startergear
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 1,148
- 1,478
Kwani wamekwambia zile ni ngumi za kulipwa? Kwamba lazima upigane physically?Magaidi wa Israel,wanavizia kwa kupiga kwa mabomu ya ndege.Na kuua watoto na wanawake,badala ya kupigans na wanaune.
dogo mimi nakuzaa wewe kabisa, pili we ndio nenda shule za vidudu kama akili yako unadhani Hamas anamuogopa Israel.Wewe kuna mawili:-
1. Aidha una umri chini ya miaka 20 maarufu kama (U-20) AU
2. Kama uko above 20, basi hauna elimu yoyote ya maana tofauti na ile mliyozoea ya Madrassat ambayo kikawaida haipanui thinking capacity ya mtu ila ni kudumaza akili tu.
Punguza kuota Israel alisema ataimaliza Hamasi na kasaidiwa na US na Europe nzima Hamasi wanaume imebidi US na warabu wakawabembeleze na kutoa ahadi ya kuijenga tena Gaza, na Silaha za Hamasi au viongozi wa Hamasi wapo pale pale sa Israel kafanya niakik
Akili za waislam wanazijua wenyeweNetanyahu anatamani asingetaja mateka kama moja ya malengo ya vita kwani kwa hilo ameshindwa kwa asilmia 97.Sasa amebakiwa na kuwamaliza Hamas ambao bado wanampiga chenga za maana sana.
Rafah watu waliambiwa waelekee kutoka kaskazini na katikati ya Gaza kwamba ni kwa ajili ya usalama wao.hivi Rafah kuna nini cha muhimu zaidi hadi HAMAS wanaogopa kuvamiwa hapo? au ndiko boss wao alipojificha?
nahisi Sinawar amejificha pale, manake hamas wanaogopa Rafah kuliko chochote.Rafah watu waliambiwa waelekee kutoka kaskazini na katikati ya Gaza kwamba ni kwa ajili ya usalama wao.
Sasa wamechoka kuhama hama na wameshapoteza kila kitu.Wamechoka na hawawezi tena kusumbuliwa.
Ila Wapalestina wamepigika na kuchakaa jamani!! DaaaaKiko wapi wewe mlolokole leo mabwana zako wanafanya makubaliano na Hamas ulivyokuwa punguani unajitoa ufahamu umegeuka kuwa msemaji wa Uisrael kuwa hawatambui haya makubalino tulia dawa iingie.
Viongozi wa Hamas ilibidi wakimbilie Qatar wewe na mamia ya wapiganaji wa Hamas wamechinjwa wewe unaleta majigambo tupuPunguza kuota Israel alisema ataimaliza Hamasi na kasaidiwa na US na Europe nzima Hamasi wanaume imebidi US na warabu wakawabembeleze na kutoa ahadi ya kuijenga tena Gaza, na Silaha za Hamasi au viongozi wa Hamasi wapo pale pale sa Israel kafanya nini ๐
Wanaume wanawatumia watoto na kinamama kama guard?HAMAS ni Wanaume๐คญ๐๐
jamani hao jamaa wameangamia mpka basi ebu waoneeni huruma waache huo ujinga wao basiPunguza kuota Israel alisema ataimaliza Hamasi na kasaidiwa na US na Europe nzima Hamasi wanaume imebidi US na warabu wakawabembeleze na kutoa ahadi ya kuijenga tena Gaza, na Silaha za Hamasi au viongozi wa Hamasi wapo pale pale sa Israel kafanya nini ๐
Tukiwambia nyie hamfahamu mnacho ongea mnabisha, hao viongozi walioko Qatar wako zamani huko tena kwa sababu US kamuomba Qatar wakae pale, ili wapate njia za kuwasiliana nao bwege wewe.Viongozi wa Hamas ilibidi wakimbilie Qatar wewe na mamia ya wapiganaji wa Hamas wamechinjwa wewe unaleta majigambo tupu
Kwanini wasiende vitani ili nao wakafe kama wanawaponza kina mama na wototo Wa Gaza?Tukiwambia nyie hamfahamu mnacho ongea mnabisha, hao viongozi walioko Qatar wako zamani huko tena kwa sababu US kamuomba Qatar wakae pale, ili wapate njia za kuwasiliana nao bwege wewe.
