Hamas warusha makombora Tel Aviv, Israel wapagawa

Hamas warusha makombora Tel Aviv, Israel wapagawa

Mnahusudu uongo kama Allah best of diceiver.. yametunguliwa yote yenye kuhatarisha uslama.. and Hamas wamefyatua baada ya kuona wamekaribiwa mita mia 8 wakaamua ku empty silaha zao zisije chukuliwa ... na eneo walilorushia lishateketezwa..

Tizama Aljazeera Hamas wamelipua kambi ya raia kusingizia Israel na uzuri wamenaswa live wanasingizia air strike
We bwege kweli wapi Al jazeera kaonyesha Hamasi anapiga raia wake. We chizi nini.

Al jazeera anasema israel ndio kapiga tent za hao raia na inajulikana Rafah ni tent za wakimbizi tu hakuna majumba sa silaha ziko wapi.


View: https://youtu.be/DSe2SXNLRlI?si=fZ8JRq7aZ_e-caLc
 
We bwege kweli wapi Al jazeera kaonyesha Hamasi anapiga raia wake. We chizi nini.

Al jazeera anasema israel ndio kapiga tent za hao raia na inajulikana Rafah ni tent za wakimbizi tu hakuna majumba sa silaha ziko wapi.


View: https://youtu.be/DSe2SXNLRlI?si=fZ8JRq7aZ_e-caLc

Na Israel kasema Makamanda wawili wa Hamas wameuwawa.. wakiwa wamejificha kwenye sket za wanawake wa kununua Wakila Mutta.. for now on mshaambiwa muondoke Raffah wabaki Hamas so subiri next.. Hamas wala ISLAMIC jihad hawana sababu ya kulaumu yeyote wao ndio waamuzi achieni Mateka landa Netanyahu atawaspare
 
Rafah inapendezeshwa muda huu!

God Bless Israel
Bomu moja tu ndege wawili.. aljazeera wanakuza tu... wanazuga eti kuzina Hamas na maji ya ndoo... yaani wapate tu sympathy
 
Na Israel kasema Makamanda wawili wa Hamas wameuwawa.. wakiwa wamejificha kwenye sket za wanawake wa kununua Wakila Mutta.. for now on mshaambiwa muondoke Raffah wabaki Hamas so subiri next.. Hamas wala ISLAMIC jihad hawana sababu ya kulaumu yeyote wao ndio waamuzi achieni Mateka landa Netanyahu atawaspare
Hivi dogo we unadhani Hamasi wajinga wakakae kwenye matent, hizo akili ni zenu wewe na Israel ndio mana Israel vita kashindwa anaona aibu kusema nimeshindwa anakimbilia kuwauwa watu wako kwenye matent hata UN wanajua pale Rafah hakuna Hamasi .

Sa alipo piga wapi kakuta silaha,

Mtaishia hivyo hivyo na ujinga vita hi Israel hatashinda mimi nakuhakishia hayo na kila siku zikienda Israel ndio anajichimbia kaburi lake.
 
Na Israel kasema Makamanda wawili wa Hamas wameuwawa.. wakiwa wamejificha kwenye sket za wanawake wa kununua Wakila Mutta.. for now on mshaambiwa muondoke Raffah wabaki Hamas so subiri next.. Hamas wala ISLAMIC jihad hawana sababu ya kulaumu yeyote wao ndio waamuzi achieni Mateka landa Netanyahu atawaspare
Usiwe punguani eti Isreel kasema yaani Hamas wakajifiche kwenye tent 😀 wewe jinga la kiwango cha mwisho Hamas wajifiche kwenye tent na mateka wa Israel watakuwa wapi? Bwana wenu Israel kaishashindwa vita anapiga mabomu hospitali, Tents, shule, majengo kote huko anasema Hamas wamejificha. Unakumbuka Israel walisema Makao Makuu ya Hamas ni Shifaa Hospital na mateka wamefichwa huko wewe bado punguani unalishwa propaganda kila siku unameza tu tumia akili ulizopewa na Mungu, Huwezi kushinda vita kwa kurusha mabomu hovyo ingia ardhini waone wanavyonyooshwa na Hamas, wakijaribu tu wanauliwa wanajeshi wameisha huko Israel wanaomba wa akiba.
 
Kwa hio vita ni kuvunja majumba, hospital, shule au safi sana.
Ukiamua kupigana vita usimchagulie adui namna ya kukupiga. Anaweza hata akazuia flow ya chakula, maji au nishati isiingie eneo lako, wala usilalamike maana uliamua mwenyewe kuingia vitani.
 
Nikisema una matatizo ya uelewa itakua nimekuonea!?

Tizama nilichouliza kesha oanisha na jibu ulionipa,je yamaanishaje?
Ni sawa nikuulize wanaolia ni JWTZ au raia?
Halafu unijibu "JWTZ nao raia wa Tanzania",je ni jibu sahihi kwa kilichoulizwa?View attachment 3000244
Kuna tofauti kati ya kusema Hamas ni waPalestina na kusema Wapalestina ni Hamas. Kama hukusoma hesabu za set utaendelea kudhani ni kitu kile kile
 
Mnahusudu uongo kama Allah best of diceiver.. yametunguliwa yote yenye kuhatarisha uslama.. and Hamas wamefyatua baada ya kuona wamekaribiwa mita mia 8 wakaamua ku empty silaha zao zisije chukuliwa ... na eneo walilorushia lishateketezwa..

Tizama Aljazeera Hamas wamelipua kambi ya raia kusingizia Israel na uzuri wamenaswa live wanasingizia air strike
🤣🤣🤣 Acha vichekesho
 
Kuna tofauti kati ya kusema Hamas ni waPalestina na kusema Wapalestina ni Hamas. Kama hukusoma hesabu za set utaendelea kudhani ni kitu kile kile
Unaleta mifano ku justify makosa yako!?
Kwa nilichouliza ulistahili kujibu vile!?
 
Unaleta mifano ku justify makosa yako!?
Kwa nilichouliza ulistahili kujibu vile!?
Huo sio mfano, ni kile nilichosema. Mimi nimesema Hamas ni Wapalestina, sasa unachokataa ni nini?
 
Unachokieleza IDF waliambiwa wathibitishe ila wakafeli.
Wamekagua kila kona hawakuona silaha hata hizo hospitali walizodai wanajificha.
Kuna madaktari wa UNRWA ambao wazungu walikana na wakatoa ushuhuda kuwa HAKUNA HOSPITALI WALA DAKTARI ANAYETUMIKA NA HAMAS.
We ni nani utoe shutuma hizi!?
Huyo ni mlokole wa kwa mwamposa hauwez kumweleza kitu kuhusu isrel .
 
Huo sio mfano, ni kile nilichosema. Mimi nimesema Hamas ni Wapalestina, sasa unachokataa ni nini?
Swali nililouliza linaendana na jibu ulonipa!?
Narudia mara ya mwisho,unaulizwa
Wanaoteseka JWTZ au raia wa kiTanzania?
We unajibu JWTZ ni raia wa Tanzania,je hilo jibu sahihi??
Kubali tu umekosea mzee.
 
Back
Top Bottom