Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
Vp ile hotuba ya mkuu wa hezbolah bado 🤣🤣🤣🤣🤣.Huamini unachokisikia kwa hisia Israel ni taifa teule.Mimi sijadanganya.Nimeandika nilichokiona kwenye runinga kwa macho yangu.
Ulitaraji hutosikia tena habari za Hamas baada ya kuelezwa na wenzako kuwa wamezingira kwa vifaru na mahandaki yote yamebomolewa.Mbona hawa jamaa bado wako na afya nzuri wakiendelea na vita kwa silaha kadri walizonazo.
Utaona pia Iron Dome zimeishiwa nguvu.Ogopa Syria na Iran wakiingia kazini rasmi kuitetea Palestina.
Kuna utabiri pia Israel imebakiwa na wiki tatu tu kuendelea na vita.Ama viwe vimesitishwa au kuokoa mateka wote kabla vurugu la kiuchumi kuikumba nchi hiyo.
Lebanon ilitandikwa vya kutosha na Israel,ikarudia Tena kumalizia kilichobakia, Israel ikokosa wapi pa kupiga.Hii inachekesha sana.
Gaza yote inaelekea kwenda mikononi mwa Israel halafu Hamas wanajitamba kurusha kombora moja kwenda Israel. So what?
Hamas wakirusha makombora kupiga kupiga raia wa Israel dunia nzima kimya ila Israel ikijibu mashambulizi maandamano yanaanza yakuilaani IsraelIkiwa ni zaidi ya mwezi sasa tangu vita vianze na huku jeshi la Israel likisema limeizingira Gaza yote kwa vifaru na kubomoa mahandaki yanayotumiwa na Hamas,ghafla leo kombora zito la masafa marefu limeonekana likipaa kutoka Gaza.
Kwa mujibu muandishi wa Aljazeera aliyeko Palestina ya ukiongo wa mashariki,kombora hilo ambalo jina lakie halisi halijajulikana lilifanikiwa kutua mpaka mji wa pembezoni mwa Tel AVIV bila kipingamizi chochote kutoka kwa Iron Dome.
Ufuatiliaji uliofanyika baada ya kutua kwa kombora hilo ulidhihirisha mtaa mzima ukitaharuki huku magari na majumba yakiwaka moto.
Kwa upande mwengine msemaji wa Hamas wa kundi la kijeshi la Alqassan.injinia Osama Hamdan ameilaumu Israel kwa kutokuwa na nia thabitii ya kupatikana mateka inaowashikilia wakiwa hai.
Osama amesema mara kahdaa wameitaka Israel isitishe vita kwa muda ili iweze kuwakushanya mateka 70 wa mwanzo wakiwemo raia wa kigeni ili na nchi hiyo iachie baadhi ya wafungwa wa kipalestina kwenye magereza yake. yake.
Kwa mujibu wa msemaji huyo pendekezo lake hilo limeendelea kukataliwa na Israel kutokana na kiburi chake.
hII kitu naona inakwenda kutokea GazaLebanon ilitandikwa vya kutosha na Israel,ikarudia Tena kumalizia kilichobakia, Israel ikokosa wapi pa kupiga.
Siku kadhaa nae akatandikwa vya kutosha akaomba vita iishe, Hezbollah hao🤣
Tunapowaambia Israel hakuna kitu muelewe.
Ki wapi chanzo cha hii habari?Kwa mujibu wa mpashaji habari hakutaja maafa mengine.
Upo mpakani mwa Israel na Gaza strip?upinzani wa Hamas kwa sasa umedorora mnoo
Jaza kifurushi halafu fungua taarifa ya habari ya Aljazeera mpaka mwisho.Nimeisikiliza kwenye taarifa ya habari ya saa moja ya huko kwenu.Ki wapi chanzo cha hii habari?
TakbirAllahu akbar
Habari ya kusikiliza haina link.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Anatuleteaga futuhi kila baada ya nusu saa utadhani pana tuzo ya kuanzisha mada nyingiUlishapoteza credit na thamani humu jukwaani, hata uache kuangaika dogo make we fala tu habari zako zote hazina uhalisia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huwa nachekaga sana huu uwongo wako wa Hizbollah kuitandika Israel[emoji3][emoji3]Lebanon ilitandikwa vya kutosha na Israel,ikarudia Tena kumalizia kilichobakia, Israel ikokosa wapi pa kupiga.
Siku kadhaa nae akatandikwa vya kutosha akaomba vita iishe, Hezbollah hao[emoji1787]
Tunapowaambia Israel hakuna kitu muelewe.
Pole Sana,Kuna ulazima WA wewe kusoma anacholeta?[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Anatuleteaga futuhi kila baada ya nusu saa utadhani pana tuzo ya kuanzisha mada nyingi