Hamas: Tunawashikilia maafisa 30 wa Israeli "Mahali salama

Hamas: Tunawashikilia maafisa 30 wa Israeli "Mahali salama

Punguani mwingine huyu hapa yaani watu wanaonewa kwenye ardhi yao wewe upo Tundulu unaumwa UTI sugu wazazi wako wanakunya kwenye mashimo unawaita Palestina magaidi, huko kwa mabwana zenu US vyuo vikuu vyote ninafanya maandamano wewe punguani unawaita wajinga daaah Tanzania mapunguani hawawezi kuisha.
uisilam na ugaidi ni ndugu wa damu,
 
Dah!...huo mpaka wa Rafah/Misri utakuwa na mahandaki na njia za chinichini za kutosha.

Pamoja na Misri kuudhibiti ila wapi....
Sasa apo Hamas wa Palestina wataaanza kutafutwa na wamisri
 
Kiukweli Israeli imeshidwa vibaya na Hama's , hawa jamaa wana mtandao wa mahandaki wenye urefu usiopungua km 500, utawapata wapi! Wanajeshi wa Israeli wamebaki wanazurura mtaani tu mchana usiku wanashambuliwa na kutekwa
Km 500 unaijua wewe urefu wa dsm mpaka Dodoma. Na wakati nchi yenyewe kama wilaya ya bagamoyo
 
HUSIKA: Chuo Kikuu cha Columbia kimetangaza kuwa madarasa yatakuwa mbali kwa mwaka mzima huku maandamano ya kuipinga Israel yakitikisa shule.

Sasa kuna simu zinazoongezeka za kurejeshewa masomo kwa chuo cha $70k kwa mwaka sasa ambacho kimegeuka kuwa shule ya mtandaoni.

"Ni muhimu kwamba ufundishaji na ujifunzaji uendelee wakati huu. Tunatambua hali zinatofautiana katika vyuo vyetu vyote na hivyo kutoa miongozo ifuatayo," shule ilisema wakati ikitoa tangazo hilo.

Hii inaendelea kuwa bora.

Video: @OliLondonTV


View: https://x.com/collinrugg/status/1782809306272055640?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Waambie ndugu zako wa Hamas waache kujificha mahospitalini na sehemu nyingine zenye mikusanyiko ya raia wasio na hatia, ndio uje hapa useme IDF wameshindwa kupigana na Hamas.

Hamas wanakimbia kimbia kama wakimbizi, waambie watulie sehemu moja kama kweli wana jeshi wapigane na IDF ndio uje hapa uimbe hizo taarabu zako za IDF wameshindwa kuwapiga Hamas.
Uliwaona Hospital ?
 
Waambie ndugu zako wa Hamas waache kujificha mahospitalini na sehemu nyingine zenye mikusanyiko ya raia wasio na hatia, ndio uje hapa useme IDF wameshindwa kupigana na Hamas.

Hamas wanakimbia kimbia kama wakimbizi, waambie watulie sehemu moja kama kweli wana jeshi wapigane na IDF ndio uje hapa uimbe hizo taarabu zako za IDF wameshindwa kuwapiga Hamas.
Hizo propaganda kaawambie mashoga watoto milioni 15 na wanawake waliokufa ni Hamas, kwa hiyo mabomu ya Israel yanachagua watoto na wanawake wanaacha Hamas? Israel wenyewe wanasema Hamas wana wanamgambo 25,000 si wangekuwa wameisha.
 
Wanakumbi.

🚨🇮🇱🇵🇸HAMAS: TUNAWASHIKILIA MAAFISA 30 WA ISRAELI "MAHALI SALAMA"

Madai yao yameibua wasiwasi kwamba baadhi ya mateka huenda walisafirishwa kutoka Gaza hadi Sinai nchini Misri ili kuzuia kuachiliwa kwao wakati wa mashambulizi ya ardhini ya Israel huko Rafah.

Hamas pia walisema hawana uhakika ni mateka wangapi waliosalia hai lakini walidai kuwa ni zaidi ya vile maafisa wa Israel walivyofikiria.

