Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baraza la madiwani wanaingia wadau wote wanaohudumia wananchi na wanajibu maswali yote ambayo yanawahusu!Sipendi ujuaji wako, wapi nimebisha? Nimehoji jinsi TARURA wanavyoweza kujua mahitaji ya miundombinu ya barabara za mijini wakati wahusika wakuu ni madiwani.
Sipendi dharau.
Hili silo lililoniudhi, sikupenda kauli yako dhidi yangu, hauwezi kuniaminisha kuwa kila nikijuacho wewe unakijua, na si kila ukijuacho lazima mimi nikijue na nisipokijua ninakuwa mpumbavu! Jitafakari.Baraza la madiwani wanaingia wadau wote wanaohudumia wananchi na wanajibu maswali yote ambayo yanawahusu!
Awe meneja wa Tanesco, TARURA, RUWASA,TRA, Polisi, etc
Note: kuna Baraza la wazi ambalo hata wananchi wanaruhusiwa kuingia.
Sent from my SM-A325N using JamiiForums mobile app
Ni jukumu la TANROADS na TARURA. Mzumbe ipo Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero (Mvomero RC), SUA ipo Morogoro Manispaa (Morogoro MC). Ni mamlaka mbili tofauti. Mvomero DC barabara zake zinasimamiwa na TARURA na Moro MC barabara zake zinasimamiwa na TANROADSKwahiyo manispaa hazisimamii barabara! Hawa madiwani kwenye vikao vyao wanaongelea nini! TARURA nao wana ingia kwenye vikao vya madiwani? Kwakua si madiwani hwawana sifa ya kuingia kwenye hivyo vikao, sasa wanajuaje matatizo ya barabara za mijini?
Mbona uko hivyo! Hivi uliowataja wanapata wapi taarifa za mahitaji, wananchi tunaandika na mbunge pamoja na wahusika wote akiwemo mama anayetoa hela za ujenzi huku bajeti inayopitishwa na bunge hatujui inapelekwa wapi!Ni jukumu la TANROADS na TARURA. Mzumbe ipo Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero (Mvomero RC), SUA ipo Morogoro Manispaa (Morogoro MC). Ni mamlaka mbili tofauti. Mvomero DC barabara zake zinasimamiwa na TARURA na Moro MC barabara zake zinasimamiwa na TANROADS
Ni barabara siyo bara bara. Ninalipa kodi kwenye halmashauri ambako wapo madiwani na huko ni rahisi kumpata mbunge kuliko kwenda Tanroads au Tarura ambao sina uhusiano nao na siwachagui na hawana madiwani wa kunisikiliza.Hivi bara bara zimerudishwa Chini ya Halmashauri kuanzia lini?@moderator hebu fanyeni ile inaitwa fact check
Na kuongezea hapo,,tarura pia wanawasilisha bajeti yao kwenye Baraza la madiwani,,kwa hiyo hauwezi kutenganisha madiwani na TArura ingawa Tarura hawaripoti kila kila siku kwa madiwani,,ILA BAJETI YA TARURA INAPITISHWA NA MADIWANISipendi ujuaji wako, wapi nimebisha? Nimehoji jinsi TARURA wanavyoweza kujua mahitaji ya miundombinu ya barabara za mijini wakati wahusika wakuu ni madiwani.
Sipendi dharau.