Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Yeah, askari wa JWTZ ni lazima awe raia wa Tanzania kama mimiKwahiyo wewe ni sawa na askari wa JWTZ!??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah, askari wa JWTZ ni lazima awe raia wa Tanzania kama mimiKwahiyo wewe ni sawa na askari wa JWTZ!??
Uraia wa mtu haupimwi kwa kujua kushika silahaSawa lakini kuna raia ambaye ni commando na mwingine hajui hata kushika silaha je wote ni sawa
Sizungumzii shutuma ya UNRWA kiazi wewe.Sio ICJ wewe kilaza. Waliotaka Israel wathibitishe madai yao kwa kuishutumu UNRWA na Israel kushindwa ni UNSC
Kwahiyo wewe nawe mwanajeshi wa JWTZ na umekula kiapo cha kutumikia jeshi!?Yeah, askari wa JWTZ ni lazima awe raia wa Tanzania kama mimi
Labda hujui kinachoongelewa. Hapa unazungumzwa uraia. Kama wewe unajihisi sio raia hadi uhudhurie mafunzo ya jeshi, hiyo ni akili yakoKwahiyo wewe nawe mwanajeshi wa JWTZ na umekula kiapo cha kutumikia jeshi!?
Hamas ambao ni raia wa kipalestina
Kumbe watoto wadogo na wabibi nao ni HAMAS!?Hamas ambao ni raia wa kipalestina
Hawezi kushinda kamwe!! Wanamgambo wa HAMAS wapo Gaza nzima. Wapalestine wenyewe wanajua HAMAS wanachokifanya.🤣🤣 Sasa mbaya zaidi vita vinamuendea vibaya kila kukicha
Hamas wanajificha kwenye kivuli cha wapelstina inaonekana israel inawapiga raia wake na sio wao hamas lakini kuna wakati ikifika inabidi israel ipige tu hapo hapo kwenye raia wa PalestineIsrael ni takataka tu. Kama inachukua karibia mwaka ku deal na wahuni walioko kwenye kamji kadogo kama kijiji siku wakikutana na jeshi kamili siwatasambazwa kama kinyesi tu.
Onyesha nilipoandika hivyo. NasubiriUkasema kila raia wa Palestina ni Hamas.
Kwani raia wa Gaza wanakaaga waefield?Tofauti ya hamas na raia wa palestine ni ipi? And how unawatofautisha kwenye war field?
Utabiri wa Amos 1:6 kuwa Kuta za Gaza zitawaka moto unatimia, Hamas walichokoza kitu wasichokimudu, sawa na Taiwan kuivamia China wakati wanajua kitakachowakuta.Wakipigwa wanaanza kulia
Hamas hawajifichi nyuma ya raia.Hamas wanajificha kwenye kivuli cha wapelstina inaonekana israel inawapiga raia wake na sio wao hamas lakini kuna wakati ikifika inabidi israel ipige tu hapo hapo kwenye raia wa Palestine
Nikisema una matatizo ya uelewa itakua nimekuonea!?Onyesha nilipoandika hivyo. Nasubiri
Bado sana, umeelezea ki civilian sana ila bado . reality ni kwamba ni ngumu kipigana na adui anaejichanganya na raia, adui ambae anajificha katikati ya raia. Moja ya mbinu ya hamas ni ku mix na general population ya wa palestina, only time wanajitenga pale wanapotaka kushambulia.Kwani raia wa Gaza wanakaaga waefield?
Kanisa na hospitali ni war zone?
Wale wanawake watatu waliopigwa na sniper/mdunguaji wa masafa ya mbali kwa rifle wakiwa kanisani je hawakutambulika kuwa raia?
Je walikua katika war zone!?
Hamas hubeba AK-47 begani,pia maeneo yao ni vichochoro na mahandaki ndiko wanakovizia.
Na katika mahandaki yote wanayovizia hakuna hata handaki lililoko ama lililozungukwa na raia.
Video zinarushwa tunazionaga hapa mahandaki wanayochomoka na kuvizia IDF huwa nje na maeneo ya uraia.
Unayoyaeleza Hamas kujificha nyuma ya raia una USHAHIDI na hilo!?Bado sana, umeelezea ki civilian sana ila bado . reality ni kwamba ni ngumu kipigana na adui anaejichanganya na raia, adui ambae anajificha katikati ya raia. Moja ya mbinu ya hamas ni ku mix na general population ya wa palestina, only time wanajitenga pale wanapotaka kushambulia.
Why wanajichanganya? kwao ni safe na rahisi maana raia wako protected na sheria za kimataifa, even wanajeshi wanakua kwa ground wana rules of engagement kuhusu raia (wapo wanafuata wapo ambao hawazifuati), huwa wanasita
Mnahusudu uongo kama Allah best of diceiver.. yametunguliwa yote yenye kuhatarisha uslama.. and Hamas wamefyatua baada ya kuona wamekaribiwa mita mia 8 wakaamua ku empty silaha zao zisije chukuliwa ... na eneo walilorushia lishateketezwa..Iron dome zimezidiwa na usingizi🤣View attachment 3000100
KulalaKazi ya Iron Dome ni nini?
Sikupingi