Hamas wajibu sababu ya kuteka na kuua raia wa kigeni: Inatuma ujumbe taifa haramu la Israel sio salama kuingia

Hamas wajibu sababu ya kuteka na kuua raia wa kigeni: Inatuma ujumbe taifa haramu la Israel sio salama kuingia

H

Kundi la Hamas limejibu kuhusu shutma mbalimbali zinazotolewa kwa kundi hilo kuwa limeua raia wa kigeni ambao hawahusiki na mgogoro wake na Israel

Hamas wamejibu tuhuma hizo kwa kusema kuwa raia wa kigeni kuuawa kunatuma ujumbe kwa mataifa mengine kuwa taifa haramu la Israel sio salama na raia wa nchi nyingine wasiwe wanaendelea kukaa huko,

Msemaji wao ameongeza kuwa raia wa kigeni kwenda Israel kwa ajili ya shughuli yoyote ni kama anaunga mkono taifa hilo haramu na hivyo naye ni muhusika kwenye vita yao isiyoisha dhidi ya Israel
Hoja dhaifu sana hiyo kwenye ulimwengu wa waungwana Palestine unaungwa mkono na nchi nyingi za duani ya tatu ukiondoa nchi uropa na America sasa walitakiwa kuwa waungwana kwa raia wa nchi hizi za dunia ya 3 sio kwa ukatili huo waliofanya kwa vijana wanaotafuta maisha yao nje ya nchi
 
Wewe ni mpumbavu
Wazayuni wanaporusha makombora na drones na kulipua makazi ya raia na kuua maelfu ya wapalestina indiscriminately na risasi unadhani wao wanaouawa ni nguruwe ?
Pumbavu
Unapokuwa kwenye line of fire ukabondwa ni tatizo lako ,Israel inajulikana ni war zone
Na propaganda zinazosambazwa na wazayuni kamwe ni mwendawazimu tu ndio ataziamini .
Hiyo miili Hamas wana facilities gani za kuhifadhi maiti muda wote huo ,wakati tunaambiwa hamna nishati hapo Gaza ?
Watu hata akili hawatumii
Mpumbavu ni wewe ambaye dini ya waaranu imekutoa ufahamu Hadi unasaliti watanzania wenzio
 
Wewe ni mpumbavu
Wazayuni wanaporusha makombora na drones na kulipua makazi ya raia na kuua maelfu ya wapalestina indiscriminately na risasi unadhani wao wanaouawa ni nguruwe ?
Pumbavu
Unapokuwa kwenye line of fire ukabondwa ni tatizo lako ,Israel inajulikana ni war zone
Na propaganda zinazosambazwa na wazayuni kamwe ni mwendawazimu tu ndio ataziamini .
Hiyo miili Hamas wana facilities gani za kuhifadhi maiti muda wote huo ,wakati tunaambiwa hamna nishati hapo Gaza ?
Watu hata akili hawatumii
Usingeweka hiyo mitusi ningekujibu kila paragraph uliyoandika, bahati mbaya kwako mitusi yako imenionesha hauna kifua cha kustahimili argument.

But inatosha ujue tu, sijaona chochote cha maana ulichoandika hapo.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Raia anayerudi kwenye nchi yake anakuwaje mkimbizi?
Nchi ipi?
Waisrahell wote walikua wameondoka kwenye hio nchi mnayodai yao
Hili lakua waliregelea baada ya kuhama ni jipya
Ndio kwanza nasikia leo kwamba nchi nzima watu walihama halaf wakarejelea huu uzuzu mnalishwa
Mazayuni magaidi hayafai kuwepo pale yalipo
 
Nchi ya asili ya waisraeli ni ipi?

Nchi ya asili ya wapalestina ni ipi?

Kama nchi ni ya waisraeli, wapalestina walifikaje hapo Israel?

Kama nchi ni ya wapalestina, Waisreli walifakaje hapo Palestina?
Waisrahell walipelekwa mwaka 1948 mbona hili lipo wazi
Na kabla yakupelekwa pale walikua wanataka kupelekwa eidha uganda kwa afrika au Canada kwa kule amerka
Mazayuni majizi ya ardhi za watu yale mapumbu
 
Wanadhani kila Raia wa kigeni anaifahamu kwa undani historia ya mgogoro wao na israel. Humo humo israel kwenyewe kuna wasioiunga mkono hiyo vita.

Mbona hatukusikia wameteka ama kuwaua wapalestina waliokuwa wakiishi israel? Kitendo cha mtu kuwepo israel hai justify hicho wanachowafanyia.

