa gerezani usiku na kuapishwa ubunge.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mungu mkubwa! Haki imetendeka na Shetani amekiona cha moto.Haya hapa ni baadhi ya Maelezo ya Jaji .
View attachment 2842497
Kama tulivyotarajia , Jaji ameamua hivi .
View attachment 2842542
====
Mahakama kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es salaam imewapa ushindi Halima Mdee na wenzake 18 kwenye kesi yao waliyoiwasilisha Mahakamani hapo dhidi ya Uamuzi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA wa kuwafukuza uanachama Wabunge 19 wakituhumiwa kwenda Dodoma kuapishwa bila idhini ya Chama.
Akisoma Hukumu hiyo Jaji Cyprian Mkeha amesema kitendo cha wajumbe wa Kamati Kuu iliyowafukuza kuwa tena wajumbe wa Baraza kuu ambalo lilisikiliza rufaa yao kinaondoa uhalali wa maamuzi ya Baraza Kuu "Baraza Kuu lilikwenda kinyume na kanuni ya kawaida ya kutokupendelea
Ngoja tuone maana Uamuzi umekaa " Kijanja" sana 😂🔥Hongera Mdee kwa kukomesha udikteta wa mbowe
Ndiyo makosa yenyewe hayo. You can not be a judge of your own course. Hao hao walileta malalamiko na hao hao wakakaa na kuamuaMbona maamuzi yalifanyika kwa kupiga kura na wajumbe wa Baraza Tena kikanda.
Nipe breakdown ya fedha inazopokea CHADEMA kama ruzuku halafu weka mahesabu zinapatikana kivipiRuzuku za vyama hazitokani na idadi ya wabunge
Unajidanganya maswala ya haki yanakinzana na huu upupu wako ,yaani mzee mbowe anatoa hukumu kupitia KK na huyo huyo mzee Mbowe anakuwa mwenyeketi wa kutolea maamuzi rufaa ya wahanga? Kwa kweli chadema ina wajinga aisee...hakuna Baraza kuu la chama chochote linaloketi, au kufanya maamuzi, bila Mwenyekiti, na viongozi wakuu wa chama, kushiriki.
..Jaji alitakiwa kuangalia na kuzingatia kama rufaa ya kina Halima ilisikilizwa kwa kufuata vile Katiba ya Chadema inavyoelekeza.
Haiwezekani ujue mambo ya chadema kiasi hiki usiwe Mangi acha kutupotosha aisee.Mimi sio mangi, tafadhali Sana. CHADEMA inachukua Ruzuku ya shilingi milioni 109 kwa mwezi na CCM inalamba bilioni 1.33 kwa mwezi .
Ni vigumu saana kwa vilaza wa chadema kuelewa ulichoimanisha hapa😭😭😭Lakini kisheria huwezi kuwa mtoa hukumu ya kwanza halafu pia ukawepo wakati wa kusikiliza rufaa.
Hivi nawe unaitwa baba fulani?Huna ujualo zaidi ya kupiga siasa mfu hapa jukwaani, chama pekee kinachofikisha ruzuku ya Bilioni Moja @month ni ccm. Hakuna chama chochote kinafikisha hata 120m kwa mwezi. Kwa figure hii ndio nimejua naongea na mjinga mwenye umri mkubwa.
Ndiyo maanake hakuna kifichoNdio tukubaliane na Rostam kwamba Majaji wa Kisutu na Mahakama Kuu wanapigiwa simu moja tu na wanafanya maamuzi. Ndicho kinachotokea
Always with a petty mind!Tunakumbushana tu
Lolote laweza kutokea
Mh Dr Tulia Mwansasu PhD ni Spika wa Dunia nzima
Mlale Unono 😀😀
Unaumwa?Huyo rufaa utasimama wewe kama jaji ilo utamke hayo!