Hamas: Israel watajuta kuvamia Rafah

Israel anajua Gaza hapigani na Hamas bali hamasi kama kivuli tu.anajua anapigana na makomandoo wa Iran.
Na Hamas hawakuwa na jeuri ya kushikilia mateka mda wote huo.
Sasa Israel wao hawataki kelele za mbuzi yoyote.
Sioni wa kusimamisha atapiga rafah na wakiangalia vibaya Siria,Lebanon kutawaka moto.popote pale watakapijua Hamas ameweka Kambi Kwa ajili ya kuishambulia Israel.

Kama kajibu mapigo Kwa Iran Nini Tena.
Pindi Iran anapiga Israel alipiga mkwala mzito kwamba wasithubutu kuripiza,ila ikawaje c alienda nae kupiga kwake kabisa Tena akilenga Vinu kabisa.

Walishasema,vita waliianza Hamas,hivyo wakuvimaliza ni Hamas wenyewe Kwa kusambaratika.

Pale wapo makomandoo wa Iran,Lebanon,Siria na Misri.

Mziki mnene,myahudi sio poa
 
Wapalestina wataongezeka, lakini nje ya Gaza na West Bank, maybe Misri huko kama wataruhusiwa kuingia
Kila siku idadi ya Wapelestina inaongezeka nimekupa sababu na hii inawasumbua Waisrael bahati mbaya mashoga wengi na wasagaji hawazaani, ipo siku Wapalestina wanaoishi nje watarudi kwao

1.978 million (1990)

5.044 million (2022)

5.43 million Palestine (2024)
 
Hizi habari za kwenye vijiwe vya mbege?
 
Hapo Ndio penyewe sasa Israel Wasiache kupiga hapo. Ukiona adaui kapiga uwiii Jua uko sahihi
 
Nukuu hiyo ya maandishi kutoka vitabu vitakatifu ni ramli chonganishi, ni vigumu kuyasadiki kama hayo ni rai ya kweli ya mwenyezi Mungu muumba wa mbingu na ardhi na vyote vilivyomo.
Neno la Mungu sio kama sayansi ya kusema utafanya experiment na kupata jibu ila ni imani ambayo ni hiari ya kila mtu kuamua kuamini au kutokuamini.

Hivyo wewe kama huamini hiyo ni shauri yako ila wapo wengine wataamini ila Mungu ni "Ambiguous" hawezi kufanya yale yanayokufurahisha wewe tu eti ndio umuamini, hilo halipo.
 
Hawa namba 4 naonaga kichefuchefu
 
Ardhi yao tokea 1947? Are you mental ill?
There is no such people called Palestina full stop PLO was a political movement of Arabs who live in land of Judea and Samalia during occupation of Islamic wakiongozwa na Omary kasome history pumguani mdanganyaji wewe.. Palestine ni jina la Roman lenye maana ya wahamiaji immigrants.

Raia wa Egypt aitwaye alafat ndio aliamua kuwaita Arabs palestinian. Ukisema land yao huma pa kusimamia popote labda msikitini.

Ulifanyika mgao wa ardhi Arabs walikataa so hawajawahi kuwa na Chao since then.
Unaleta ujinga tu kisa waislam fake like you and others.

Ukileta story za conflict weka na sababu zake.. Acha ujinga mwaka 1947 unamajibu yake yalitojitosheleza na kueleweka.

Arabs 1.6 ni raia wa Israel hadi wabunge na viongozi majudge n.k

Wewe kazi yako ni kutetea mashetani Hamas na wengine
 
Ishu kwako ni idadi au accomodation? Kama ni idadi, acha tu wazaane kambini
 
HAMAS bwana, yaani wanawatishia Israel huku wanalialia!
 
Ukijichanganga na raia kuondoka.
1. Unaondoka bila silaha maana kuna kukaguliwa.
2. Silaha nzito unaziacha kwenye kambi au sehemu zilikohifadhiwa.
3. Unashundwa kufanya mikakati ya vita.
Nk.
Hivyo unageuka kuwa raia wa kawaida badala ya mpiganaji.
Unakuwa huna madhara tena na umeshindwa vita.
Yaani ni kama umeacha kupigana na hutakiwi kuuliwa.
 
Hamas waliwambia wazi kuwa mnaingia Rafah mnaenda kuuwa watoto na raia wasikuwa na hatia msidhani mnaenda pikiniki.

View: https://x.com/warfareanalysis/status/1790543799678320945?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
BADO HUJASEMA, BADO MPAKA USEME NA UTATOKWA SANA NA POVU MBWA WEWE... WATU WANAGONGA KINYAMA HASA... 🤣MPAKA USEME YOTE SAFARI HII.
⚡️ Vikosi vya Al-Aqsa:

Baada ya kurejea kutoka mstari wa mbele, Mujahidina wetu walithibitisha kuwa walifanikiwa kuteka kikosi cha askari wa miguu cha Kizayuni chenye askari 8 kwenye shambulio la kuvizia. Kisha, Mujahidina wetu wakawashughulisha na silaha za kiotomatiki mahali pasipo tupu, na kusababisha askari wote 8 kuanguka ama wakiwa wamekufa au kujeruhiwa vibaya wakati wa mapigano kwenye Mtaa wa Abu Al-Aish katika Kambi ya Jabalia, kaskazini mwa Ukanda wa Gaza.


View: https://x.com/warfareanalysis/status/1790498191240266028?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
🔻🔻 Habari Zinazochipuka:
Habari za kutisha kwa Tel Aviv: shambulio kubwa zaidi la kuvizia.

Wanajeshi na maafisa 37 walijeruhiwa katika mapigano huko Rafah na Jabalia tangu asubuhi, huku 19 wakijeruhiwa vibaya, pamoja na kukatwa viungo. Mapigano ya Jabalia ni magumu mno na magumu kwa jeshi la Israel, ambayo yanaweza kusababisha vita vya kijeshi kupotea ndani ya Jabalia. Ombea mashujaa.

Waliambiwq

#Jabalia #Rafah #GazaConflict 🇵🇸🇮🇱


View: https://x.com/silentlysirs/status/1790499740108382501?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…