Hamas: Tunawashikilia maafisa 30 wa Israeli "Mahali salama

Hamas: Tunawashikilia maafisa 30 wa Israeli "Mahali salama

Sasa ww ullitaka wakipigwa watoto wasife wakati hao hamas wanapigania maeneo ya raia mijitu Iko ndan ya soko au hospital inarusha makombora
Hizo propagabda za mashoga zimeishapuuzwa siku nyingi wamebakia mapunguani kama wewe wanaomini.

Walianza Shifaa Hospital wakasema ni makao makuu ya Hamas😀

Endelea kushikiwa akili.
 
Wewe mlokole unaumwa UTI sugu unapambana na Hamas kutoka kimara temboni😁
Nataka twende sawa mkuu, fahamu fika kwamba, tukianza kutukanana, hakuna mshimdi kati yetu,
Acha ujahidina wako mkuu kuona kwamba wengine, kwako wewe wanafaa kutukanwa!

Siyo uungwana hata kidogo
 
Waambie ndugu zako wa Hamas waache kujificha mahospitalini na sehemu nyingine zenye mikusanyiko ya raia wasio na hatia, ndio uje hapa useme IDF wameshindwa kupigana na Hamas.

Hamas wanakimbia kimbia kama wakimbizi, waambie watulie sehemu moja kama kweli wana jeshi wapigane na IDF ndio uje hapa uimbe hizo taarabu zako za IDF wameshindwa kuwapiga Hamas.
Basi wawaokoe hao mateka wao. Maana si wana intelligence kali kwanini mateka hadi leo wapo mikononi mwa Hamas mwezi wa saba unaisha huu.
 
Kwa kifupi Israel imeshindwa katika vita vyake! Mwaka 1976 ilichukua kama siku 4 kuwakomboa mateka waliokuwa wanashikiliwa na Idd Amin kwenye uwanja wa Entebe Uganda.
Lakini kwa vita hivi imechukua miezi 6 na hakuna matumaini ya kuwapata mateka kirahisi.
 
Basi wawaokoe hao mateka wao. Maana si wana intelligence kali kwanini mateka hadi leo wapo mikononi mwa Hamas mwezi wa saba unaisha huu.
Lengo la Israel ni kuwatokomeza Hamas. Lengo la Hamas ni kukomboa ardhi wanayodai ni ya kwao ila inakaliwa na Wayahudi. Sasa hapo nakuachia mwenyewe upime ni nani anaelekea kutimiza lengo lake baada ya miezi 7 uliyosema
 
Basi wawaokoe hao mateka wao. Maana si wana intelligence kali kwanini mateka hadi leo wapo mikononi mwa Hamas mwezi wa saba unaisha huu.
Allah mungu wa kiarabu muweza wa yote mbona kashindwa kuingamiza Israel? Mbona kashindwa kuikomboa Palestina? Mungu gani huyo yeye anachojua pekee ni kiarabu tu?

Kayngay
 
Kichwa chako kibovu sana, nani aliyekwambia bomu lina macho mpaka lichague wa kumlipua? hao wanamgambo 25000 kama wanajiweza kwanini wasipigane direct badala ya kuvizia kwa kujificha palipo na raia wasio na hatia?

Nakwambia tena, kama hao ndugu zako wa Hamas unawaamini waambie wakiwachokoza IDF wasiende kujificha hospitalini na maeneo mengine ya public, ili upate nafasi ya kuona vizuri ukubwa wa ujinga wako.

IDF last time walitoa mpaka ultimatum lini watashambulia watu wahame, ukaidi wenu kuwakumbatia Hamas mkiwa na wake zenu na watoto ndio unawafanya mlie kama chiriku sasa.
Wewe ndio una kichwa kibovu.
KAma hamas wanajificha nyuma ya raia mbona maiti zao hazikuonekana zinaonekana za wanawake na watoto?
Yani sawa mimi niteke watoto zako nijifiche nyuma yao bomu lipigwe zipatikane maiti za watoto zako ila maiti yangu isipatikane,inaingia akilini??
Kama hamas wanajificha nyuma ya wanawake na watoto mpaka sasa walitakiwa wawe washamalizwa na maiti zimepatikana.
Bogus wa kiwango cha SGR.
 
Wanakumbi.

🚨🇮🇱🇵🇸HAMAS: TUNAWASHIKILIA MAAFISA 30 WA ISRAELI "MAHALI SALAMA"

Madai yao yameibua wasiwasi kwamba baadhi ya mateka huenda walisafirishwa kutoka Gaza hadi Sinai nchini Misri ili kuzuia kuachiliwa kwao wakati wa mashambulizi ya ardhini ya Israel huko Rafah.

Hamas pia walisema hawana uhakika ni mateka wangapi waliosalia hai lakini walidai kuwa ni zaidi ya vile maafisa wa Israel walivyofikiria.

IDF wameshindwa kupigana na Hamas wamebakia kuwashambulia raia na kuuwa watoto na wanawake, kila wakijaribu kuingia uwanja wa vita kupambana na Hamas wanauliwa na kukamatwa, Netanyahu kili siku anasema wameimaliza Hamas hafahamu hata maafisa wake wamekamatwa na Hamas.

Chanzo: Israel Today


View: https://x.com/marionawfal/status/1783063464048513251?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
UP DATE


View: https://x.com/qudsnen/status/1783138449584783633?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Vita bado mbichi
 
Na mbaya zaidi wanaoandamana wengi wamarekani wenyewe asilia wala sio waarabu na kama wapo ni wachache ila wengi wao wamarekani wenyewe.
Halafu kuna mpuuzi atakuja kukwambia hapo kuna waarabu tupu.
Hawa Walokole wetu wa JF wana shida sana uwa wanajiona wao ni Israel.
 
Kwani hiyo ni Video ya kwanza hamas kuitoa? Zile walizozitoa mwanzo zilisaidia nini?
Unaonekana punguani tu kwa kutukana kila mtu. Ficha ujinga wako
Sijamtukana onyesha hayo mattusi kukuita punguani siyo tusi wewe ni pungunia kusema Hamas wanajificha kwa raia mfano hii video Hamas wenyewe hawapigwi mabomu?
Wewe ni punguani narudia tena unaleta propaganda za kishoga msikillize Askari wa IDF

Tukuamini wewe muisrael mweusi wa Ngudu au Mwanajeshi wa Israel?i


View: https://x.com/suppressednws/status/1783424715685585104?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Shoga ni wewe unayepumuliwa na waarabu. Toa upunguani wako hapa, huko X kila mtu anayaona hayo unayoyaleta humu halafu ukiambiwa unaanza kutukana watu.
Huna haki ya kutukana kila mtu ila una haki ya kutoa maoni yako.
Mimi ni mtu mweusi na siwezi kuwa malaya na mtumwa wa dini na tamaduni za watu kama wewe.
Unapenda kutamka ushoga kwa sababu ushafumuliwa matundu yote unabaki kubwabwaja tu.
Jiheshimu na ufiche upumbavu wako
Uharo mtupu.
 
Back
Top Bottom