Hamas kafanya tena, amevuka mpaka wa Israel na Kushmbulia Camp ya Jeshi

Hamas kafanya tena, amevuka mpaka wa Israel na Kushmbulia Camp ya Jeshi

Tukiwambia Israel hana alichofanya zaidi ya kuonea watoto, wanawake, vizee, vijana wasio kuwa wanamgambo wa Hamasi mnasema oh Hamasi wanajificha kwenye nyumba za raia kama ni kweli maneno yenu na maneno ya Israel hayo majumba ya Gaza aliyo yavunja Israel, mashule, masajidi, mahospital, makanisa angekuwa kuwamaliza Hamasi.

Sa leo Hamasi kaingia ndani ya Israel kama alivyo fanya tarehe 7th October na kaingia mpaka camp ya jeshi nakauwa askari wa Israel.

Tukiwambia Jeshi la Israel ni kuku mmabisha.


View: https://youtu.be/RMRlqo3gbKw?si=rkAPuJso8-6NDzLY

ila wakitoka hapo wanaenda kujificha kwa raia, alafu kuna mtu anakuja anasema hao ni mashujaa.
 
Naona umefunguka vilivyo! Magaidi haki yao ni kifo sio wa kutetewa kwa namna yoyote ile!
Kifo ni haki ya kila binadamu aliye zaliwa na ndio maana hata ww utakufa tena saa nyingine bila kuguswa na mtu yeyote.
Hivyo acha kejeli za kipumbavu.
 
Halafu Israel ikiendelea kuitandika Gaza msiwe mnakuja hapa kulia kulia. Mnafanya ujinga wa kumchokoza, akiibuka mnalia lia.
Issue sio Israel kuitandika Gaza bali wanachotakiwa kufanya ni kuwapiga hata kuwaangamiza hao mnaowaita "magaidi" lakini Israel wameshindwa kupambana na Hamas wamebaki kuwadanganya watu wao kwa kuua watu wengine wasio na hatia wakidai wameua Hamas.
Haya kiko wapi sasa!
 
Sa leo Hamasi kaingia ndani ya Israel kama alivyo fanya tarehe 7th October na kaingia mpaka camp ya jeshi nakauwa askari wa Israel.

ISrael hatoweza kuwamaliza hamas hata apewe miaka mia anahangaika na kujimaliza mwenyewe tu dunia imeshaanza kumfungia vioo spain keshaungana na southafrica icj huku netanyahu amekuwa kama kibaka anawindwa na icc
Ni Hamas au Hezbollah wa Lebanon?
 
Hawana uwezo huo , fikiria kama miezi tisa wanahangaika na mgambo na wameshindwa kuwaokoa mateka ,acheni kudanganyika na movie
All in all hayo magaidi inabidi yauliwe yote dunia ibaki salama
 
All in all hayo magaidi inabidi yauliwe yote dunia ibaki salama
DUnia itabaki salama haki itakapotendeka huwezi kudhulumu haki za watu ukategemea amani , utaendelea kuita wapigania haki magaidi kumbe wewe ndio mwizi ,na hilo jina limetungwa makusudi kwa watu wanaodhulumiwa wasipiganie haki zao ,ila waafrika wengi wajinga hawajaelimika vya kutosha kujua walipotoka na wanapopelekwa mnaishia kushabikia kila kitu mnachodanganywa na wazungu, angalia libya walivyoingia cha kike sasahivi wanahangaika na maisha, tujitahidi kuelimika
 
Baadhi ya jamii za kimataifa wajinga akina SA wanawatetea magaidi badala magaidi wanaotetewa wafiche upumbavu wao; kinyume chake wanaonesha walivyo wapumbavu!
south afrika ni wabaguzi sana kwa waafrika wenzao. yani sijui afrika nani katuroga
 
Ni Hamas au Hezbollah wa Lebanon?
Hatoweza kuwamaliza hamas hata apewe miaka mia, na gallant ambae ni waziri wa vita wa israel aliita press na kumwambia netanyahu on the face kwamba atafute long lasting solution hii vita haitosaidia kuwamaliza hamas
Na kule kwa hezbollah utakuja kujionea mwenyewe alishaaibika mwaka 2006 na ataendelea kuaibika akienda kupigana tena kama anavyosema kwanza jeshi lenyewe hana anaazima azima watu maana wanajeshi wake wenyewe wameanza kumgomea kupigana hadi anawapeleka jela
 
