Hamas yarusha kombora zito mpaka Tel Aviv. Mtaa mzima kizaazaa

Hamas yarusha kombora zito mpaka Tel Aviv. Mtaa mzima kizaazaa

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Ikiwa ni zaidi ya mwezi sasa tangu vita vianze na huku jeshi la Israel likisema limeizingira Gaza yote kwa vifaru na kubomoa mahandaki yanayotumiwa na Hamas,ghafla leo kombora zito la masafa marefu limeonekana likipaa kutoka Gaza.

Kwa mujibu muandishi wa Aljazeera aliyeko Palestina ya ukiongo wa mashariki,kombora hilo ambalo jina lakie halisi halijajulikana lilifanikiwa kutua mpaka mji wa pembezoni mwa Tel AVIV bila kipingamizi chochote kutoka kwa Iron Dome.

Ufuatiliaji uliofanyika baada ya kutua kwa kombora hilo ulidhihirisha mtaa mzima ukitaharuki huku magari na majumba yakiwaka moto.

Kwa upande mwengine msemaji wa Hamas wa kundi la kijeshi la Alqassan.injinia Osama Hamdan ameilaumu Israel kwa kutokuwa na nia thabitii ya kupatikana mateka inaowashikilia wakiwa hai.

Osama amesema mara kahdaa wameitaka Israel isitishe vita kwa muda ili iweze kuwakushanya mateka 70 wa mwanzo wakiwemo raia wa kigeni ili na nchi hiyo iachie baadhi ya wafungwa wa kipalestina kwenye magereza yake. Sharti lao jengine ni kuruhusiwa misaada iingie maeneo yote ya Gaza bila ubaguzi wa kimaeneo.

Kwa mujibu wa msemaji huyo pendekezo lake hilo limeendelea kukataliwa na Israel kutokana na kiburi chake.
 
Ulishapoteza credit na thamani humu jukwaani, hata uache kuangaika dogo make we fala tu habari zako zote hazina uhalisia🤣🤣🤣🤣
Huamini unachokisikia kwa hisia Israel ni taifa teule.Mimi sijadanganya.Nimeandika nilichokiona kwenye runinga kwa macho yangu.

Ulitaraji hutosikia tena habari za Hamas baada ya kuelezwa na wenzako kuwa wamezingira kwa vifaru na mahandaki yote yamebomolewa.Mbona hawa jamaa bado wako na afya nzuri wakiendelea na vita kwa silaha kadri walizonazo.

Utaona pia Iron Dome zimeishiwa nguvu.Ogopa Syria na Iran wakiingia kazini rasmi kuitetea Palestina.
Kuna utabiri pia Israel imebakiwa na wiki tatu tu kuendelea na vita.

Ama viwe vimesitishwa au kuokoa mateka wote kabla vurugu la kiuchumi kuikumba nchi hiyo.
 
Tukijibu Kwa kishindo mtasema Hilo bomu tulijipiga wenyewe ili tupate sababu ya kutositisha kibano.
Sidhani kama mna kishindo zaidi ya kile ambacho tumekiona Gaza kwa mwezi mmoja na zaidi sasa.Katika historia ya dunia hakuna nguvu kubwa iliyotumika na makombora mazito yaliyotumika kuliko Gaza.Baada ya mwezi jamaa wanaendelea kudunda.

Sijui kama sasa mtafikiria matumizi ya ile nyuklia au vipi.
 
Kwa mujibu muandishi wa Aljazeera aliyeko Palestina ya ukiongo wa mashariki,kombora hilo ambalo jina lakie halisi halijajulikana lilifanikiwa kutua mpaka mji wa pembezoni mwa Tel AVIV bila kipingamizi chochote kutoka kwa Iron Dome.
Screenshot_20230513-214154.png
 
Huamini unachokisikia kwa hisia Israel ni taifa teule.Mimi sijadanganya.Nimeandika nilichokiona kwenye runinga kwa macho yangu...
Ndugu yangu acha kujifariji bure hapa JF.

Israel wanasonga mbele vyema, operesheni zao za kijeshi zimefanikiwa pakubwa na huenda ndani ya wiki chache karibu kila kitu ndani ya Gaza kitakuwa kipo mikononi mwa udhibiti na umiliki wa Israel na historia kuandikwa upya kuwa Gaza ni mali ya Israel kimabavu.

Hakuna cha Syria wala Iran mwenye mpango wa kujiingiza kijeshi kikamilifu huko Gaza, hao wote wamebakia kulalamika, kuchimba mikwara na kuwasaidia Hamas nyuma ya pazia, hawana jeuri ya kujiingiza kizembe vitani.
 
