Halima Mdee na wenzake Washinda kesi dhidi ya CHADEMA. Waendelea kuwa wanachama wa CHADEMA. Kuendelea na Ubunge wao

Halima Mdee na wenzake Washinda kesi dhidi ya CHADEMA. Waendelea kuwa wanachama wa CHADEMA. Kuendelea na Ubunge wao

Ndugu Chagu wa Malunde hakuna chama cha siasa kilichosajiliwa kisheria Tanzania kinachoitwa CDM...

Na bila shaka hapa ulikuwa unamaanisha Chama Cha Demokrasia na Maendeleo abbreviated as CHADEMA, au siyo..?

Hili kosa la kiuandishi linafanywa mara kwa mara na watu wengi sana.

Contextually humu mtu akiandika CDM akimaanisha CHADEMA, likely anaweza kueleweka na wasomaji wenzake..

Lakini inakuwa ni makosa makubwa kuandika CDM katika nyaraka rasmi...

Na hili kosa ndilo lililotumiwa na wasimamizi wa uchaguzi wa serikali la mitaa wa mwaka 2019 kuwaengua baadhi ya wagombea wa CHADEMA kwa kuandika CDM ktk fomu zao za kuombea uteuzi mahali walipopaswa kuandika CHADEMA kama chama kinachowadhamini kugombea nafasi zao...

Si ajabu wengine wapo humu humu JF and they're still making the same horrible mistake...

CDM siyo CHADEMA na CHADEMA sio CDM. Hivi ni vyama viwili tofauti kabisa. Kimoja kimesajiliwa kisheria huku kingine hakijulikani ni nini na ni cha wapi..

Kwa uzi huu, mimi nimejikita hapa tu.

Hata hivyo kuhusu maamuzi ya Jaji, literally hukumu yake ilipaswa itamke hivyo.

Kinachofanyika ni kuwa, hata mahakama zetu zilishaingiliwa na ugonjwa wa siasa. Jaji badala atamke hukumu moja kwa moja kama inavyopaswa kutamka kwa sababu ndivyo ilivyo, yeye anacheza na maneno kwa kuusema ukweli kwa kuuficha bila ulazima wowote wa kufanya hivyo..
Nimefuta na kurekebisha. CHADEMA Ya Mbowe
 
Jaji mwenyewe kaletewa hukumu kusoma kwenye bahasha akiwa mahakamani imeletwa na polisi, kimsingi hata Jaji anaishangaa hii hukumu
 
Unajidanganya maswala ya haki yanakinzana na huu upupu wako ,yaani mzee mbowe anatoa hukumu kupitia KK na huyo huyo mzee Mbowe anakuwa mwenyeketi wa kutolea maamuzi rufaa ya wahanga? Kwa kweli chadema ina wajinga aisee.

..Mwenyekiti ana kura moja kati ya mamia ya kura za wajumbe wa Baraza kuu.

..Mheshimiwa Jaji amechemka ktk maamuzi yake.
 
..Mwenyekiti ana kura moja kati ya mamia ya kura za wajumbe wa Baraza kuu.

..Mheshimiwa Jaji amechemka ktk maamuzi yake.
Rudi shule Mangi ,mzee mbowe alikuwa mwenyekiti kwenye vikao vyote ,elewa neno Mwenyekiti
 
Jana tarehe 14 Desemba hukumu ya wananchama wa CHADEMA waliofukuzwa imetolewa. Tumeona dosari iliyotajwa na Mhe. Jaji kuwa uamuzi a Baraza Kuu haukuwa halali kuwafukuuza kwa sababu Wajumbe waliofanya uamuzi wa Kamati Kuu ya kuwafukuza tena walishiriki katika Baraza Kuu kuwafukuza jambo ambalo siyo sawa. Sasa ninauliza swali, Kama Baraza Kuu la CHADEMA likikaa tena na kuwaita na wakakataa wito, Je uamuzi wa kuwafukuza utakuwa halali?. Je uamuzi wa Baraza Kuu kama watawasilisha Bungeni utaheshimika?. Naomba kuwasilisha.
 
Imedhihirika wazi ninyi ni wabunge wa CCM kupitia CHADEMA na mpo bungeni kwa maslahi yenu binafsi kuliko maslahi ya watanzania.

Nyie 19 labda mhamie CCM la sivyo 2025 mtatutambua sisi wapiga kura!

Na hatuwezi kuendelea kutumia mahakama za CCM kutoa haki kwenye masuala ya uchaguzi.
 
Hata wao Wana akili timamu. Sidhani kama wataendelea kugombea wakiwa Chadema. Ila kwa CCM tunawakaribisha sana 2025! CCM haimbagui mtu ili mradi anaikiri itikadi ya chama.
 
Tusidanganyane hapa wabunge wapo bungeni kwanza kwa masilahi yao binafsi kisha ndio masilahi ya umma, si ccm si upinzani.
 
Imedhihirika wazi ninyi ni wabunge wa CCM kupitia Chadema na mpo bungeni kwa maslahi yenu binafsi kuliko maslahi ya watanzania.

Nyie 19 labda mhamie CCM la sivyo 2025 mtatutambua sisi wapiga kura!

Na hatuwezi kuendelea kutumia mahakama za CCM kutoa haki kwenye masuala ya uchaguzi.
Hongera mdee kwa kukomesha udikteta wa mbowe
 
Wewe mtoto mdogo utatufanya nin Sisi ,tumeshika Kila kona mahakaman,polisi ,jeshin ,bungeni hadi ikulu
 
Chadema wanatakiwa Waitishe BARAZA KUU haraka Kama Mahakama ilivyoelekeza kisha Bunge lijulishwe tuone UJINGA upo Wapi tena

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
Hahaha! Unadhani ndiyo dawa? Hakuna kitu hapo. Kama miaka yote wagombea wa vyama vyote vya siasa wamekuwa wakijaza fomu za kugombea na walikuwa wakigombea, then mwaka 2020 tu ndiyo ikaonekana wagombea wa upinzani hawajui kujaza fomu isipokuwa wa CCM tu, unadhani watakosa kisingizio kingine? Halafu jambo lingine kama kuamua tu hivyo mahakama ilivyoamua kumechukua almost miaka 2 (kama sikosei), uamuzi kama huu kwa mtu anayetafuta haki unamfaa kweli?
 
Back
Top Bottom