Angalia hii video ndiyo utqjua anacho uliza mabaki ya makombora anajengeq nyumba.Sasa hiyo ni makombora au baruti
Kwani makombora yaliyorushwa TelAviv ya macho ya kuchagua wanaume tu na kuacha watoto na wanawake?Mbele ya vitendo hivi viovu vya kuua watoto wasio na hatia wasioweza kujitetea, kunyamaza ni sawa na ushirikiano. #Rafah
Kuna mapunguani humu yamejaa ujinga yanafurahia haya mauaji na kuja na propaganda za kishoga eti Hamas wanajificha nyuma ya watoto ukiwauliza Hamas wamekufa wa ngapi kama wanajifucha nyuma ya watoto hayo mabomu yanachagua wa kuwaua.
Unawaambia watu wahame waende kwenye matent wanafika huko unawapiga mabomu.
Israel wameshindwa kupigana na Hamas wanarusha mabomu kwa raia wasiyokuwa na hatia.
Wakitia mguu chini wanakutana na Hamas wanaokota maiti zao.
Hapo hamna Hamas hata mmoja
Mleta uzi alifurahi sana Hamas kurusha maroketi manane Tel Aviv akasema:Acha kujificha kwenye kivuli Cha mashoga hao na makka na Madina wapo kwani Hamas wakirusha makombora Israel yanachagua wanajeshi tu?
Katika ulimwengu wa sayansi, misemo ya kiswahili haina nafasi. Kama kuna baya limemkuta mtu, si lazima ni kwa kuwa alifanya baya, wengine wengi tu hawajafanya lolote lakini wanafanyiwa, na kinyume chakeSawa kuna msemo unasema kila ufanyalo baya litakurudia tu.
Sawa Mungu ajalie uje mfano kwako ili upate akili ujuwe ubaya unalipwa kwa ubaya.Katika ulimwengu wa sayansi, misemo ya kiswahili haina nafasi. Kama kuna baya limemkuta mtu, si lazima ni kwa kuwa alifanya baya, wengine wengi tu hawajafanya lolote lakini wanafanyiwa, na kinyume chake
Hamas hawajifichi nyuma ya raia.
Hayo ni maoni tu ya raia waliochoka vita,katika hao hao raia wapo wanaodai kuwa bora kufa kuliko kuwa chini ya udhalimu wa Israel.
Israel huua raia wa adui ili kuleta intimidation kwa adui adhohofike kivita.
Hata Lebanon Israel aliwatisha hivi hivi kwa kulipua white phosphorus kwa mashamba ya walebanon na kulenga makazi ya raia na IDF ilisema wazi"if Hizbollah will strike Lebanese citizens will suffer with more casualties".
Ndio Hizbollah ikawaamuru raia wa kilebanon kusini mwa Lebanon wahame waondoke.
Israel ndio mtindo wake huo kuua raia kumdhohofisha adui.
Mbaya raia wa Gaza hawana pa kukimbilia.
Ila Lebanon raia walihama pakaachwa patupu Israel kaskazini anasurubiwa kama hana akili nzuri.
Hamas raia wa wapi?. Toa upuuziWanaolia Hamas au raia wa KiPalestina!?
Ona huyu matako na yeye.Hamas raia wa wapi?. Toa upuuzi
Ardhi inaondoka taratibu. Hamas ni kundi linalowapa Israel ardhi taratibuLini IDF alizuiwa na kibali chochote kufanya mashambulizi huko palestina? Hao hamna haja ya kuhangaika nao hao hamas wanawatosha watawatoa kamasi mpaka wakubali kusitisha vita.
Ngumu sana hiyo mkuu .wapalestina watapata nchi yao soonArdhi inaondoka taratibu. Hamas ni kundi linalowapa Israel ardhi taratibu
Ili wasiuze iron dome baada ya kuonekana dhaifu!?..ili maandamano yazidi Israel kushinikiza netanyahu atoke?!..none senseArt of war
Hapa inashangaza mtu anasifia hamas wakati hii inaweza kufanywa na idf walioko Rafah
Wewe mbona haujaja na ushahidi wa LebanonMkuu huu ndio ushahidi wako!?
Sasa hivi si vikatuni tu vinaundwa!?
Umeishiwa hoja.
Mihemko na ushabiki huzuia akili kufanya kazi yake.Art of war
Hapa inashangaza mtu anasifia hamas wakati hii inaweza kufanywa na idf walioko Rafah
Bishana na Amnesty international.Wewe mbona haujaja na ushahidi wa Lebanon
Haya ni mawazo binafsi tu mkuu! sio hitimisho. Ila jaribu kuangalia kutoka pande zote.Kwamba wajidhalilishe mifumo yao haina uwezo wa kuzuia makombora?
Hakuna nchi ya kijinga kama hii kama watakuwa na mipango ya kipuuzi kama unachosema.
Hapa gari la waandishi wa habari likiwa PEKE YAKE kama unavyoliona katika picha,na waandishi wa habari walivaa bullet proof vest zimeandikwa PRESS na walikua nje ya maeneo ya mapigano,ila IDF wakawalipua kwa makusudi.Wewe mbona haujaja na ushahidi wa Lebanon