Hamas: Israel watajuta kuvamia Rafah

Hamas: Israel watajuta kuvamia Rafah

Unaongea kama umekatwa kichwa raia zaidi miioni 1 na nusu waondoke waende wapi?
Basi waambie wabaki ....halafu wewe vaa kanzu ijiandae kwenda UN kulia lia cease fire cease fire cease fire. Au jifungie chumbani huku unaimba ule wimbo unaoimbwa na magaidi wakiwa wanafanya ugaidi " Allahu akbar"
 
“However, you must not let any living thing survive among the cities of these people the Lord your God is giving you as an inheritance. You must completely destroy them – the Hethite, Amorite, Canaanite, Perizzite, Hivite, and Jebusite ….” (Deut. 20:16-18)

“Now go and attack the Amalekites and completely destroy everything they have. Do not spare them. Kill men and women, infants and nursing babies, oxen and sheep, camels and donkeys.” (1 Sam 15:3)
Nukuu hiyo ya maandishi kutoka vitabu vitakatifu ni ramli chonganishi, ni vigumu kuyasadiki kama hayo ni rai ya kweli ya mwenyezi Mungu muumba wa mbingu na ardhi na vyote vilivyomo.
 
🚨BREAKING: HAMAS YAKATAA KWENDA MISRI KWA MAZUNGUMZO YA MKATABA WA MATEKA

WSJ iliripoti kuwa ujumbe wa Hamas umekataa kuhudhuria ukamilishaji uliopangwa wa kesho wa mpango wa kutekwa nyara.

Biden na Netanyahu wamepangwa kuzungumza baadaye leo.

Mkataba huu wa Utekaji Mateka/ Usitishaji vita umekuwa ukining'inia kwenye mtandao, na leo, Israel ilitoa maagizo ya kuhamishwa kwa Rafah, inaonekana kushinikiza Hamas kukubali mpango huo.

Chanzo: WSJ
1002138645.jpg
 
Kuna aina 5 za wafuasi wa Israeli:

1) Wayahudi wa Kizayuni

2) Wakristo waliopotoshwa ambao wanaamini kwamba watabarikiwa kwa kuwaunga mkono “watu waliochaguliwa na Mungu”.

3) Watu wasiopenda Waislamu

4) Waisrel weusi hawa wengi walokole wanaamini Israel ni kwao’

5) Hawa hawana wanachojua kuhusu Israel wanaamini story za zamani kuwa Wayahudi ndiyo kila kitu.
Yote unayoongea ni ukweli tupu.
Ila mimi mnaniacha njia panda mnapoacha kudadavua chanzo cha vita hii.
Ninaona kila mtu anakuja na mihemko ya udini isiyokuwa na afya kwetu visivyotuhusu.
 
Hizi habri zinatuchanganya wafuatiliaji wa vita hivi.

Mara waseme Hamas wamekubali kwa kuweka masharti namna ya kubadilishana mateka wa Israel na wafungwa wa Palestina waliopo kwenye jela za Israel.

Sasa leo tena wamegoma huku Israel ikizidisha mashambulizi ya kuangamiza watu na vitu, hii ni nini maana yake?
 
Ila mimi mnaniacha njia panda mnapoacha kudadavua chanzo cha vita hii.
Chanzo ni uvamizi wa Hamas kwa Israel, yaan ni sawa na story ya Leonard mpenda ugomvi kilabuni aliepigana na mchupi uliotoboka akachakazwa vibaya mpaka kuvuliwa chupi lake ndio kinachomkuta Hamas kinachoenda kumtokea ni kuvuliwa chupi lake lililotoboka

Story ya Leonard mpenda ugomvi kilabuni na kilichomponza mpaka akapigwa vibaya hii hapa:

 
Chanzo ni uvamizi wa Hamas kwa Israel, yaan ni sawa na story ya Leonard mpenda ugomvi kilabuni aliepigana na mchupi uliotoboka akachakazwa vibaya mpaka kuvuliwa chupi lake ndio kinachomkuta Hamas kinachoenda kumtokea ni kuvuliwa chupi lake lililotoboka
Sasa kwanini watu wapo upande wa mvamizi kuonesha anaonewa kumbe yeye ndiye aliyechokoza nyuki waliotulia kwa kuwapopoa na mawe?
 
