zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Ndio nakuelewesha kwamba hicho ni kivuli tu mbona barua ya kuwatimua kina Lwakatare ilikataliwa kwamba minutes haziko properly arranged!!!Tusibishane sana hapa, utaratibu wa kawaida unajulikana ofisi zote hufanya kazi kwa barua, hii ni kwa ajili ya records mbele yabsafari zikihitajika, na sio vinginevyo.
Suala la Happi na polisi huo ni ujinga tu wa CCM na mawakala wao, usiubebe huo ukaupeleka kwenye mambo mengine ya kawaida, utafeli.
Na hiyo barua tutaambiwa font haisomeki, karatasi sio A4 etc. Lakini kwa CCM hayo ya compliance huwa hayafuatiliwi kabisa unakuta Lissu akikosoa serikali mtandaoni anakamatwa ila akisema mtandaoni anataka kuuawa anaambiwa "Polisi Hatufanyii kazi taarifa za mtandaoni".
Tuache double standards, Sheria zifuatwe kwa pande zote sio kwa upinzani ndio wanakua critical ila kwa CCM na Lipumba hukumu ilitekelezwa ndani ya lisaa limoja ya press release.