Hamas: Tunawashikilia maafisa 30 wa Israeli "Mahali salama

Hamas: Tunawashikilia maafisa 30 wa Israeli "Mahali salama


Tataz nyie midomo na msije lalamika et watoto na wamama wanauwawa wakti mnajitia ubabe wa kishamba unajibu kifal sana ww ndo wale wenye miemko ya kidin iv ww hao warabu Wanakunyandua itakua maan huana akili kabis na unandika ujinga hapa iweje Hamas wajifiche kwa raia wema wakipigwa Raia wema nao wasife inamaana risasi na bombs zina macho ya kuchambua gaidi lazima kuangamizwa kwa ghalama yeyote hao wajinga wameona IDF inajiandaa kwenda rafah HAMAS IMELIDU MEZANI INATAKA MAKUBALIANO VITAA IISHE hapo RAFAH Kuna jambo hapo inabidi pafagiliwe ndio yamesalia hapo na ww usilete ugonjwa wako wa akili tumia facts
 

Kupost hizi mnaona Raha sana ila wakipiga bomu hapo unakuta jamaa yuko nawatoto maeneo hayo akijibiwa kwnkishindwa casualt inakuwa kubwa unaskia anauwa raia wema anauwa watoto hata hao wanaoandamana huko US ni pro hamas raia wafia dini kama ww ambae wameenda kule kusoma wanalianzisha na kupata support ya wengne wa mikumbo kama nyie oya oyaa nyingi mtaani zikichochewa na social media akili za vijana ni mikumbo
 
Hawa Walokole wetu wa JF wana shida sana uwa wanajiona wao ni Israel.
Usijione mwarabu ban hata hawan undugu naww hatupendi pia kuona death toll ikiongezeka tena inasikitisha kuona watoto na wamama but in real sense Hamas readers ndio wetaka iwe ivyo in sad Truth wana sacrifice ndugu zao kwa owngain na wamefanikiw kuiwek Dunia ya wanyonge upande wao maana Wana play victim card tuwe wavimilivu na kusubrii tuone outcomes na mjingaa mmoja usitukane watu kwa vitu vya kushabikia mtandaoni ww si kitu out of social media ishi maisha Yako usipandikize chuki pita kule
 
Usijione mwarabu ban hata hawan undugu naww hatupendi pia kuona death toll ikiongezeka tena inasikitisha kuona watoto na wamama but in real sense Hamas readers ndio wetaka iwe ivyo in sad Truth wana sacrifice ndugu zao kwa owngain na wamefanikiw kuiwek Dunia ya wanyonge upande wao maana Wana play victim card tuwe wavimilivu na kusubrii tuone outcomes na mjingaa mmoja usitukane watu kwa vitu vya kushabikia mtandaoni ww si kitu out of social media ishi maisha Yako usipandikize chuki pita kule
Mimi ni msukuma nipo Ngudu nalima Pamba.

View: https://x.com/suppressednws/status/1783766788754252223?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Nyie Waisrael weusi toka lini makawaonea huruma watoto wa Gaza?
 
Unapenda insults aisee
insults ni nini? Punguani ni tusi? Hivi mtu anayeshabikia watoto wa Gaza kuuliwa ukimuita punguani ni tusi?

Halafu nitolee unafiki wako wewe unakesha JF kushangilia mauaji ya Gaza baada ya kuona Marekani wanaandamana unaleta unafiki.

Kwani lazima usome post zangu kama zinakukera pita mbali.
 
Back
Top Bottom