Hamas warusha makombora Tel Aviv, Israel wapagawa

Hamas warusha makombora Tel Aviv, Israel wapagawa

Iran kuwasaidia Palestine ni sera ya mambo ya nje ya Iran sio mapenzi ya rais anaekuwa madarakani kwa wakati husika.
Sera hiyo huweza kubadilika kidogo kutokana na ombwe la mabadiliko ya uongozi. Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran pamoja na Rais wamebadilika. Wanaokuja wana kazi kubwa kujipanga kwanza internally na kidiplomasia kabla hawajawawaza Wapalestina. Kwanza Rais wa sasa ni wa mpito, nchi iko kwenye tension kuelekea uchaguzi.

Wanachofanya Hamas ni sawa na Marekani wawe kwenye uchaguzi mkuu alafu nchi ndogo mshirika ianzishe vita ikitegemea support yao.
 
Wanaukumbi.

Wiki hii nzima Israeli imeteseka L baada ya L; kidiplomasia, kisiasa na kisheria - na sasa: jana askari wao walitekwa kama POWs, na leo Hamas inaonyesha uwezo wao wa kijeshi haujashushwa, kiasi kwamba wameweza kufyatua risasi huko Tel Aviv.

Nentanyahu na wenzake wanasema wananenda Rafah kumaliza vita, Hamas hawapo huko wapo maeneo mengine na leo wamerusha makombora yametua Tel Aviv

====

Al-Qassam launched about 10-12 long-range rockets, from Rafah, travelling 100-110km to hit Tel Aviv, after a hiatus of 4 months. The Iron dome failed to intercept the rockets, more than 8 direct impacts were made, causing material damage and the ignition of fire. 2 settlers were also injured.

U
Wanaukumbi.

Wiki hii nzima Israeli imeteseka L baada ya L; kidiplomasia, kisiasa na kisheria - na sasa: jana askari wao walitekwa kama POWs, na leo Hamas inaonyesha uwezo wao wa kijeshi haujashushwa, kiasi kwamba wameweza kufyatua risasi huko Tel Aviv.

Nentanyahu na wenzake wanasema wananenda Rafah kumaliza vita, Hamas hawapo huko wapo maeneo mengine na leo wamerusha makombora yametua Tel Aviv

====

Al-Qassam launched about 10-12 long-range rockets, from Rafah, travelling 100-110km to hit Tel Aviv, after a hiatus of 4 months. The Iron dome failed to intercept the rockets, more than 8 direct impacts were made, causing material damage and the ignition of fire. 2 settlers were also injured.

Yaweza kuwa military technique ili ajipe kibali kuipiga kama alivyofanya gaza. Yawezekana kuna operationa anataka kuifanya Rafah lakini anashindwa kutokana na masuala ya kibinadamu iqla kwa jambo hilo ataonekana ni counter attack atapiga mpak mpaka ngamia ili akamilishe mission zake kwa kisingizio zha kupigwa Tel Aviv
 
U

Yaweza kuwa military technique ili ajipe kibali kuipiga kama alivyofanya gaza. Yawezekana kuna operationa anataka kuifanya Rafah lakini anashindwa kutokana na masuala ya kibinadamu iqla kwa jambo hilo ataonekana ni counter attack atapiga mpak mpaka ngamia ili akamilishe mission zake kwa kisingizio zha kupigwa Tel Aviv
Hizo fikra zako unazoengea israel chini ya Marekani na Ulaya akitaka kufanya jambo lolote hamna wa kumzua wala kuomba kibali kama alivyofanya Rafah, waliambiwa Rafah siyo pikinik😀
 
Unaropoka sana kijana.
Israel alivunja muungano upi wa kiarabu katika uwanja wa vita!?
Unaweza kutaja vita na mwaka wa hiyo vita!?
Hamas hawajajichanganya na raia wapo katika vichochoro na mahandaki.
Wawafuate katika mahandaki na vichochoro.
Achana na Hamas,Hizbollah anapiganaga na IDF uwanjani na maporini ila IDF wanashindwa.

Nilitoa mfano wa Uturuki kule juu,mazingira anayopigana nayo Uturuki na PKK ni sawa na ya IDF na Gaza.
Ila mbona Uturuki anafanikiwa!?

Unaleta ujuaji mwingi kumbe kichwani empty set.
Mkuu nawaonea huru wapalestina lakini njia walio amua kuitumia kudai haki zao haya ndio matokeo yake

Wewe endelea kuamini Israel haiana inachofanya zaidi ya kupiga watoto na wakinamama
Watakapo maliza shughuli yapo pale Rafah ndio utajua hujui

Time will tell
 
Israel ni takataka tu. Kama inachukua karibia mwaka ku deal na wahuni walioko kwenye kamji kadogo kama kijiji siku wakikutana na jeshi kamili siwatasambazwa kama kinyesi tu.
Huwa mnachukulia vita ni rahisi sana. Congo mpk leo wanapigana na M23.
Hata zikiungana nchi zote za kiarabu hawawezi kuipiga Israel. Usiandike kwa mihemko.
Russia vs Ukraine imechukua muda gani?
 
Hizo fikra zako unazoengea israel chini ya Marekani na Ulaya akitaka kufanya jambo lolote hamna wa kumzua wala kuomba kibali kama alivyofanya Rafah, waliambiwa Rafah siyo pikinik😀
Gaza mpk Rafah imebaki magofu. Tangu lini pikinik ikafanyika sehemu yenye magofu?
Nilitegemea kipindi Israel imetangaza vita, Hamas wangekaa mpakani kuwazuia wasiingie Gaza na Rafah hivyo hivyo.
Endelea kujifariji, waarabu siyo wa kuwaonea huruma.
Nenda Sudan, km unaowaita waarabu wenzako RSF watakuacha hai kisa muislamu mwenzako
 
Mkuu nawaonea huru wapalestina lakini njia walio amua kuitumia kudai haki zao haya ndio matokeo yake

Wewe endelea kuamini Israel haiana inachofanya zaidi ya kupiga watoto na wakinamama
Watakapo maliza shughuli yapo pale Rafah ndio utajua hujui

Time will tell
 
Wewe Muisrael mweusi wa Tukuyu mlokole angalia wenzako nyie Wakisrito hamtakiwi.
Hivi ndivyo polisi wa israeli wanavyowashughulikia Wayahudi wa Orthodox huko israel, picha zimechukuliwa leo.

Hebu fikiria kumfanyia mzee huyu, Tazama t


View: https://x.com/suppressednws/status/1794784971238080990?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Nenda Sudan ukakutane na waarabu wanaojiita Rapid Support Force (RSF) ambao ni waislamu wenzako kama watakuacha hai.
Waislamu weusi km wewe wanauliwa kwa wingi hapo Sudan.
Hapo ulipo ukienda Tunisia, waarabu wenzako wanakufuza km mbwa utawaharibia kizazi chao.
 
Mkuu nawaonea huru wapalestina lakini njia walio amua kuitumia kudai haki zao haya ndio matokeo yake

Wewe endelea kuamini Israel haiana inachofanya zaidi ya kupiga watoto na wakinamama
Watakapo maliza shughuli yapo pale Rafah ndio utajua hujui

Time will tell
Wakati israel inapiga wanawake na watoto Wanaume huwa wanakuwa wapi?
 
Embu lete ushahidi wa uyasemao.
Maana nikikumbuka so far 2006 alipigana na wanamgambo waliokamilika wakamtoa damu akakimbia na kuacha vifaru pale Lebanon.
Je tangu wakati huo Israel imefutika. Hata huyo Mungu wenu mwarabu anaogopa Israel
 
Wanaukumbi.

Wiki hii nzima Israeli imeteseka L baada ya L; kidiplomasia, kisiasa na kisheria - na sasa: jana askari wao walitekwa kama POWs, na leo Hamas inaonyesha uwezo wao wa kijeshi haujashushwa, kiasi kwamba wameweza kufyatua risasi huko Tel Aviv.

Nentanyahu na wenzake wanasema wananenda Rafah kumaliza vita, Hamas hawapo huko wapo maeneo mengine na leo wamerusha makombora yametua Tel Aviv

====

Al-Qassam launched about 10-12 long-range rockets, from Rafah, travelling 100-110km to hit Tel Aviv, after a hiatus of 4 months. The Iron dome failed to intercept the rockets, more than 8 direct impacts were made, causing material damage and the ignition of fire. 2 settlers were also injured.

Siwatetei israel, japokuw wapo under international pressure currently, wana deal na vitu vingi. Ila hili wanapofanya hamas wanampa israel nafasi ya kupata sababu ya kuendelea na kampeni yake. Right now palestine inakaribia kushinda ushawish wa dunia, hamas tu hawatakiwi kuvuruga hili kwa kuwapa israel sababu
 
Back
Top Bottom