Ikiwa ni zaidi ya mwezi sasa tangu vita vianze na huku jeshi la Israel likisema limeizingira Gaza yote kwa vifaru na kubomoa mahandaki yanayotumiwa na Hamas,ghafla leo kombora zito la masafa marefu limeonekana likipaa kutoka Gaza.
Kwa mujibu muandishi wa Aljazeera aliyeko Palestina ya ukiongo wa mashariki,kombora hilo ambalo jina lakie halisi halijajulikana lilifanikiwa kutua mpaka mji wa pembezoni mwa Tel AVIV bila kipingamizi chochote kutoka kwa Iron Dome.
Ufuatiliaji uliofanyika baada ya kutua kwa kombora hilo ulidhihirisha mtaa mzima ukitaharuki huku magari na majumba yakiwaka moto.
Kwa upande mwengine msemaji wa Hamas wa kundi la kijeshi la Alqassan.injinia Osama Hamdan ameilaumu Israel kwa kutokuwa na nia thabitii ya kupatikana mateka inaowashikilia wakiwa hai.
Osama amesema mara kahdaa wameitaka Israel isitishe vita kwa muda ili iweze kuwakushanya mateka 70 wa mwanzo wakiwemo raia wa kigeni ili na nchi hiyo iachie baadhi ya wafungwa wa kipalestina kwenye magereza yake. yake.
Kwa mujibu wa msemaji huyo pendekezo lake hilo limeendelea kukataliwa na Israel kutokana na kiburi chake.
Ustaadh, punguza propaganda na mihemko
 
Ni kweli vita bado havijaisha na huenda visiishe leo wala kesho lakini upinzani wa Hamas kwa sasa umedorora mnoo na huenda wakati wowote ujao watatangaza kushindwa vita au kusalimu amri kimtindo.
Huwezi kujua.Lakini kutoa tangazo la kushindwa hakuna matarajio.Inaonekana bado wako katika hali nzuri ya kuendelea na vita huku Israel ikionekana kuchoka taabani.
 
Ikiwa ni zaidi ya mwezi sasa tangu vita vianze na huku jeshi la Israel likisema limeizingira Gaza yote kwa vifaru na kubomoa mahandaki yanayotumiwa na Hamas,ghafla leo kombora zito la masafa marefu limeonekana likipaa kutoka Gaza.
Kwa mujibu muandishi wa Aljazeera aliyeko Palestina ya ukiongo wa mashariki,kombora hilo ambalo jina lakie halisi halijajulikana lilifanikiwa kutua mpaka mji wa pembezoni mwa Tel AVIV bila kipingamizi chochote kutoka kwa Iron Dome.
Ufuatiliaji uliofanyika baada ya kutua kwa kombora hilo ulidhihirisha mtaa mzima ukitaharuki huku magari na majumba yakiwaka moto.
Kwa upande mwengine msemaji wa Hamas wa kundi la kijeshi la Alqassan.injinia Osama Hamdan ameilaumu Israel kwa kutokuwa na nia thabitii ya kupatikana mateka inaowashikilia wakiwa hai.
Osama amesema mara kahdaa wameitaka Israel isitishe vita kwa muda ili iweze kuwakushanya mateka 70 wa mwanzo wakiwemo raia wa kigeni ili na nchi hiyo iachie baadhi ya wafungwa wa kipalestina kwenye magereza yake. yake.
Kwa mujibu wa msemaji huyo pendekezo lake hilo limeendelea kukataliwa na Israel kutokana na kiburi chake.
Takbiriiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Ikiwa ni zaidi ya mwezi sasa tangu vita vianze na huku jeshi la Israel likisema limeizingira Gaza yote kwa vifaru na kubomoa mahandaki yanayotumiwa na Hamas,ghafla leo kombora zito la masafa marefu limeonekana likipaa kutoka Gaza.
Kwa mujibu muandishi wa Aljazeera aliyeko Palestina ya ukiongo wa mashariki,kombora hilo ambalo jina lakie halisi halijajulikana lilifanikiwa kutua mpaka mji wa pembezoni mwa Tel AVIV bila kipingamizi chochote kutoka kwa Iron Dome.
Ufuatiliaji uliofanyika baada ya kutua kwa kombora hilo ulidhihirisha mtaa mzima ukitaharuki huku magari na majumba yakiwaka moto.
Kwa upande mwengine msemaji wa Hamas wa kundi la kijeshi la Alqassan.injinia Osama Hamdan ameilaumu Israel kwa kutokuwa na nia thabitii ya kupatikana mateka inaowashikilia wakiwa hai.
Osama amesema mara kahdaa wameitaka Israel isitishe vita kwa muda ili iweze kuwakushanya mateka 70 wa mwanzo wakiwemo raia wa kigeni ili na nchi hiyo iachie baadhi ya wafungwa wa kipalestina kwenye magereza yake. yake.
Kwa mujibu wa msemaji huyo pendekezo lake hilo limeendelea kukataliwa na Israel kutokana na kiburi chake.
Shehe leo hilo kombora limeishia kuwasha moto nyumba na magari tu?

Kwenye hayo magari na nyumba hakukuwa na watu?
 
Back
Top Bottom