Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 51,303
- 40,190
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamejificha kwenye mashimo wakiwalia timing mashoga kuwalisha mchanga. 🤣🤣🤣 Vita ni akili jomba. Israel inaingia mwezi wa 9 na mambo bado hayaeleweki😂😂😂😂 Wanaume wanajificha kwenye mashimo kama panya
Wanaacha watoto na wake zao juu hiyo ndio akili??Wamejificha kwenye mashimo waliwalia timing mashoga kuwalisha mchanga. 🤣🤣🤣 Vita ni akili jomba. Israel inaingia mwezi wa 9 na mambo bado hayaeleweki
Msiba huu hapa.Pole namsiba shekhe,
Vita inasheria zake. Netanyau sasahivi anaishi kama digidigi kwa kuuwa watoto na wanawekeWanaacha watoto na wake zao juu hiyo ndio akili??
Kama unajua wanajificha kwenye mashimo waambie basi mabwana zako walipo wao kazi yao kuwalenga watoto na majengo na drone huon jeshi la mashoga walivyokuwa waoga jana wametekwa baada ya kichapo Hamas wamendoka nao wamewapiga kamba za mikono😀😂😂😂😂 Wanaume wanajificha kwenye mashimo kama panya
Hapo tu umenivunja mbavuza wanawake mabonge wakilia
Hao mashoga zenu vita hawaviwezi uliona wapi jeshi likaingiza vifaru mitaani kama sio woman unawasumbua 😄Watu wakifumua hadi hivyo vitoto msianze kutia huruma humu.
Ni suala la muda tu. Yule Rais sasa hivi anajirusha na mabikra 72Hao mashoga zenu vita hawaviwezi uliona wapi jeshi likaingiza vifaru mitaani kama sio woman unawasumbua 😄
Wamezowea kurusha maboom tu kama vichaa wanavyo rusha mawe muhimu limpige yeyote yule awe mtoto au mwanamke ai vizee 😄
Sawa lakini kuna rai ambaye ni commando na mwingine hajui hata kushika silaha je wote ni sawaHata Hamas ni raia wa Palestina
Kama unajua wanajificha kwenye mashimo waambie basi mabwana zako walipo wao kazi yao kuwalenga watoto na majengo na drone huon jeshi la mashoga walivyokuwa waoga jana wametekwa baada ya kichapo Hamas wamendoka nao wamewapiga kamba za mikono😀
Propaganda za kishoga hizo watu wameishazipuuza kwa hiyo wakikimbia kwa watoto mabomu wakipigwa wanachagua wa kuuwa? Usiwe punguani.
Mkuu mimi sina dini na siamini katika Mungu yeyote yuleUpo kishabiki sana, na ndio maana sikuendelea kuisoma komenti yako, matango pori mmelishwa, nanyi kwa chuki zenu kwa dhidi ya waislamu mkaona muendelee kueneza propaganda hizo
Pole sana usie na utu wala huruma, ni heri ukachangie mada za wakongo wanaouwana, huku tuachie wenyewe.
Kama unajua wanajificha kwenye mashimo waambie basi mabwana zako walipo wao kazi yao kuwalenga watoto na majengo na drone huon jeshi la mashoga walivyokuwa waoga jana wametekwa baada ya kichapo Hamas wamendoka nao wamewapiga kamba za mikono😀
Nafikiri ni wakati sasa Tz tutoe askari wa JWTZ na FFU wakasaidie GazaIsrael ni takataka tu. Kama inachukua karibia mwaka ku deal na wahuni walioko kwenye kamji kadogo kama kijiji siku wakikutana na jeshi kamili siwatasambazwa kama kinyesi tu.
Hilo jeshi kamili liko wapi na litakuja lini.Israel ni takataka tu. Kama inachukua karibia mwaka ku deal na wahuni walioko kwenye kamji kadogo kama kijiji siku wakikutana na jeshi kamili siwatasambazwa kama kinyesi tu.
Hamas ambao ni raia wa kipalestinaWanaolia Hamas au raia wa KiPalestina!?
Hamnaga kimbaumbau kule alafu wengi wana shida na wanaishi kwenye kambi. Na wapo jangwani hawalimiHapo tu umenivunja mbavu