Sijafungua hiyo video ila natumai common sense tu kuwaza inawezekana vipi nyoka wamevamia nyumbn kwako wanagonga na kuua familia Yako Kisha ww unatoka nduki unaenda kuwatafuta maporini walipotokea ili Hali huku nyuma wanaendelea kuua na kujeruhi familia.
Ndio maana wanaitwa magaidi mkuu.
Wapuuzi sana hawa
 
Unasifia au? Mnatoa wapi moyo wa kusifia vifo vya watu?
 
Baadhi ya jamii za kimataifa wajinga akina SA wanawatetea magaidi badala magaidi wanaotetewa wafiche upumbavu wao; kinyume chake wanaonesha walivyo wapumbavu!
Israel ikitoka Gaza na ikiacha kufanya mashambulizi ya anga na ikiacha Gaza blockade basi Hamas hawatowashambulia.
Msiwe mapang'ang'a Israel hivi vitendo anavichochea mwenyewe.
Mbona kipindi cha Yair Lapid Israel iliipa uhuru wake Gaza na hakukuwa na ugomvi?
 
Halafu Israel ikiendelea kuitandika Gaza msiwe mnakuja hapa kulia kulia. Mnafanya ujinga wa kumchokoza, akiibuka mnalia lia.
Mkuu nadhani watu wengi humu ndani hamjui mnachokichangia.
Sababu ya Hamas kufanya hivi ni kwasababu ya IDF inavyo act Gaza.
Yani IDF actions brings out Hamas reactions.
Walishasema vita ikome,IDF waondoke Gaza na wao wapewe uhuru wao wa Gaza.
Labda nikuulize maswali;
1)Je IDF wameondoka Gaza?
2)Je Gaza imeondolewa blockade?
3)Je IDF wameacha kushambulia Gaza?
 
All in all hayo magaidi inabidi yauliwe yote dunia ibaki salama
Dunia itabaki salama pale wamagharibi na USA watakapoacha world policing.
Maana wao geopolitical interference zao ndio zimezalisha haya mambo yote.
Kama Palestina ingepewa inachostahiki tokea kipindi cha Yasser Arafat basi haya yasingetokea.
Chukulia wewe Kilwa mnawekewa blockade hakuna kutumia anga na mipaka ya bahari mnatumia mwisho kilometa fulani tena kwaajili ya uvuvi tu juu mmejengewa ukuta mrefu una bunduki za BERETA,simu zenu zimeunganishwa na kuchunguzwa kila mawasiliano yenu na kila mnapotaka kwenda mnapekuliwa.
Hivi haya maisha unayachukuliaje!?
Hamjakaa mkatulia baadhi ya nyumba zenu zinaanza kuvunjwa ili yajengwe makazi ya wengine.
Tupe jibu ungefanyaje!?
 
Hapo Cha msingi tel Aviv waendelee kupeleka moto kule Gaza na Rafah bila hivyo ni shida
Hamas ni kama chawa huwezi wajua kama hawako kwenye nguo Yako
 
Hapo Cha msingi tel Aviv waendelee kupeleka moto kule Gaza na Rafah bila hivyo ni shida
Hamas ni kama chawa huwezi wajua kama hawako kwenye nguo Yako
Hahaha mnanikumbusha America na Israel walipo anza vita Biden, Blinken, Hillary Clinton, Shetanyahau walisema hakuna kusimamisha vita mpaa Hamasi afutwe kabisa kuwe hakuna kitu kinaitwa Hamasi.


Nchi zilikuwa zinataka kusimamisha vita America akawa anapiga veto pale UN hataki vita isimame, leo Biden anapeleka mpa UN eti vita isimame 😄

Hamasi wanaume nyie wacheni mchezo America, Saud Arabia, Egypt, Jordan, UAE, Germany. UK, Canada, Morocco,
Baharain, Philippines, India, Ethopia, mpaa wale walio enda kusomea kilimo ndugu zenu wote walimsaidia Israel na bado wamemshindwa Hamasi aibu gani hi.
 
Back
Top Bottom