Hawana akili ndiyo maana wametoa sababu ya kipuuzi sana isiyokuwa na mashiko.
Naungama na wewe, haya MAHAMAS yamesahau kuwa kila siku asubuhi Wapalestina huvuka mipaka kwenda Israel kufanya kazi wakapata riziki zao. Leo hii raia wa kigeni wanauawa kwa kupigwa risasi vichwani at close range. Kwa kweli Joshua amauawa kinyama sana R I P Joshua and Clemence.
 
Kwa hiyo kauli yao, hao magaidi hawaoni wamejigeuza kuwa maadui na nchi zote zenye raia wao ndani ya Israel?

Ajabu kuna wajinga wanaotetea ushetani unaofanywa na hawa magaidi, wakati wao wenyewe wanakiri kuua raia wasio raia wa Israel, tena wasio na hatia.

Hamas ni kundi lenye wanachama wajinga sana. Kutumia utetezi ukiwemo Nyerere kuwaunga mkono Palestina, Nyerere niliyemjua angewalaani hawa wahuni mchana kweupe, kama alivyowaunga mkono hao Palestina, hakuwa mnafiki.

Au kusema Vita ina "collateral damage", na mwingine wowote ni ujinga mtupu, mbona hatujaskia Israel wakiwaua raia wasio wa nchi yao kwa makusudi kama wafanyavyo Hamas?

- Kwanini hao magaidi wa Hamas wasiwe wanatoa ultimatum, kwa raia wasio wa Israel kuondoka kabla hawajaanza kuwateka na kuwaua?

Huo utetezi wa collateral damage unathibitisha Hamas ni wendawazimu, ningeuelewa kidogo endapo bomu lingetupwa sehemu liue mpaka raia wasio husika, lakini sio kuwachagua kabisa, kisha kuwapiga risasi individually. Never.

Hata kama mnasema vita haina macho, lakini mtambue wanaoipigana wana macho, tusifiche maovu ya hao wahuni kwa sababu zozote, wakemewe.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Hao hamasi tayari wamempa Israel uhalali wa kuwafuta, maana yake hawataki kuona taifa la Israel linastawi, watateketezwa
 
Hamas wamejibu tuhuma hizo kwa kusema kuwa raia wa kigeni kuuawa kunatuma ujumbe kwa mataifa mengine kuwa taifa haramu la Israel sio salama na raia wa nchi nyingine wasiwe wanaendelea kukaa huko,
WAna haki ya kupigwa na kufutwa kabisa kumbe hawana akili.
 
Naungama na wewe, haya MAHAMAS yamesahau kuwa kila siku asubuhi Wapalestina huvuka mipaka kwenda Israel kufanya kazi wakapata riziki zao. Leo hii raia wa kigeni wanauawa kwa kupigwa risasi vichwani at close range. Kwa kweli Joshua amauawa kinyama sana R I P Joshua and Clemence.
Fuatilia mambo ujue usipende kuongea bila kujua
Wapalestine huwa wanavuka mpaka kutoka ghaza kwenda kwenye ardhi zao za asili walizoporwa na mazayuni
Eneo lote lile nisehem halali kabisa ya wapalestine
 
KWANZA CHAPISHO ULILOWEKA LIPO NJE YA MADA..
NA HIYO HAIWI SABABU YA MDOGO WANGU MOLLEL KUUAWA NA KISASI KINAENDELEA KULIPWA NA IDF HUKO GAZA NAONA KUPITIA AL JAZEERA TV...
NB: TAIFA HARAM KWA WAARABU NA WAISLAMU...ILA KWA WAKRSTO WA MADHEHEBU YOTE NA WAYAHUDI NI TAIFA LILILOBARIKIWA
Nyie mnaobeba vita hii na kotoa haki kwa mahaba ya dini zenu mnakosea sana, ni kweli utokeaje wake Iko associated na sababu za kiungu(siyo dini plz), ila nyie na dini zenu na mlivobebeshwa mafundisho ya kukalili mnaaenda mbali sana, niwashauli tu kasomeni upya vitabu vya dini mkiwa peke yenu ,msiruhusu mtu yeyote awaambie Nini maana ya maandiko hayo,ila muombeni Mungu awape maana ,mnaposoma mtenganishe misingi ya dini zenu na mfanye kama kitabu huru kwa ajili ya maarifa

