Hamas yamuua mtoto wa Waziri huku Israel ikisema vita vimekuwa vigumu

Mm na ugaidi wapi wapi au unamanisha ustaadh alwaz, ritz, malaria 2, faizafoxy🤣🤣🤣🤣 eb kuwa specific bwana, mm siwezi valishwa chupi ya bomu kama hao watu
nilikua namaanisha Adolf Jr na wewe wote mmeolewa nyumba moja na Bwana muyahudi wewe bila kujua ukaanza kumrushia vijembe.
 
Hayo magaidi ya kiislam yalisha kufanyia ugaidi gani? Au walisha kukuvamia nyumbani kwako wakakufanyia ugaidi wa kukutindua hicho kinyeo chako na cha mmeo?
Kuna watu wapuuzi
Huko mitaani kwao wanakaa na waislam tena waislam haswaa
Hawajawahi kuwaibia hata kikombe na wala kuwatendea ubaya
Ila wanaamini kama waislam magaidi wabaya wauaji watesi wanakila sifa mbaya wanazozijua na wasizozijua kupitia BBC CNN NBC FOX nk
Hawa wapuuzi na wajinga wa namna hii kuwaelewa inataka kazi sana ila ndio hvyo tena niwajinga
Ukiwauliza ugaudi wa waislam watakwambia Iraq sijui Somalia sijui Canada
Yaani waislam wanao kaa nao hawauoni ugaidi wao wanaamini waislam wa mbali wanaweza kua magaidi
Uislam ndio njia pekee na sahihi ya mfumo anaotakiwa kuishi mwanaadam
 
Hayo magaidi ya kiislam yalisha kufanyia ugaidi gani? Au walisha kukuvamia nyumbani kwako wakakufanyia ugaidi wa kukutindua hicho kinyeo chako na cha mmeo?
Wee weee koma tena koma shoga mkubwa wee, ujuhi magaidi ya kiislamu ndio walimteka, kumlawiti na kumuua mtanzania mwenzangu lkn pia waliwahi kupiga mji wa dar kwa mabomu 1998 nadhani ulikuwa bado unanyonya kwa mama yako we shoga
 
Ni chuki tu zimewatawala.
 
Sinaga utani na magaidi mie, eb koma kuniletea shobo za kijinga ok
Ndio maana nakuuliza hao unao waita magaidi walisha kufanyia ugaidi gani kwenye maisha yako au familia yako ? Au unaendeshwa na chuki za kipumbavu.
 
Unachotakiwa kujua kuhusu Uislam

View: https://x.com/ovexro/status/1732791990675198166?s=20
 
Acha kujipendekeza kwa Hamas wewe watakuoa shauri yako. Wanaume wa wale
Wanaume gani wanajificha kwenye mashimo kama panya huku wakiacha wanawake na watoto wanauliwa na adui, si inatakiwa wabaki juu ardhini kupambana na wavamizi?!.
 
Si mmesema Israel wanapigana na wanawake na watoto mbona tena mnasema Hamas kaua? kuwaelewa kunahitaji nijitoe ufahamu kabisa make habari mnazoleta humu jukwaani zinatuchanganya kwa kiasi kikubwa
Ufahamu huna...kwa makelele ya karibu mkuu UN,ungekua na ufahamu ungeelewa
 
Si mmesema Israel wanapigana na wanawake na watoto mbona tena mnasema Hamas kaua? kuwaelewa kunahitaji nijitoe ufahamu kabisa make habari mnazoleta humu jukwaani zinatuchanganya kwa kiasi kikubwa
israel haipigani na wanawake na watoto wanpiga wanawake na watoto
 
Allah amjaalie aingie ktk moto na apate adhabu Kalo huko aliko
 
Si mmesema Israel wanapigana na wanawake na watoto mbona tena mnasema Hamas kaua? kuwaelewa kunahitaji nijitoe ufahamu kabisa make habari mnazoleta humu jukwaani zinatuchanganya kwa kiasi kikubwa
Ngoja tukueleweshe.
Hamas anawalenga wanajeshi wa IDF ila IDF inalenga makazi ya raia wa kawaida na kuua hasa wanawake na watoto.
Mathalan Lebanon border Hizbollah ilipolipua Kambi nzima ya jeshi la IDF mpakani IDF wakarusha white phosphorus mashambani na kuua raia wanne.
Kiufupi IDF anatumia raia wa mpinzani kama ngao ya kumdhoofisha mpinzani.
Ukitaka mifano zaidi nakupatia
 
Ulitaka afe nani?
 
Mifano ya kuchonga lakini.
 
Mke wa hamas unadhani vita sawa na kuzungusha dela
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…