Hamas: Tunawashikilia maafisa 30 wa Israeli "Mahali salama

Sasa ww ullitaka wakipigwa watoto wasife wakati hao hamas wanapigania maeneo ya raia mijitu Iko ndan ya soko au hospital inarusha makombora
Hizo propagabda za mashoga zimeishapuuzwa siku nyingi wamebakia mapunguani kama wewe wanaomini.

Walianza Shifaa Hospital wakasema ni makao makuu ya Hamas😀

Endelea kushikiwa akili.
 
Wewe mlokole unaumwa UTI sugu unapambana na Hamas kutoka kimara temboni😁
Nataka twende sawa mkuu, fahamu fika kwamba, tukianza kutukanana, hakuna mshimdi kati yetu,
Acha ujahidina wako mkuu kuona kwamba wengine, kwako wewe wanafaa kutukanwa!

Siyo uungwana hata kidogo
 
Basi wawaokoe hao mateka wao. Maana si wana intelligence kali kwanini mateka hadi leo wapo mikononi mwa Hamas mwezi wa saba unaisha huu.
 
Kwa kifupi Israel imeshindwa katika vita vyake! Mwaka 1976 ilichukua kama siku 4 kuwakomboa mateka waliokuwa wanashikiliwa na Idd Amin kwenye uwanja wa Entebe Uganda.
Lakini kwa vita hivi imechukua miezi 6 na hakuna matumaini ya kuwapata mateka kirahisi.
 
Basi wawaokoe hao mateka wao. Maana si wana intelligence kali kwanini mateka hadi leo wapo mikononi mwa Hamas mwezi wa saba unaisha huu.
Lengo la Israel ni kuwatokomeza Hamas. Lengo la Hamas ni kukomboa ardhi wanayodai ni ya kwao ila inakaliwa na Wayahudi. Sasa hapo nakuachia mwenyewe upime ni nani anaelekea kutimiza lengo lake baada ya miezi 7 uliyosema
 
Basi wawaokoe hao mateka wao. Maana si wana intelligence kali kwanini mateka hadi leo wapo mikononi mwa Hamas mwezi wa saba unaisha huu.
Allah mungu wa kiarabu muweza wa yote mbona kashindwa kuingamiza Israel? Mbona kashindwa kuikomboa Palestina? Mungu gani huyo yeye anachojua pekee ni kiarabu tu?

Kayngay
 
Wewe ndio una kichwa kibovu.
KAma hamas wanajificha nyuma ya raia mbona maiti zao hazikuonekana zinaonekana za wanawake na watoto?
Yani sawa mimi niteke watoto zako nijifiche nyuma yao bomu lipigwe zipatikane maiti za watoto zako ila maiti yangu isipatikane,inaingia akilini??
Kama hamas wanajificha nyuma ya wanawake na watoto mpaka sasa walitakiwa wawe washamalizwa na maiti zimepatikana.
Bogus wa kiwango cha SGR.
 
Vita bado mbichi
 
Na mbaya zaidi wanaoandamana wengi wamarekani wenyewe asilia wala sio waarabu na kama wapo ni wachache ila wengi wao wamarekani wenyewe.
Halafu kuna mpuuzi atakuja kukwambia hapo kuna waarabu tupu.
Hawa Walokole wetu wa JF wana shida sana uwa wanajiona wao ni Israel.
 
Kwani hiyo ni Video ya kwanza hamas kuitoa? Zile walizozitoa mwanzo zilisaidia nini?
Unaonekana punguani tu kwa kutukana kila mtu. Ficha ujinga wako
Sijamtukana onyesha hayo mattusi kukuita punguani siyo tusi wewe ni pungunia kusema Hamas wanajificha kwa raia mfano hii video Hamas wenyewe hawapigwi mabomu?
Wewe ni punguani narudia tena unaleta propaganda za kishoga msikillize Askari wa IDF

Tukuamini wewe muisrael mweusi wa Ngudu au Mwanajeshi wa Israel?i


View: https://x.com/suppressednws/status/1783424715685585104?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Uharo mtupu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…