econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Kazi ya mahakama kuendesha kesi
Ndio nimeuliza kesi gani. Unaendaje kudai uanachamai mahakamani wakati chama kimekufukuza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi ya mahakama kuendesha kesi
Aaghh wapiUlaji ndio lengo la Mbowe😅 hawezi kukuweka kama hapati chakula kidogo hapo
Kwikwikwiii!RIP Shujaa!!!
Hapa ndio watakuwa wamefika kilele cha UHUNI wenyewe.Kina Halima watafanya delaying techniques, wataenda Mahakamani.
So bado wana nafasi za kula hela ya nchi kidogo.
Ngoja tusubiri Marine azam stand ya Magufuli.Ukweli ni kwamba Mbowe na Mnyika wanajua wamewasaliti kina Mdee. Mawasiliano ya simu yapo na sauti. Subirini labda wasiende mahakamani.
Mkuuu samahani , unataka kusema hao wabunge 19 akina mdee na wenzake walipewa ruhusa kutoka kwa mbowe na mnyika ,?!?! Na kama ni ivyo hii inawezekanaje ?!Ukweli ni kwamba Mbowe na Mnyika wanajua wamewasaliti kina Mdee. Mawasiliano ya simu yapo na sauti. Subirini labda wasiende mahakamani.
Dar es Salaam. Aliyekuwa mwanachama wa Chadema, Halima Mdee amesema hakukuwa na uhuru kwa wajumbe wa Baraza Kuu la chama hicho katika upigaji wa kura na kwamba, kilichofanyika ndani ya Baraza hilo ni uhuni.
Matokeo ya jumla
Idadi ya wajumbe 423
Waliokubalina na maamuzi ya Kamati ya kuwafukuza Uanachama ni 413 sawa 97.6%
Wasiokubaliana na uamuzi wa Kamati kuu ni 5 sawa na 1.2%
Wasiofungamana na upande wowote ni 5 sawa na 1.2%
====
UPDATES ;
=====
Habari zaidi kutoka Gazetini;
Dar es Salaam. Aliyekuwa mwanachama wa Chadema, Halima Mdee amesema hakukuwa na uhuru kwa wajumbe wa Baraza Kuu la chama hicho katika upigaji wa kura na kwamba, kilichofanyika ni uhuni.
Mdee ambaye amepata kuwa mbunge wa Jimbo la Kawe na Katibu wa Baraza la Wanawake wa Chadema, Bawacha, ni miongoni mwa makada walifukuzwa baada ya Bazara Kuu kubariki uamuzi wa Kamati Kuu ya Chadema kuwafukuza ndani ya chama kwa kukubali kwenda kuapishwa na kuwa wabunge kinyume cha matakwa ya chama hicho.
Matokeo ya jumla
Idadi ya wajumbe 423
Waliokubalina na maamuzi ya Kamati ya kuwafukuza Uanachama ni 413 sawa 97.6%
Wasiokubaliana na uamuzi wa Kamati kuu ni 5 sawa na 1.2%
Wasiofungamana na upande wowote ni 5 sawa na 1.2%
Chanzo: Mwananchi
Hivi umemsikiliza vizuri Mbowe kwenye hotuba yake?Huu uamuzi kama ukifanyika ndio unaenda kuwa mwanzo wa tatizo jingine, hapa zitakuja assumptions za kila aina toka kwa maadui wa Chadema.
Hapa utatumika ukanda, ukabila, mahusiank, dini, na sababu nyingine zote ili kuhalalisha kina Mdee wameonewa ili wawekwe watu wao.
Nawashauri Chadema wabaki na msimamo wao wa mwanzo, kutoyatambua matokeo ya ubunge na Urais wa 2020 na kutopeleka wabunge bungeni, kama shida ni ruzuku, waendelee kuokoteza mitaani kama wanavyofanya.
Kwangu ni bora kupitia machungu ili kulinda heshima, kuliko kubadili msimamo wako na kupata kingi huku ukijipotezea heshima, hapa wasiyumbe kimsimamo.
Hakuna namna wanaweza "substitute" maamuzi yao ya mwanzo kwa kupeleka majina mengine bungeni ikiwa athari za uchaguzi ule bado zipo mpaka leo, hata kama serikali imebadilika.
Ipo ya mazishi ya magu tuu na ya ndugai Hana vidole Vya miguuniWeka picha inayowaonyesha wakiwa wamegoma
Usijali Sasa utasikia sauti ya kinanda ya Joyce mukya. Lengo limetimiaBinafsi nasikitika sana kuipoteza sauti ya zege bungeni..
Mkuuu samahani , unataka kusema hao wabunge 19 akina mdee na wenzake walipewa ruhusa kutoka kwa mbowe na mnyika ,?!?! Na kama ni ivyo hii inawezekanaje ?!
Hangaya hawezi kuruhusu kurithi maadui wa awamu ya 5,huku maadui hawa wakimharibia ktk uongozi.Kina Halima watafanya delaying techniques, wataenda Mahakamani.
So bado wana nafasi za kula hela ya nchi kidogo.
Unless otherwise iwe ni makubaliano kati ya Mbowe na Samia kua watimue na bungeni tuwatimue mlete wengine.
Kwani sabaya baada ya ile hukumu ya kwanza hakutumikia kifungo hatawakati wa kusikiliza rufaa?Hukumu imetoka,watatumikia mpaka hapo itakapobatilishwa.Mkuu, unatakiwa kujua kua mahakama ndie muamuzi wa mwisho kwenye jambo lolote nchi hii.
Kwa hiyo wana haki ya kwenda mahakamani wakitaka. Kumbuka ishu ya Zitto.
Nachokisema, inawezekana mahakama ikakubaliana na uamuzi wa chadema 100% na hilo halina ubishi.
Ila kwa kitendo cha kwenda mahakamani, wanafanya mchezo wa kuchelewesha ama delaying techniques. Kwa hiyo hata Bunge haliwezi kuwafukuza maana bado ni wanachama hadi mahakama itoe majibu, tayari huo muda unakua umeenda na kama ni vikao vya bunge 2 ama 3 wnaakua wamekula hela zetu.
Tusubiri tuangalie.