IDF wameshindwa kupigana na Hamas wamebakia kuwashambulia raia na kuuwa watoto na wanawake, kila wakijaribu kuingia uwanja wa vita kupambana na Hamas wanauliwa na kukamatwa, Netanyahu kili siku anasema wameimaliza Hamas hafahamu hata maafisa wake wamekamatwa na Hamas.

Chanzo: Israel Today


View: https://x.com/marionawfal/status/1783063464048513251?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Fake news
 
Hizo propaganda kaawambie mashoga watoto milioni 15 na wanawake waliokufa ni Hamas, kwa hiyo mabomu ya Israel yanachagua watoto na wanawake wanaacha Hamas? Israel wenyewe wanasema Hamas wana wanamgambo 25,000 si wangekuwa wameisha.
Sasa ww ullitaka wakipigwa watoto wasife wakati hao hamas wanapigania maeneo ya raia mijitu Iko ndan ya soko au hospital inarusha makombora
 
Hizo propaganda kaawambie mashoga watoto milioni 15 na wanawake waliokufa ni Hamas, kwa hiyo mabomu ya Israel yanachagua watoto na wanawake wanaacha Hamas? Israel wenyewe wanasema Hamas wana wanamgambo 25,000 si wangekuwa wameisha.
Sasa ww ullitaka wakipigwa watoto wasife wakati hao hamas wanapigania maeneo ya raia mijitu Iko ndan ya soko au inarusha makombora
 
Hizo propaganda kaawambie mashoga watoto milioni 15 na wanawake waliokufa ni Hamas, kwa hiyo mabomu ya Israel yanachagua watoto na wanawake wanaacha Hamas? Israel wenyewe wanasema Hamas wana wanamgambo 25,000 si wangekuwa wameisha.
Kichwa chako kibovu sana, nani aliyekwambia bomu lina macho mpaka lichague wa kumlipua? hao wanamgambo 25000 kama wanajiweza kwanini wasipigane direct badala ya kuvizia kwa kujificha palipo na raia wasio na hatia?

Nakwambia tena, kama hao ndugu zako wa Hamas unawaamini waambie wakiwachokoza IDF wasiende kujificha hospitalini na maeneo mengine ya public, ili upate nafasi ya kuona vizuri ukubwa wa ujinga wako.

IDF last time walitoa mpaka ultimatum lini watashambulia watu wahame, ukaidi wenu kuwakumbatia Hamas mkiwa na wake zenu na watoto ndio unawafanya mlie kama chiriku sasa.
 
Wanakumbi.

🚨🇮🇱🇵🇸HAMAS: TUNAWASHIKILIA MAAFISA 30 WA ISRAELI "MAHALI SALAMA"

Madai yao yameibua wasiwasi kwamba baadhi ya mateka huenda walisafirishwa kutoka Gaza hadi Sinai nchini Misri ili kuzuia kuachiliwa kwao wakati wa mashambulizi ya ardhini ya Israel huko Rafah.

Hamas pia walisema hawana uhakika ni mateka wangapi waliosalia hai lakini walidai kuwa ni zaidi ya vile maafisa wa Israel walivyofikiria.

IDF wameshindwa kupigana na Hamas wamebakia kuwashambulia raia na kuuwa watoto na wanawake, kila wakijaribu kuingia uwanja wa vita kupambana na Hamas wanauliwa na kukamatwa, Netanyahu kili siku anasema wameimaliza Hamas hafahamu hata maafisa wake wamekamatwa na Hamas.

Chanzo: Israel Today


View: https://x.com/marionawfal/status/1783063464048513251?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Hii vita nilikuwa naichukulia poa ,ni vita ngumu sana hii!
 
Kichwa chako kibovu sana, nani aliyekwambia bomu lina macho mpaka lichague wa kumlipua? hao wanamgambo 25000 kama wanajiweza kwanini wasipigane direct badala ya kuvizia kwa kujificha palipo na raia wasio na hatia?

Nakwambia tena, kama hao ndugu zako wa Hamas unawaamini waambie wakiwachokoza IDF wasiende kujificha hospitalini na maeneo mengine ya public, ili upate nafasi ya kuona vizuri ukubwa wa ujinga wako.

