George Betram
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 4,672
- 6,272
Daaaah!Warudi kwa familia zao za kiarabu
Kwani si wanajulikana walipotoka?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaaah!Warudi kwa familia zao za kiarabu
Kwani si wanajulikana walipotoka?
Unajidanganya sana, wanaowazuia wasiende Rafah ni Hamas?? Endelea kuaminishwa kama mlivyoaminishwa kuwa hospitali zina maandaki na zinatumika kama operation centerMhhhhu! Kama hakuna kitu mbona sasa Magaidi hao wanahaha? Israeli anajua anachokwenda kufanya hapo - we subiri uone. Hakuna cha mauaji ya kimbari hapo unless useme wewe hujui maana ya mauaji ya kimbari. Hapo ni Myahudi anamfunza adabu HAMAS na kuwaTiisha wale vichwa ngumu watakaokaidi kuondoka kama walivyo amriwa na IDF ili kupisha kichapo.
Muisrael mweusi wa Uyole anawasemea Wapaletina eti wamechoka 😀😀Pole ustaadh aljazeera wanasema Israel’s war on Gaza live: Thousands flee Rafah as Israel warns of assault so wapalestina wanajua pa kwenda na maelfu kwa maelfu wanaondoka rafah maana wamechoka kuwa ngao ya kulinda magaidi ya hamas halafu wewe mpalestina koko wa mchambawima uliyeshiba tende feki za misaada eti ndo umekaza fuvu unauliza waondoke waende wapi?
Hapana. HAMAS hawajawazuia wasiende Rafah kwani hawana kabisa huo uwezo.Unajidanganya sana, wanaowazuia wasiende Rafah ni Hamas?? Endelea kuaminishwa kama mlivyoaminishwa kuwa hospitali zina maandaki na zinatumika kama operation center
Ukitaka kujua kwa nini Israel itashindwa huko Rafah, pointi mbili.Nimeona bendera ya Mwamba inapepea hapo. Mji umekuwa kimyaaaaaa. Hakuna hata njiwa/mbwa/paka barabarani. Dah! Inatisha. Mji upo kwenye simanzi kuu.
Unajidanganya sana, wanaowazuia wasiende Rafah ni Hamas?? Endelea kuaminishwa kama mlivyoaminishwa kuwa hospitali zina maandaki na zinatumika kama operation center
Watakuwa wameshaua mateka wote🚨BREAKING: HAMAS YAKATAA KWENDA MISRI KWA MAZUNGUMZO YA MKATABA WA MATEKA
WSJ iliripoti kuwa ujumbe wa Hamas umekataa kuhudhuria ukamilishaji uliopangwa wa kesho wa mpango wa kutekwa nyara.
Biden na Netanyahu wamepangwa kuzungumza baadaye leo.
Mkataba huu wa Utekaji Mateka/ Usitishaji vita umekuwa ukining'inia kwenye mtandao, na leo, Israel ilitoa maagizo ya kuhamishwa kwa Rafah, inaonekana kushinikiza Hamas kukubali mpango huo.
Chanzo: WSJ
Watakuwa wameshaua mateka wote
Wanakumbi.
🇵🇸HAMS KWA ISRAEL: UTAJUTA KUVAMIA RAFAH
Taarifa Rasmi ya Hamas:
"Hatua zilizochukuliwa na jeshi la kigaidi katika maandalizi ya shambulio dhidi ya mji wa Rafah, ambao umejaa wakazi wapatao milioni moja na nusu na watu waliokimbia makazi yao, na onyo lake kwa watu kuondoka maeneo ya mashariki mwa mji huo. mashambulizi ya mara kwa mara ya anga na mizinga, ambayo yaliacha mauaji ya raia wasio na hatia, jinai ambayo inathibitisha sisitizo la serikali ya gaidi Netanyahu ya kuendeleza vita vya maangamizi.
Dhidi ya watu wetu.
Operesheni yoyote ya kijeshi huko Rafah, haitakuwa picnic kwa jeshi la uvamizi la fashisti, na upinzani wetu shupavu, unaoongozwa na Brigedi za Qassam, umejitayarisha kikamilifu kuwalinda watu wetu, kumshinda adui huyu, kuharibu mipango yake, na kuzuia malengo yake.
