Hamas: Israel watajuta kuvamia Rafah

Hamas: Israel watajuta kuvamia Rafah

🚨BREAKING: HAMAS YAKATAA KWENDA MISRI KWA MAZUNGUMZO YA MKATABA WA MATEKA

WSJ iliripoti kuwa ujumbe wa Hamas umekataa kuhudhuria ukamilishaji uliopangwa wa kesho wa mpango wa kutekwa nyara.

Biden na Netanyahu wamepangwa kuzungumza baadaye leo.

Mkataba huu wa Utekaji Mateka/ Usitishaji vita umekuwa ukining'inia kwenye mtandao, na leo, Israel ilitoa maagizo ya kuhamishwa kwa Rafah, inaonekana kushinikiza Hamas kukubali mpango huo.

Chanzo: WSJ
Ukishawasikia wanatoa vitisho lukuki lakini ikawa katika matishio hayo wanataja
watoto, wanawake na wazee na kuziomba jumuiya za kimataifa zisiwaondoe watumishi wao; ujue hapo ni maji ya shingo - Jamaa wanaomba poo kijanja.
 
Ismail Haniyah na wenzake walioko Qatar wameona wakubali ili kumlainisha Israel astop rafah invasion maana pale ndo ngome kubwa ya hamas iliyobakia ambayo haijafumuliwa na Israel na ambayo ina viongozi na wapiganaj kibao wa hamas wamejificha na kingine wapalestina wanaikimbia rafah hivyo suala la kuwatumia raia kama ngao nalo limeshindikana hivyo viongoz wa hamas waliopo qatar wamechanganyikiwa
Magaidi HAMAS kwa sasa naamini wanajilaumu sana kwa kitendo chao cha kukurupuka na kumvamia Mwamba walichofanya October 2023. Kiapo cha Myahudi kinatimilizika.
 
Ismail Haniyah na wenzake walioko Qatar wameona wakubali ili kumlainisha Israel astop rafah invasion maana pale ndo ngome kubwa ya hamas iliyobakia ambayo haijafumuliwa na Israel na ambayo ina viongozi na wapiganaj kibao wa hamas wamejificha na kingine wapalestina wanaikimbia rafah hivyo suala la kuwatumia raia kama ngao nalo limeshindikana hivyo viongoz wa hamas waliopo qatar wamechanganyikiwa
Kwa kweli hali yao (HAMAS)kwa sasa ni ngumu mno.Wamefikishwa kwenye kona na kilichobaki ni sala ya mwisho.........kwani Myahudi hana masihara. Atawamaliza. Dah!
 
Hujui unachokisema Kaskazini wapi ambako hamna Hamas?
Mkuu hauendi na updates za vita hii'nini?

Mwenzako yupo sahihi, hao raia millioni 1.5 ni pamoja na wakimbizi kutoka upande wa kaskazini ilipoanzia ground attack.

Huko nako walianza kwa kutangaziwa hivi hivi kuhama kwa ma loud speaker, tena wakaelekezwa na pa kwenda kabisa ndiyo huko Arafah.

Wote waliokaidi na kukomaza mafuvu walichinjwa.

Israel haivamii kisiri, inaanza kwanza kutangazia raia kuondoka kisha ndiyo inavamia na kukalia maeneo, wanaokutwa hawajaondoka, jamaa wanahesabu ni halali yao.

Kusema watakwenda wapi, adui haulizwi aina hiyo ya swali, maana majibuya mahali pa kwenda huwa wanayapata bila kufundishwa.
 
Ismail Haniyah na wenzake walioko Qatar wameona wakubali ili kumlainisha Israel astop rafah invasion maana pale ndo ngome kubwa ya hamas iliyobakia ambayo haijafumuliwa na Israel na ambayo ina viongozi na wapiganaj kibao wa hamas wamejificha na kingine wapalestina wanaikimbia rafah hivyo suala la kuwatumia raia kama ngao nalo limeshindikana hivyo viongoz wa hamas waliopo qatar wamechanganyikiwa
Sijui hawa Magaidi huwa wanakuwaje - Wanajua kitakachowapata lakini bado wameghairi au wamesusa kuhudhuria majadiliano.
 
Mkuu hauendi na updates za vita hii'nini?

Mwenzako yupo sahihi, hao raia millioni 1.5 ni pamoja na wakimbizi kutoka upande wa kaskazini ilipoanzia ground attack.

Huko nako walianza kwa kutangaziwa hivi hivi kuhama kwa ma loud speaker, tena wakaelekezwa na pa kwenda kabisa ndiyo huko Arafah.

Wote waliokaidi na kukomaza mafuvu walichinjwa.

Israel haivamii kisiri, inaanza kwanza kutangazia raia kuondoka kisha ndiyo inavamia na kukalia maeneo, wanaokutwa hawajaondoka, jamaa wanahesabu ni halali yao.

Kusema watakwenda wapi, adui haulizwi aina hiyo ya swali, maana majibuya mahali pa kwenda huwa wanayapata bila kufundishwa.
Exactly.
Israel always yupo smart. Haji kwa kuvizia. Anakutaarifu na anakupa muda wa kuondoka. Sasa kwa wale wakaidi wajue "Mwana mkaidi hafaidi mpaka siku ya Iddi" Iddi yao itakuwa ni siku IDF watakapotia nanga hapo Rafah.
 
wamechoka kuwa ngao ya kuyakinga magaidi ya hamas huku viongoz wa hamas wakila halua na tende na kunenepeana baada ya kula mapesa ya wafadhili.
Yeah. Halafu wengie wameshtuka kuhusu ahadi ya mabikra 72 na mito ya pombe - mbona wakubwa/Viongozi wa HAMAS ni kama hawachuchumalii kupata hao mabikra na mito ya pombe kama kweli vipo?
 
Hakuna kitu Israel ataenda kukipata Rafah ambacho atajivunia ni ushindi dhidi ya Hamas zaidi ya kufanya mauwaji ya kimbali ya raia na kupata aibu kuu
 
Hakuna kitu Israel ataenda kukipata Rafah ambacho atajivunia ni ushindi dhidi ya Hamas zaidi ya kufanya mauwaji ya kimbali ya raia na kupata aibu kuu
Mhhhhu! Kama hakuna kitu mbona sasa Magaidi hao wanahaha? Israeli anajua anachokwenda kufanya hapo - we subiri uone. Hakuna cha mauaji ya kimbari hapo unless useme wewe hujui maana ya mauaji ya kimbari. Hapo ni Myahudi anamfunza adabu HAMAS na kuwaTiisha wale vichwa ngumu watakaokaidi kuondoka kama walivyo amriwa na IDF ili kupisha kichapo.
 
Back
Top Bottom