IDF last time walitoa mpaka ultimatum lini watashambulia watu wahame, ukaidi wenu kuwakumbatia Hamas mkiwa na wake zenu na watoto ndio unawafanya mlie kama chiriku sas.
Kichwa chako kibovu sana, nani aliyekwambia bomu lina macho mpaka lichague wa kumlipua? hao wanamgambo 25000 kama wanajiweza kwanini wasipigane direct badala ya kuvizia kwa kujificha palipo na raia wasio na hatia?

Nakwambia tena, kama hao ndugu zako wa Hamas unawaamini waambie wakiwachokoza IDF wasiende kujificha hospitalini na maeneo mengine ya public, ili upate nafasi ya kuona vizuri ukubwa wa ujinga wako.

IDF last time walitoa mpaka ultimatum lini watashambulia watu wahame, ukaidi wenu kuwakumbatia Hamas mkiwa na wake zenu na watoto ndio unawafanya m

A

HUSIKA: Chuo Kikuu cha Columbia kimetangaza kuwa madarasa yatakuwa mbali kwa mwaka mzima huku maandamano ya kuipinga Israel yakitikisa shule.

Sasa kuna simu zinazoongezeka za kurejeshewa masomo kwa chuo cha $70k kwa mwaka sasa ambacho kimegeuka kuwa shule ya mtandaoni.

"Ni muhimu kwamba ufundishaji na ujifunzaji uendelee wakati huu. Tunatambua hali zinatofautiana katika vyuo vyetu vyote na hivyo kutoa miongozo ifuatayo," shule ilisema wakati ikitoa tangazo hilo.

Hii inaendelea kuwa bora.

Video: @OliLondonTV


View: https://x.com/collinrugg/status/1782809306272055640?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Marekani nchi ya ajabu imewakalibisha Hawa watu saivi imekuwa kelo Hawa ndio magaidi wa badae
 
Punguani mwingine huyu hapa yaani watu wanaonewa kwenye ardhi yao wewe upo Tundulu unaumwa UTI sugu wazazi wako wanakunya kwenye mashimo unawaita Palestina magaidi, huko kwa mabwana zenu US vyuo vikuu vyote ninafanya maandamano wewe punguani unawaita wajinga daaah Tanzania mapunguani hawawezi kuisha.
Wewe utaweuka bure. Hayo maandamano yamesaidia nini gadi sasa? Wanafunzi wanaandamana Serikali inaidhinisha misaada kwa wayahudi.
 
hao ndio walioanzisha uisilam pia
 
Punguani mwingine huyu hapa yaani watu wanaonewa kwenye ardhi yao wewe upo Tundulu unaumwa UTI sugu wazazi wako wanakunya kwenye mashimo unawaita Palestina magaidi, huko kwa mabwana zenu US vyuo vikuu vyote ninafanya maandamano wewe punguani unawaita wajinga daaah Tanzania mapunguani hawawezi kuisha.
😂😂😂

Kwa hiyo wewe na wazazi wako mko Gaza mnakunya kwenye mahandaki siyo?
 
Wanakumbi.

🚨🇮🇱🇵🇸HAMAS: TUNAWASHIKILIA MAAFISA 30 WA ISRAELI "MAHALI SALAMA"

Madai yao yameibua wasiwasi kwamba baadhi ya mateka huenda walisafirishwa kutoka Gaza hadi Sinai nchini Misri ili kuzuia kuachiliwa kwao wakati wa mashambulizi ya ardhini ya Israel huko Rafah.

Hamas pia walisema hawana uhakika ni mateka wangapi waliosalia hai lakini walidai kuwa ni zaidi ya vile maafisa wa Israel walivyofikiria.

IDF wameshindwa kupigana na Hamas wamebakia kuwashambulia raia na kuuwa watoto na wanawake, kila wakijaribu kuingia uwanja wa vita kupambana na Hamas wanauliwa na kukamatwa, Netanyahu kili siku anasema wameimaliza Hamas hafahamu hata maafisa wake wamekamatwa na Hamas.

Chanzo: Israel Today


View: https://x.com/marionawfal/status/1783063464048513251?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Ngumu kumeza! Wamewaficha wapi! Kama Israel imeweza kuwatafuta viongozi wa Hamas, na kuwaua, itashindwaje kuwa na intelijensia kujua mateka walipo? Hii, ni, propaganda ty
 
Back
Top Bottom