Hakuna kitu Israel ataenda kukipata Rafah ambacho atajivunia ni ushindi dhidi ya Hamas zaidi ya kufanya mauwaji ya kimbali ya raia na kupata aibu kuu
hao raia wameambiwa kwa wiki ngap mpk sasa ? ebu tuliza kishundu , dini imekufanya mwehu , kama hadi hamas wanajuwa kinachofuata hao raia wanasubir nn ?
 
Wanakumbi.

🇵🇸HAMS KWA ISRAEL: UTAJUTA KUVAMIA RAFAH

Taarifa Rasmi ya Hamas:

"Hatua zilizochukuliwa na jeshi la kigaidi katika maandalizi ya shambulio dhidi ya mji wa Rafah, ambao umejaa wakazi wapatao milioni moja na nusu na watu waliokimbia makazi yao, na onyo lake kwa watu kuondoka maeneo ya mashariki mwa mji huo. mashambulizi ya mara kwa mara ya anga na mizinga, ambayo yaliacha mauaji ya raia wasio na hatia, jinai ambayo inathibitisha sisitizo la serikali ya gaidi Netanyahu ya kuendeleza vita vya maangamizi.

Dhidi ya watu wetu.

Operesheni yoyote ya kijeshi huko Rafah, haitakuwa picnic kwa jeshi la uvamizi la fashisti, na upinzani wetu shupavu, unaoongozwa na Brigedi za Qassam, umejitayarisha kikamilifu kuwalinda watu wetu, kumshinda adui huyu, kuharibu mipango yake, na kuzuia malengo yake.

Tunatoa wito kwa jumuiya ya kimataifa kuchukua hatua za haraka kukomesha uhalifu huo unaotishia maisha ya mamia kwa maelfu ya raia wasio na ulinzi wakiwemo watoto, wanawake na wazee.

Pia tunatoa wito kwa mashirika na mashirika ya kibinadamu, yanayoongozwa na UNRWA, kubaki katika maeneo yao katika mji wa Rafah na kutouacha, au kutii matakwa ya uvamizi wa kifashisti."

Chanzo: Hamas Rasmi tg


View: https://x.com/marionawfal/status/1787454652931264898?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

USIUKIMBIE UZI SHEKHE NA KUANZA KULIA LIA. MLISHAONGEA SANA HAYA MANENO TOKA DAY ONE. UKAJA KIMBILIA MAHAKAMANI, UKAJA KIMBILIA IRAN, UKAJA KIMBILIA USA MAANDAMANO. YAANI UNA MHAHO MKUBWA SANA KILA TAWI UKISHIKA LINAKATIKA. UNAPAPATIKA A KICK OF A DYING HORSE.
 
USIUKIMBIE UZI SHEKHE NA KUANZA KULIA LIA. MLISHAONGEA SANA HAYA MANENO TOKA DAY ONE. UKAJA KIMBILIA MAHAKAMANI, UKAJA KIMBILIA IRAN, UKAJA KIMBILIA USA MAANDAMANO. YAANI UNA MHAHO MKUBWA SANA KILA TAWI UKISHIKA LINAKATIKA. UNAPAPATIKA A KICK OF A DYING HORSE.
Nikimbie nini sasa hawa mabasha zako wanapigana vita na watoto na kuvunja majengo, hawajaokoa hata mateka mmoja kuja jeshi hapo au kundi la mashoga ambalo mnakesha JF kushabikia nyie walokole wa JF wajingq sana.


View: https://x.com/suppressednws/status/1788012220053344663?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Hadithi ya kubuniwa ya 'watoto 40 waliokatwa vichwa' ilisambazwa kote ulimwenguni na vyombo vya habari na wanasiasa.

Picha za wakati halisi za watoto waliouawa kinyama, watoto wachanga kulipuliwa vipande vipande, na ulimwengu unakaa kimya. Waisrael weusi wa JF kutoka Uyole, ,Mafinga, Ndudu, Kwimba, waambieni mabwana zenu waingie uwanja wa vita wapambane na Wanaume siyo kurusha makombora kwenye majengo huku wamejificha.

View: https://x.com/kahlissee/status/1787937958835659190?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Back
Top Bottom