Tunatoa wito kwa jumuiya ya kimataifa kuchukua hatua za haraka kukomesha uhalifu huo unaotishia maisha ya mamia kwa maelfu ya raia wasio na ulinzi wakiwemo watoto, wanawake na wazee.
Pia tunatoa wito kwa mashirika na mashirika ya kibinadamu, yanayoongozwa na UNRWA, kubaki katika maeneo yao katika mji wa Rafah na kutouacha, au kutii matakwa ya uvamizi wa kifashisti."
Chanzo: Hamas Rasmi tg
View: https://x.com/marionawfal/status/1787454652931264898?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Gaza walienda wapi mpaka Israel wakachukua Ekta zaidi ya 980?Unaongea kama umekatwa kichwa raia zaidi miioni 1 na nusu waondoke waende wapi?
Wao washajuta ya October 7?Mkwara wa Hamas! Eti watajuta😄
Anataka ardhi kua na akili waisrael walikua wanataka sana kumega ardhi utahaira wa Hamas October 7 wameokota dodo chini ya mwembe washachukua Ekta zaidi ya 980 mpaka Sasa .Hakuna kitu Israel ataenda kukipata Rafah ambacho atajivunia ni ushindi dhidi ya Hamas zaidi ya kufanya mauwaji ya kimbali ya raia na kupata aibu kuu
Wanakumbi.
🇵🇸HAMS KWA ISRAEL: UTAJUTA KUVAMIA RAFAH
Taarifa Rasmi ya Hamas:
"Hatua zilizochukuliwa na jeshi la kigaidi katika maandalizi ya shambulio dhidi ya mji wa Rafah, ambao umejaa wakazi wapatao milioni moja na nusu na watu waliokimbia makazi yao, na onyo lake kwa watu kuondoka maeneo ya mashariki mwa mji huo. mashambulizi ya mara kwa mara ya anga na mizinga, ambayo yaliacha mauaji ya raia wasio na hatia, jinai ambayo inathibitisha sisitizo la serikali ya gaidi Netanyahu ya kuendeleza vita vya maangamizi.
Dhidi ya watu wetu.
Operesheni yoyote ya kijeshi huko Rafah, haitakuwa picnic kwa jeshi la uvamizi la fashisti, na upinzani wetu shupavu, unaoongozwa na Brigedi za Qassam, umejitayarisha kikamilifu kuwalinda watu wetu, kumshinda adui huyu, kuharibu mipango yake, na kuzuia malengo yake.
Tunatoa wito kwa jumuiya ya kimataifa kuchukua hatua za haraka kukomesha uhalifu huo unaotishia maisha ya mamia kwa maelfu ya raia wasio na ulinzi wakiwemo watoto, wanawake na wazee.
Pia tunatoa wito kwa mashirika na mashirika ya kibinadamu, yanayoongozwa na UNRWA, kubaki katika maeneo yao katika mji wa Rafah na kutouacha, au kutii matakwa ya uvamizi wa kifashisti."
Chanzo: Hamas Rasmi tg
View: https://x.com/marionawfal/status/1787454652931264898?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Wale Israel ni.magaidi.Anataka ardhi kua na akili waisrael walikua wanataka sana kumega ardhi utahaira wa Hamas October 7 wameokota dodo chini ya mwembe washachukua Ekta zaidi ya 980 mpaka Sasa .
Wawakimbie magaidi wa Israel?Warudi kwa familia zao za kiarabu
Kwani si wanajulikana walipotoka?
Israel ni gaidi la kimataifaHakuna kitu Israel ataenda kukipata Rafah ambacho atajivunia ni ushindi dhidi ya Hamas zaidi ya kufanya mauwaji ya kimbali ya raia na kupata aibu kuu
Wako hivo siku zote kipele Cha hamas kikisikia kukunwa wanafanya Kama October 7. Ndiyo huu mkuno unaoendelea.Wale Israel ni.magaidi.