Halima Mdee: Walichofanya wajumbe wa Baraza Kuu CHADEMA ni Uhuni! Mimi ni CHADEMA, nitaendelea kuwa CHADEMA

Nawashauri waende umoja party. Watafanikiwa
 
Ukweli ni kwamba Mbowe na Mnyika wanajua wamewasaliti kina Mdee. Mawasiliano ya simu yapo na sauti. Subirini labda wasiende mahakamani.
Ngoja tusubiri Marine azam stand ya Magufuli.

Lets wait!
 
DJ Niletee picha ya Halima Mdee akibusu picha ya hayati.
 
Ukweli ni kwamba Mbowe na Mnyika wanajua wamewasaliti kina Mdee. Mawasiliano ya simu yapo na sauti. Subirini labda wasiende mahakamani.
Mkuuu samahani , unataka kusema hao wabunge 19 akina mdee na wenzake walipewa ruhusa kutoka kwa mbowe na mnyika ,?!?! Na kama ni ivyo hii inawezekanaje ?!
 
Vyama viko vingi ,ulitegemea ule pesa au wao Wana njaa wakubaliane na nyie?

Vyama viko vingi hamieni ACT Wazalendo
 
Ni uhuni au ukatili?.

Maana hapa ni kama kukatiwa bomba linaloleta maji nyumbani kwako.
 
Hivi umemsikiliza vizuri Mbowe kwenye hotuba yake?

Timu ya watu 10 wa Chadema watakutana na Rais na timu yake, sasa kama Rais mnamtambuwa ni kwa nini wabunge wasiende kuapishwa?

Acheni siasa za itikadi kali mambo yamebadirika na huyu mama ndio Suluhu yenyewe, hii sio awamu ya kuipoteza.
 
Mkuuu samahani , unataka kusema hao wabunge 19 akina mdee na wenzake walipewa ruhusa kutoka kwa mbowe na mnyika ,?!?! Na kama ni ivyo hii inawezekanaje ?!

Ndio utajua maana ya siasa. Mnyika na Mbowe wanajua na ndio waliwaelekeza. Wewe muiteni msajili mahakamni kitalipuka labda waache tu kuweka milage ya Chama kisiasa.
Wengi mnashangaa inakuaje Mdee na uelewa wake aende bila Mbowe kujua.
Ukikurupuka hutaelewa. Tulia utafakari.
 
Kina Halima watafanya delaying techniques, wataenda Mahakamani.

So bado wana nafasi za kula hela ya nchi kidogo.

Unless otherwise iwe ni makubaliano kati ya Mbowe na Samia kua watimue na bungeni tuwatimue mlete wengine.
Hangaya hawezi kuruhusu kurithi maadui wa awamu ya 5,huku maadui hawa wakimharibia ktk uongozi.
 
Mdee na wenzake ni vibaka , piga chini
 
Kwani sabaya baada ya ile hukumu ya kwanza hakutumikia kifungo hatawakati wa kusikiliza rufaa?Hukumu imetoka,watatumikia mpaka hapo itakapobatilishwa.
 
Hawa wameshajiona kama wamekuwa chama ndani ya chama hakuna mtu atakubali kuwa na kikundi kisichokuwa na nidhamu na kuheshimu uongozi wa juu hakuna anaweza kuvumilia watu wa aina hii kiwe chama chochote au hata kikundi cha kwaya tu huwezi kuvumilia mtu au watu wasiokuwa na nidhamu hata siku moja.
 
Kughushi na kupiga kura wazi Ni Nani mhuni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…