Hamas yarusha kombora zito mpaka Tel Aviv. Mtaa mzima kizaazaa

Hamas yarusha kombora zito mpaka Tel Aviv. Mtaa mzima kizaazaa

Huamini unachokisikia kwa hisia Israel ni taifa teule.Mimi sijadanganya.Nimeandika nilichokiona kwenye runinga kwa macho yangu.
Ulitaraji hutosikia tena habari za Hamas baada ya kuelezwa na wenzako kuwa wamezingira kwa vifaru na mahandaki yote yamebomolewa.Mbona hawa jamaa bado wako na afya nzuri wakiendelea na vita kwa silaha kadri walizonazo.
Utaona pia Iron Dome zimeishiwa nguvu.Ogopa Syria na Iran wakiingia kazini rasmi kuitetea Palestina.
Kuna utabiri pia Israel imebakiwa na wiki tatu tu kuendelea na vita.Ama viwe vimesitishwa au kuokoa mateka wote kabla vurugu la kiuchumi kuikumba nchi hiyo.
Vp ile hotuba ya mkuu wa hezbolah bado 🤣🤣🤣🤣🤣.
🤣🤣🤣🤣Syria na iran duuuuh
 
Hii inachekesha sana.
Gaza yote inaelekea kwenda mikononi mwa Israel halafu Hamas wanajitamba kurusha kombora moja kwenda Israel. So what?
Lebanon ilitandikwa vya kutosha na Israel,ikarudia Tena kumalizia kilichobakia, Israel ikokosa wapi pa kupiga.

Siku kadhaa nae akatandikwa vya kutosha akaomba vita iishe, Hezbollah hao🤣

Tunapowaambia Israel hakuna kitu muelewe.
 
Ikiwa ni zaidi ya mwezi sasa tangu vita vianze na huku jeshi la Israel likisema limeizingira Gaza yote kwa vifaru na kubomoa mahandaki yanayotumiwa na Hamas,ghafla leo kombora zito la masafa marefu limeonekana likipaa kutoka Gaza.
Kwa mujibu muandishi wa Aljazeera aliyeko Palestina ya ukiongo wa mashariki,kombora hilo ambalo jina lakie halisi halijajulikana lilifanikiwa kutua mpaka mji wa pembezoni mwa Tel AVIV bila kipingamizi chochote kutoka kwa Iron Dome.
Ufuatiliaji uliofanyika baada ya kutua kwa kombora hilo ulidhihirisha mtaa mzima ukitaharuki huku magari na majumba yakiwaka moto.
Kwa upande mwengine msemaji wa Hamas wa kundi la kijeshi la Alqassan.injinia Osama Hamdan ameilaumu Israel kwa kutokuwa na nia thabitii ya kupatikana mateka inaowashikilia wakiwa hai.
Osama amesema mara kahdaa wameitaka Israel isitishe vita kwa muda ili iweze kuwakushanya mateka 70 wa mwanzo wakiwemo raia wa kigeni ili na nchi hiyo iachie baadhi ya wafungwa wa kipalestina kwenye magereza yake. yake.
Kwa mujibu wa msemaji huyo pendekezo lake hilo limeendelea kukataliwa na Israel kutokana na kiburi chake.
Hamas wakirusha makombora kupiga kupiga raia wa Israel dunia nzima kimya ila Israel ikijibu mashambulizi maandamano yanaanza yakuilaani Israel

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Shehe leo hilo kombora limeishia kuwasha moto nyumba na magari tu?

Kwenye hayo magari na nyumba hakukuwa na watu?
Kwa mujibu wa mpashaji habari hakutaja maafa mengine.
 
Lebanon ilitandikwa vya kutosha na Israel,ikarudia Tena kumalizia kilichobakia, Israel ikokosa wapi pa kupiga.

Siku kadhaa nae akatandikwa vya kutosha akaomba vita iishe, Hezbollah hao🤣

Tunapowaambia Israel hakuna kitu muelewe.
hII kitu naona inakwenda kutokea Gaza
 
allah akbar
allauh akbarrrrr
takbiriiiiii takbiriii
ukisikia aya maneno wee toka nduki kuna gaidi lina jilipua liende kwa mabikra 72
 
Ki wapi chanzo cha hii habari?
Jaza kifurushi halafu fungua taarifa ya habari ya Aljazeera mpaka mwisho.Nimeisikiliza kwenye taarifa ya habari ya saa moja ya huko kwenu.
Habari ya kusikiliza haina link.Inabidi uamini kwani sipendi kudanganya.
 
Habari ya kusikiliza haina link.

Mimi nimeuliza kuhusu chanzo cha habari uliyotoa. Chanzo cha habari sio lazima kiwe link.

Hapo ilipaswa useme chanzo ni taarifa ya habari ya aljazeera au Aljazeera TV. Ungeeeleweka pia.
 
Ulishapoteza credit na thamani humu jukwaani, hata uache kuangaika dogo make we fala tu habari zako zote hazina uhalisia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Anatuleteaga futuhi kila baada ya nusu saa utadhani pana tuzo ya kuanzisha mada nyingi
 
Lebanon ilitandikwa vya kutosha na Israel,ikarudia Tena kumalizia kilichobakia, Israel ikokosa wapi pa kupiga.

Siku kadhaa nae akatandikwa vya kutosha akaomba vita iishe, Hezbollah hao[emoji1787]

Tunapowaambia Israel hakuna kitu muelewe.
Huwa nachekaga sana huu uwongo wako wa Hizbollah kuitandika Israel[emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom