Halima Mdee na wenzake Washinda kesi dhidi ya CHADEMA. Waendelea kuwa wanachama wa CHADEMA. Kuendelea na Ubunge wao

Halima Mdee na wenzake Washinda kesi dhidi ya CHADEMA. Waendelea kuwa wanachama wa CHADEMA. Kuendelea na Ubunge wao

Tulia Akson uspika wake umetokana na batili, hivyo ni haramu.

Haramu haikai na haki chungu kimoja
Huyu Tuliya ni mpuuzi na MPUMBAVU fulani hivi. Piechidii gani mjinga hiviiii?
 
Impliedly jaji Mkeha anakiri wazi kuwa kuwa Kamati kuu ilishawafuta uanachama Mdee na wenzake.

Kosa ni fairness in terms of Natural justice.

Ila anakubali kuwa walifutwa uanachama kihalali.

Lakini shida ni baraza kuu la CHADEMA kuwa na wajumbe wanaojirudia.

Lakini alipaswa kusema kuwa katiba ya JMT ibara ya ya 67 (1) (b) inavunjwa maana Mdee na wenzake sio wanachama wa Cdm ya Mbowe
Ndugu Chagu wa Malunde hakuna chama cha siasa kilichosajiliwa kisheria Tanzania kinachoitwa CDM...

Na bila shaka hapa ulikuwa unamaanisha Chama Cha Demokrasia na Maendeleo abbreviated as CHADEMA, au siyo..?

Hili kosa la kiuandishi linafanywa mara kwa mara na watu wengi sana.

Contextually humu mtu akiandika CDM akimaanisha CHADEMA, likely anaweza kueleweka na wasomaji wenzake..

Lakini inakuwa ni makosa makubwa kuandika CDM katika nyaraka rasmi...

Na hili kosa ndilo lililotumiwa na wasimamizi wa uchaguzi wa serikali la mitaa wa mwaka 2019 kuwaengua baadhi ya wagombea wa CHADEMA kwa kuandika CDM ktk fomu zao za kuombea uteuzi mahali walipopaswa kuandika CHADEMA kama chama kinachowadhamini kugombea nafasi zao...

Si ajabu wengine wapo humu humu JF and they're still making the same horrible mistake...

CDM siyo CHADEMA na CHADEMA sio CDM. Hivi ni vyama viwili tofauti kabisa. Kimoja kimesajiliwa kisheria huku kingine hakijulikani ni nini na ni cha wapi..

Kwa uzi huu, mimi nimejikita hapa tu.

Hata hivyo kuhusu maamuzi ya Jaji, literally hukumu yake ilipaswa itamke hivyo.

Kinachofanyika ni kuwa, hata mahakama zetu zilishaingiliwa na ugonjwa wa siasa. Jaji badala atamke hukumu moja kwa moja kama inavyopaswa kutamka kwa sababu ndivyo ilivyo, yeye anacheza na maneno kwa kuusema ukweli kwa kuuficha bila ulazima wowote wa kufanya hivyo..
 
Tuna uandishi wa kikasuku usiozingatia taaluma. Yani mtu anaokota habari bila kuilewa vizuri anaichapa. Ndio maana baadhi ya vyuo vya habari kama SAUT ukisoma uandishi lazima usome Media Law, Human Rights Law na Constitutional Law. Pia kuna option za Criminal Procedure Law na Law of Evidence ili ukiripoti mambo ya kisheria usiwe tabula rasa (angalau uwe na uelewa kidogo).

Anyway; ngoja nitoe shule kidogo maana wengi wamepotoshwa eti akina Halima wamerudishiwa uanachama. SI KWELI. Kwanza ieleweke hawakufukuzwa uanachama na Baraza Kuu, bali Kamati kuu (angalia next slide). Kamati Kuu iliwafurusha tar.27/11/2020 na uamuzi huo kutangazwa na Mwenyekiti Mbowe tar.28/11/2020.

Akina Halima wakakata rufaa Baraza kuu ambalo liliketi tar.12 May 2022 na kubariki maamuzi ya Kamati kuu. Akina Halima wakaenda Mahakamani kupinga maamuzi ya Baraza kuu.

Hoja zao;
1. Hawakupewa haki ya kusikilizwa.
2. Suala lao kushughulikiwa kwa dharura
3. Kuhofia usalama wao
4. Wajumbe wa Kamati kuu kuwa pia wajumbe wa Baraza kuu na hivyo kuathiri maamuzi (law of impartiality).

Leo Jaji Cyprian Mkekha ametoa maamuzi yafuatayo;

1. Kuhusu haki ya kusikilizwa amesema waleta maombi (akina Halima) walipewa haki ya kusikilizwa lakini wakaamua kutokuitumia.