Nao wajanja washajua mnavowachukulia, wanatumia Ujinga wenu katika kutokuelewa kama silaha ya kuungwa mkono, wengine wakisikia Allah Akbar wanajua ni wenzao, wanafurahi kwa mahaba yaliyopitiliza mpaka wanaacha kutumia akili,
Hao waarabu wakimalizana na ulimwengu wote ,wakawa na uwakika wote ni waislamu, blacks mtapata shida ,and possibly mtauliwa wote,rejelea Sudan na janjaweed " inawezekana sana uislamu ambao unaweza ikawa na mapenzi ya Mungu uko bongo tu, huku hatubaguani,. Ingawa Kuna sehemu hapahapa bongo Kuna misikiti ya waarabu na misikiti ya waswahili,humor zamani hukuti mweusi ,Bora siku hizi,which I know Mungu hayupo hivo

Uke ukristo, wiki tatu kabla ya vita kuanza Israel kulikuwa na case ya wakristo kudhalilishwa kwa kutemewa mate, hao ni wayahudi kwa wayahudi, ,, acha wale blacks Jews wanavyobaguliwa, Still Mungu hayupo hivo nakwambia, afu Kuna juha humu Hadi Kila anashindwa ,ooo taifa takatifu, kill them the bastard nk,. Uelewa kisoda, sumu na propaganda zimejaa kichwani,,,, ombeni sana sana kwa ajili ya hii vita,Tena isiwe upande Mmoja, acha Mungu ajidhihilishe anavotaka, siyo unavotaka wewe Lisa unawapenda Israel au palestina

NB ,, Kuna uwezekano mkubwa mdogo wetu amekufa coz ni black, hisia ambazo haziwezi zikambeba Mungu halisi Wala Yesu kristo ishara ya upendo na kuvumiliana katika madhaifu yetu,,,, shauri zenu!!!!
 
Nchi ipi?
Waisrahell wote walikua wameondoka kwenye hio nchi mnayodai yao
Hili lakua waliregelea baada ya kuhama ni jipya
Ndio kwanza nasikia leo kwamba nchi nzima watu walihama halaf wakarejelea huu uzuzu mnalishwa
Mazayuni magaidi hayafai kuwepo pale yalipo
Bwana Utam umesema vema kwamba "walikuwa wameondoka" kwa hiyo kumbe walikuwapo hapo awali, hivyo basi wamerudi kwao.
 

Kundi la Hamas limejibu kuhusu shutma mbalimbali zinazotolewa kwa kundi hilo kuwa limeua raia wa kigeni ambao hawahusiki na mgogoro wake na Israel

Hamas wamejibu tuhuma hizo kwa kusema kuwa raia wa kigeni kuuawa kunatuma ujumbe kwa mataifa mengine kuwa taifa haramu la Israel sio salama na raia wa nchi nyingine wasiwe wanaendelea kukaa huko,

Msemaji wao ameongeza kuwa raia wa kigeni kwenda Israel kwa ajili ya shughuli yoyote ni kama anaunga mkono taifa hilo haramu na hivyo naye ni muhusika kwenye vita yao isiyoisha dhidi ya Israel
Code:
raia wa kigeni kwenda Israel kwa ajili ya shughuli yoyote ni kama anaunga mkono taifa hilo haramu na hivyo naye ni muhusika kwenye vita yao isiyoisha dhidi ya Israel
Huu ni msumari wa utos
 
Wanadhani kila Raia wa kigeni anaifahamu kwa undani historia ya mgogoro wao na israel. Humo humo israel kwenyewe kuna wasioiunga mkono hiyo vita.

Mbona hatukusikia wameteka ama kuwaua wapalestina waliokuwa wakiishi israel? Kitendo cha mtu kuwepo israel hai justify hicho wanachowafanyia.

Hawana akili ndiyo maana wametoa sababu ya kipuuzi sana isiyokuwa na mashiko.
Fanya na wewe uende wakakugeuze kisusio.
 

Kundi la Hamas limejibu kuhusu shutma mbalimbali zinazotolewa kwa kundi hilo kuwa limeua raia wa kigeni ambao hawahusiki na mgogoro wake na Israel

Hamas wamejibu tuhuma hizo kwa kusema kuwa raia wa kigeni kuuawa kunatuma ujumbe kwa mataifa mengine kuwa taifa haramu la Israel sio salama na raia wa nchi nyingine wasiwe wanaendelea kukaa huko,

Msemaji wao ameongeza kuwa raia wa kigeni kwenda Israel kwa ajili ya shughuli yoyote ni kama anaunga mkono taifa hilo haramu na hivyo naye ni muhusika kwenye vita yao isiyoisha dhidi ya Israel
Screenshot_20231218-171940.png hoja nyepesi,foolish kabisa
 
Back
Top Bottom