Halima Mdee na wenzake Washinda kesi dhidi ya CHADEMA. Waendelea kuwa wanachama wa CHADEMA. Kuendelea na Ubunge wao

Halima Mdee na wenzake Washinda kesi dhidi ya CHADEMA. Waendelea kuwa wanachama wa CHADEMA. Kuendelea na Ubunge wao

John.
Wewe ni mfano halisi wa jinsi Watanzania wameoza.

Wanapenda mapato ya aibu bila kujali wameyapata kwa haki au kupora.

wanapenda upendeleo bila kujali wamevunja sheria kiasi gani.

wanashangilia ushinda hata kama ni ushindi wa kumwaga damu.

Ukweli ni kwamba hakika tutaulipia uovu wetu
Shujaa Magufuli na Spika mstaafu Mshauri wa Askofu mkuu wa Canterbury mh Job Ndugai ni miongoni mwa Viongozi makini Taifa Hili limewahi kuwapata

Mungu wa mbinguni mbariki Mzee Ndugai

Mungu wa mbinguni mrehemu Shujaa Magufuli
 
Kwa hukumu hii niseme tu uchaguzi wa ndani ya chama unakwenda kuvurugwa kuanzia mwenyekiti wa chama hadi mashinani tutapandikiziwa viongozi ambao hata fomu hawatochukua na haraka haraka msajili atatangaza kuwatumbua.

Nilionya kule BAWACHA wachague mwenyekiti wamezubaa sasa mdee karejea, sasa akirudi ofisini jumatatu kudai kiti chake mtafanyeje na kipo wazi?

Mbowe kwa hili hapana umeshindwa kuwa aggressive enough, wameshajua tukiporwa hatuna cha kufanya. Ilipaswa walau mmoja atekwe abinywe mpaka ataje wenzake na waliowatuma tungesolve haya maigizo ila kuendelea kucheka cheka hivi tusishangae Mdee akawa mgombea Urais 2025 bila kuchaguliwa na chama.

This is nonsense
 
Kwa hukumu hii niseme tu uchaguzi wa ndani ya chama unakwenda kuvurugwa kuanzia mwenyekiti wa chama hadi mashinani tutapandikiziwa viongozi ambao hata fomu hawatochukua na haraka haraka msajili atatangaza kuwatumbua.

Nilionya kule BAWACHA wachague mwenyekiti wamezubaa sasa mdee karejea, sasa akirudi ofisini jumatatu kudai kiti chake mtafanyeje na kipo wazi?

Mbowe kwa hili hapana umeshindwa kuwa aggressive enough, wameshajua tukiporwa hatuna cha kufanya. Ilipaswa walau mmoja atekwe abinywe mpaka ataje wenzake na waliowatuma tungesolve haya maigizo ila kuendelea kucheka cheka hivi tusishangae Mdee akawa mgombea Urais 2025 bila kuchaguliwa na chama.

This is nonsense
Mdee arudi Chadema ! atapita njia gani ?
 
Halima ameshakula sana pesa za Ubunge....anaenda kustaafu au kuhamia CCM 2025.
 
Kwamba wajumbe wa kamati kuu waliotoa hukumu, hawapaswi kuwa sehemu ya baraza kuu linalosikiliza rufaa ya kamati kuu. PRINCIPLE OF BIASNESS.

Very logical reasoning.
 
Kwamba wajumbe wa kamati kuu waliotoa hukumu, hawapaswi kuwa sehemu ya baraza kuu linalosikiliza rufaa ya kamati kuu. PRINCIPLE OF BIASNESS.

Very logical reasoning.
Huyo Jaji maana yake anaipinga Katiba ya Chadema , anaipinga kama nani ?
 
Wasingeandika barua ya kuomba kuhairisha ujio wao, basi maamuzi ya baraza kuu yangekuwa ni halali.

Lakini kwa vile walijibu barua ya wito kwa kutoa udhuru basi ilibidi busara za viongozi wa CHADEMA kuitisha kikao kingine kwenye convinient yao na kuwasikiliza.

Mahakama imetenda haki, na baraza bado lina nafasi ya kuwaita tena
 
Mdee arudi Chadema ! atapita njia gani ?
Karudishiwa uanachama, atapelekwa na escort ya Polisi kama Selasini pale NCCR. Chadema tuwe serious otherwise yatatukuta ya NCCR na CUF kupachikiwa wenyeviti wasiowataka. Huyo sharifa ni kaimu tu so msajili hamtambui, kule BAVICHA hakuna katibu mkuu so nusrat atairudia post yake!! Why chadema tumekua wazembe hivi?

Cc John Mnyika
 
Karudishiwa uanachama, atapelekwa na escort ya Polisi kama Selasini pale NCCR. Chadema tuwe serious otherwise yatatukuta ya NCCR na CUF kupachikiwa wenyeviti wasiowataka. Huyo sharifa ni kaimu tu so msajili hamtambui, kule BAVICHA hakuna katibu mkuu so nusrat atairudia post yake!! Why chadema tumekua wazembe hivi?

Cc John Mnyika
Hata katika hukumu yao hiyo duni hakuna mahali iliposema wanarejeshewa uongozi .
 
Back
Top Bottom