Sa tukuamini wewe au chief of staff wa Israel ambaye anasema askari walio kufa ni zaidi ya 5000 sa kumbuka Israel akisema wamekufa 5 we piga mara tatu yake hapo, tena hao wanajeshi tu hatujui civilian wangapi lakini na uhakika Hamasi huwa hauwi raia anauwa askari tu😄Jambo lilo wazi, Hamas, Parentine, Iran, na wengine.
Hawana cha kuifanya israel.
Nasema" hawana cha kuifanya israel"
Usisahau:
Waliofariki toka vita ianze
37,263 Waparestina
1,139 Makafiri ya kiyaudi aka masheitwani.
Sasa kama ulimaliza darasa la saba, tafuta uwiano.
Ukipata jibu jipigie makofi ya ushindi kimya kimya
Mimi sio msemaji wao,Sa tukuamini wewe au chief of staff wa Israel ambaye anasema askari walio kufa ni zaidi ya 5000 sa kumbuka Israel akisema wamekufa 5 we piga mara tatu yake hapo, tena hao wanajeshi tu hatujui civilian wangapi lakini na uhakika Hamasi huwa hauwi raia anauwa askari tu😄
Ashinde mara ngapi Israel kaingia vita hi kwa masharti matatu.Mimi sio msemaji wao,
Tumuamini Chief of Staff.
Kifupi hii vita HAMAS ANASHINDA
Wild fire ni ajali za kawaida sana America.
View: https://youtu.be/k-eTSxHcoeM?si=PMJdxNB3QifWbvXE
Lana inawafata USA Majimbo yao Saba yanawaka moto, wambieni wamsaidie tu Israel 😄
almajd lihamasAshinde mara ngapi Israel kaingia vita hi kwa masharti matatu.
1 Aifute Hamasi
2 Akomboe matekwa wake kwa vita bila mazungumzo yani kwa nguvu hataki kuongea na Hamasi kwa kubadilishana matekwa.
3 Aitawale tena Gaza na aifanye kama singapore na avunje tunnels zote.
Masharti ya Hamasi
1 Harudishi matekwa na Israel hawezi kuwakomboa kwa nguvu za jeshi isipo kiwa kwa kubadilishana tu
2 Hasimamishi vita mpa Israel aondoe majeshi yake yote Gaza
3 Lazima waijenge Gaza
Haya tuone nani atashinda
Ndio manakealmajd lihamas
Kwani Spain wewe unaiona ndo nyumbani kwa Mungu.Kwahiyo unataka wapigwe wasijitetee kweli wewe hamnazo sasahivi hadi spain kajiunga na afrika kusini kupinga huu udhalimu wa israel ,resistance ni muhimu kwenye mapambano
Ni nato memberKwani Spain wewe unaiona ndo nyumbani kwa Mungu.
Kati ya Freedom fighters na walowezi ni nani wapumbavu? Kama unajiona upo kamili ingia vitani ukawasaidie ndugu zako, na wataendelea kufaBaadhi ya jamii za kimataifa wajinga akina SA wanawatetea magaidi badala magaidi wanaotetewa wafiche upumbavu wao; kinyume chake wanaonesha walivyo wapumbavu!
Watafutika walowezi na sio wapigania hakiSasa inatakiwa Israel ifute kabisa hapo,maana naona kama wana wachekea hao magaidi, wawafute wote at once.
Halafu Israel ikiendelea kuitandika Gaza msiwe mnakuja hapa kulia kulia. Mnafanya ujinga wa kumchokoza, akiibuka mnalia lia.
muda siwa mrefu watavuka msumbiji na Kuwaingia SA kisha SA wataanza jitambuaBaadhi ya jamii za kimataifa wajinga akina SA wanawatetea magaidi badala magaidi wanaotetewa wafiche upumbavu wao; kinyume chake wanaonesha walivyo wapumbavu!
dunian ni sehem salama , waleta fujo wapumzishwe mapemaKifo ni haki ya kila binadamu aliye zaliwa na ndio maana hata ww utakufa tena saa nyingine bila kuguswa na mtu yeyote.
Hivyo acha kejeli za kipumbavu.
Hawajifichi kwenye tunnels Tena?;Hao magaidi ndio wanajifanya kwa hao akina mama na watoto sasa hapo unategemea nini kifanyike, watauawa tu maanake hamna namna na hao watoto vilevile ndio magaidi wa kesho.