2. Kuhusu suala lao kushughulikiwa kwa dharura, amesema Chadema walikua na haki ya kushughulikia kwa dharura kwa mujibu wa Katiba yao ibara ya 6.5.1(d)

3. Kuhusu kuhofia usalama wao, Jaji Mkekha amesema hoja hiyo haina mashiko maana waleta maombi (akina Halima) hawakuripoti kwenye chombo chochote cha usalama.

4. Kuhusu "Law of Impartiality" hapa ndo pameleta shida. Jaji Mkekha amesema haikua sahihi wajumbe wa Kamati kuu (iliyowafukuza uanachama akina Halima), kushiriki kikao cha Baraza kuu ambacho kilisikiliza rufaa zao. Amebatilisha maamuzi ya Baraza kuu kwa sababu ya kuhudhuriwa na wajumbe wa Kamati kuu.

Kwa kifupi Jaji Mkekha amesema Baraza kuu la Chadema likae tena (bila uwepo wa wajumbe wa Kamati kuu) na lipitie upya rufaa za akina Halima. Kwahiyo akina Halima bado SIO WANACHAMA WA CHADEMA mpaka Baraza kuu litakapopitia upya rufaa zao. Kama hujaelewa muite Miso Misondo umuulize Malisa amepigaje hapo?
FB_IMG_1702595271979.jpg
FB_IMG_1702595278387.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya hapa ni baadhi ya Maelezo ya Jaji .

View attachment 2842497
Kama tulivyotarajia , Jaji ameamua hivi .

View attachment 2842542

====

Mahakama kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es salaam imewapa ushindi Halima Mdee na wenzake 18 kwenye kesi yao waliyoiwasilisha Mahakamani hapo dhidi ya Uamuzi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA wa kuwafukuza uanachama Wabunge 19 wakituhumiwa kwenda Dodoma kuapishwa bila idhini ya Chama.

Akisoma Hukumu hiyo Jaji Cyprian Mkeha amesema kitendo cha wajumbe wa Kamati Kuu iliyowafukuza kuwa tena wajumbe wa Baraza kuu ambalo lilisikiliza rufaa yao kinaondoa uhalali wa maamuzi ya Baraza Kuu "Baraza Kuu lilikwenda kinyume na kanuni ya kawaida ya kutokupendelea
Mungu mkubwa! Haki imetendeka na Shetani amekiona cha moto.
 
Katiba ya CHADEMA inasemaje kuhusu Uwezo wa Kamati Kuu ya Chama kuwavua uanachama Wanachama wake?

Kwa mujibu wa Katiba ya CHADEMA Rufaa imetafsiriwaje?

Je, Halima Mdee na wenzake wanafiti kwa nafasi ya Ubunge wa Mahakama?

Jumaa kareem 😀
 
Mbona maamuzi yalifanyika kwa kupiga kura na wajumbe wa Baraza Tena kikanda.
Ndiyo makosa yenyewe hayo. You can not be a judge of your own course. Hao hao walileta malalamiko na hao hao wakakaa na kuamua
 
..hakuna Baraza kuu la chama chochote linaloketi, au kufanya maamuzi, bila Mwenyekiti, na viongozi wakuu wa chama, kushiriki.

..Jaji alitakiwa kuangalia na kuzingatia kama rufaa ya kina Halima ilisikilizwa kwa kufuata vile Katiba ya Chadema inavyoelekeza.
Unajidanganya maswala ya haki yanakinzana na huu upupu wako ,yaani mzee mbowe anatoa hukumu kupitia KK na huyo huyo mzee Mbowe anakuwa mwenyeketi wa kutolea maamuzi rufaa ya wahanga? Kwa kweli chadema ina wajinga aisee.
 
Mimi sio mangi, tafadhali Sana. CHADEMA inachukua Ruzuku ya shilingi milioni 109 kwa mwezi na CCM inalamba bilioni 1.33 kwa mwezi .
Haiwezekani ujue mambo ya chadema kiasi hiki usiwe Mangi acha kutupotosha aisee.
 
Huna ujualo zaidi ya kupiga siasa mfu hapa jukwaani, chama pekee kinachofikisha ruzuku ya Bilioni Moja @month ni ccm. Hakuna chama chochote kinafikisha hata 120m kwa mwezi. Kwa figure hii ndio nimejua naongea na mjinga mwenye umri mkubwa.
Hivi nawe unaitwa baba fulani?
 
Hao wabunge wanamaliza muda wao 2025...

Haya makelele mengine ni amsha amsha tu Chadema iendelee kusikika...
 
Back
Top Bottom