Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 7,681
- 9,892
Tukiwambia Israel hana alichofanya zaidi ya kuonea watoto, wanawake, vizee, vijana wasio kuwa wanamgambo wa Hamasi mnasema oh Hamasi wanajificha kwenye nyumba za raia kama ni kweli maneno yenu na maneno ya Israel hayo majumba ya Gaza aliyo yavunja Israel, mashule, masajidi, mahospital, makanisa angekuwa kuwamaliza Hamasi.
Sa leo Hamasi kaingia ndani ya Israel kama alivyo fanya tarehe 7th October na kaingia mpaka camp ya jeshi nakauwa askari wa Israel.
Tukiwambia Jeshi la Israel ni kuku mmabisha.
View: https://youtu.be/RMRlqo3gbKw?si=rkAPuJso8-6NDzLY
Sa leo Hamasi kaingia ndani ya Israel kama alivyo fanya tarehe 7th October na kaingia mpaka camp ya jeshi nakauwa askari wa Israel.
Tukiwambia Jeshi la Israel ni kuku mmabisha.
View: https://youtu.be/RMRlqo3gbKw?si=rkAPuJso8-6NDzLY