Hizo propagabda za mashoga zimeishapuuzwa siku nyingi wamebakia mapunguani kama wewe wanaomini.Sasa ww ullitaka wakipigwa watoto wasife wakati hao hamas wanapigania maeneo ya raia mijitu Iko ndan ya soko au hospital inarusha makombora
Akili ya Muisael mweusi imegoma kukubali.Ngumu kumeza! Wamewaficha wapi! Kama Israel imeweza kuwatafuta viongozi wa Hamas, na kuwaua, itashindwaje kuwa na intelijensia kujua mateka walipo? Hii, ni, propaganda ty
Hizi ndo propaganda sasa tena za kitotoAkili ya Muisael mweusi imegoma kukubali.
View: https://x.com/suppressednws/status/1783138108210303051?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Nataka twende sawa mkuu, fahamu fika kwamba, tukianza kutukanana, hakuna mshimdi kati yetu,Wewe mlokole unaumwa UTI sugu unapambana na Hamas kutoka kimara temboni😁
Basi wawaokoe hao mateka wao. Maana si wana intelligence kali kwanini mateka hadi leo wapo mikononi mwa Hamas mwezi wa saba unaisha huu.Waambie ndugu zako wa Hamas waache kujificha mahospitalini na sehemu nyingine zenye mikusanyiko ya raia wasio na hatia, ndio uje hapa useme IDF wameshindwa kupigana na Hamas.
Hamas wanakimbia kimbia kama wakimbizi, waambie watulie sehemu moja kama kweli wana jeshi wapigane na IDF ndio uje hapa uimbe hizo taarabu zako za IDF wameshindwa kuwapiga Hamas.
Hakuna mateka tena, walishafariki. Kama Hamas wenyewe hawana chakula wala makazi, watawapa mateka accomodation gani? Hata Israel inashambulia tu ikijua target ni kuwamaliza Hamas, na si kutafuta matekaunauliza wanashikiliwa wapi? Wale mateka unajua walipo?
Lengo la Israel ni kuwatokomeza Hamas. Lengo la Hamas ni kukomboa ardhi wanayodai ni ya kwao ila inakaliwa na Wayahudi. Sasa hapo nakuachia mwenyewe upime ni nani anaelekea kutimiza lengo lake baada ya miezi 7 uliyosemaBasi wawaokoe hao mateka wao. Maana si wana intelligence kali kwanini mateka hadi leo wapo mikononi mwa Hamas mwezi wa saba unaisha huu.
Wewe endelea na ushabiki mandazi ufahamu lolote.Hakuna mateka tena, walishafariki. Kama Hamas wenyewe hawana chakula wala makazi, watawapa mateka accomodation gani? Hata Israel inashambulia tu ikijua target ni kuwamaliza Hamas, na si kutafuta mateka
Allah mungu wa kiarabu muweza wa yote mbona kashindwa kuingamiza Israel? Mbona kashindwa kuikomboa Palestina? Mungu gani huyo yeye anachojua pekee ni kiarabu tu?Basi wawaokoe hao mateka wao. Maana si wana intelligence kali kwanini mateka hadi leo wapo mikononi mwa Hamas mwezi wa saba unaisha huu.
Wewe ndio una kichwa kibovu.Kichwa chako kibovu sana, nani aliyekwambia bomu lina macho mpaka lichague wa kumlipua? hao wanamgambo 25000 kama wanajiweza kwanini wasipigane direct badala ya kuvizia kwa kujificha palipo na raia wasio na hatia?
Nakwambia tena, kama hao ndugu zako wa Hamas unawaamini waambie wakiwachokoza IDF wasiende kujificha hospitalini na maeneo mengine ya public, ili upate nafasi ya kuona vizuri ukubwa wa ujinga wako.
IDF last time walitoa mpaka ultimatum lini watashambulia watu wahame, ukaidi wenu kuwakumbatia Hamas mkiwa na wake zenu na watoto ndio unawafanya mlie kama chiriku sasa.
Vita bado mbichiWanakumbi.
🚨🇮🇱🇵🇸HAMAS: TUNAWASHIKILIA MAAFISA 30 WA ISRAELI "MAHALI SALAMA"
Madai yao yameibua wasiwasi kwamba baadhi ya mateka huenda walisafirishwa kutoka Gaza hadi Sinai nchini Misri ili kuzuia kuachiliwa kwao wakati wa mashambulizi ya ardhini ya Israel huko Rafah.
Hamas pia walisema hawana uhakika ni mateka wangapi waliosalia hai lakini walidai kuwa ni zaidi ya vile maafisa wa Israel walivyofikiria.
IDF wameshindwa kupigana na Hamas wamebakia kuwashambulia raia na kuuwa watoto na wanawake, kila wakijaribu kuingia uwanja wa vita kupambana na Hamas wanauliwa na kukamatwa, Netanyahu kili siku anasema wameimaliza Hamas hafahamu hata maafisa wake wamekamatwa na Hamas.
Chanzo: Israel Today
View: https://x.com/marionawfal/status/1783063464048513251?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvwUP DATE
View: https://x.com/qudsnen/status/1783138449584783633?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Na mbaya zaidi wanaoandamana wengi wamarekani wenyewe asilia wala sio waarabu na kama wapo ni wachache ila wengi wao wamarekani wenyewe.
Hawa Walokole wetu wa JF wana shida sana uwa wanajiona wao ni Israel.Na mbaya zaidi wanaoandamana wengi wamarekani wenyewe asilia wala sio waarabu na kama wapo ni wachache ila wengi wao wamarekani wenyewe.
Halafu kuna mpuuzi atakuja kukwambia hapo kuna waarabu tupu.
Sijamtukana onyesha hayo mattusi kukuita punguani siyo tusi wewe ni pungunia kusema Hamas wanajificha kwa raia mfano hii video Hamas wenyewe hawapigwi mabomu?Kwani hiyo ni Video ya kwanza hamas kuitoa? Zile walizozitoa mwanzo zilisaidia nini?
Unaonekana punguani tu kwa kutukana kila mtu. Ficha ujinga wako
Uharo mtupu.Shoga ni wewe unayepumuliwa na waarabu. Toa upunguani wako hapa, huko X kila mtu anayaona hayo unayoyaleta humu halafu ukiambiwa unaanza kutukana watu.
Huna haki ya kutukana kila mtu ila una haki ya kutoa maoni yako.
Mimi ni mtu mweusi na siwezi kuwa malaya na mtumwa wa dini na tamaduni za watu kama wewe.
Unapenda kutamka ushoga kwa sababu ushafumuliwa matundu yote unabaki kubwabwaja tu.
Jiheshimu na ufiche upumbavu wako