Nyie mnajua nini zaidi ya ushabiki mandazi tu.
We wachana naye huyo Bibi yenu Netanyahu, Hamasi hapo Rafaa hawezi kushindwa na Israel hapata msaidia kitu Israel atapigwa tu kama anavyo pigwa kila siku.Umeisikiliza hotuba ya Bibi leo.
Kwa kifupi amesema Hamas baada ya kuona Israel inaelekea Rafah wakaona wafanye walichokifanya ili kuikwamisha Israel kuingia Rafah lakini hayakuwashtua na wameendelea na operation yao.
Kama Hamas hawaogopi Israel kwani kwenye taarifa zao wanasisitiza Jumuiya za Kimataifa kuwazuia Israel?
Hivi nyie huwa mnafikiri kwa kutumia nini?
Hivi mbona tamaduni za kizungu na kiarabu zimetutoa akili kiasi hiki?
Kwani Netanyahu yuko kwenye frontline siaende basi kama yeye mwamba, ataishia kufoka tu kwenye microphone ๐Kwanini wasiende vitani ili nao wakafe kama wanawaponza kina mama na wototo Wa Gaza?
Gaza imependezeshwa na inapendeza sana!Hamas imetoa tangazo rasmi la kukubali mapendekezo ya kusitisha vita na kuachia baadhi ya madai yao.
Tangazo hilo limeleta furaha kubwa kwa watu wa Gaza na hata Israel japo limekuja huku Israel imeshatoa tangazo la kuhamisha watu mashariki ya Rafah tayari kurudia mashambulizi yale ya nguvu yaliyozoeleka kuanzia kaskazini mpaka Khani Younis.
Dalili za Hamas kukubali kusitisha vita zilikwishaonekana na majibu ya Netanyahu hayakuwaridhisha wananchi wengi wa Israel wakiongozwa na kiongozi wa upinzani,Yair Lapid.
Viongozi wa Hamas wakiungwa mkono na nchi zinazosimamia upatanishi wamemlaumu sana Benjamin Netanyahu kuwa kwa hamu yake ya kuendeleza vita akitaraji kubadili upepo kuwa ndiye kikwazo katika juhudi hizo za kumaliza vita.
Kwa tangazo hili rasmi la Hamas ni lazima kwa Israel kufuta mpango wa kuivamia Rafah au kuendelea na kushindwa moja kwa moja.
Hatua ya kuendelea kuinjgia Rafah na kuuwa mamia ya maelfu ya watu tena kunahatarisha zaidi kuwavuta Misri na Jordan kuvunja mikataba ya amani waliyowekeana na Israel.
Gideon Levy ambaye ni mwandishi mashuhuri wa gazeti la Haaretz amesema Hamas wamecheza sana kwa hatua waliyochukua ambapo wameiwacha serikali ya Israel ikiwa imeduwaa.
Hayupo Frontline lakini hajaikimbia Israel kama hao viongozi wa waoga walioikimbia gazaKwani Netanyahu yuko kwenye frontline siaende basi kama yeye mwamba, ataishia kufoka tu kwenye microphone ๐
Israel huko wenzako wanalia wanaomba vita visimame Netanyahu anaogopa ikisimama vita anaenda jela.
We baki unaota kama Israel atamshinda Hamasi.
Mjinga huyo.Anakupotezea muda kwa ubishi wa kijinga.Hayupo Frontline lakini hajaikimbia Israel kama hao viongozi wa waoga walioikimbia gaza
Unasema hivyo ukiwa umeukalia wa Hamas mmoja au Kumi na moja?HAMAS ni Wanaume๐คญ๐๐
Wewe akili zako kweli za kitoto huyo Netanyahu mara ngapi anaenda jificha chini ya mashimo huko Tela Aviv kama panya c bora nikaishi doha kuliko kuishi Tela Aviv kila kukicha niwe kama panya ๐Hayupo Frontline lakini hajaikimbia Israel kama hao viongozi wa waoga walioikimbia gaza