Hamas yarusha kombora zito mpaka Tel Aviv. Mtaa mzima kizaazaa

Mimi nimeuliza kuhusu chanzo cha habari uliyotoa. Chanzo cha habari sio lazima kiwe link.

Hapo ilipaswa useme chanzo ni taarifa ya habari ya aljazeera au Aljazeera TV. Ungeeeleweka pia.
Sawa.Mara nyengine ntafanya hivyo na nimefurahi nawe umeelewa.
 
Sharti la kwanza la vita Hakuna kupatana na adui wakati wa vita, vipigwe apatikane mshindi
 
Hiyo taarifa utakuwa una kituo chako cha habari. Unahangaika tu.
Swala la.mateka ni kuwaachia wote bila masharti. Hamasi na washirika wao wachague ,kuachia mateka au vifo vya wapalestina viendelee.
Uamuzi ni wao.
 
Ulishapoteza credit na thamani humu jukwaani, hata uache kuangaika dogo make we fala tu habari zako zote hazina uhalisia🤣🤣🤣🤣
Mbaya zaidi Yemen nao washaidhinisha jeshi lao kuingia kazini kuipigania Palestine, #FreePalasintine
 
Unawaunga mkono mayahudi sasa inakuwa hupendi habari zihusuzo mafanikio kwa jeshi la ukombozi la Hamas., Yemen tayari washainisha jeshi kuipigania Palestine, Palestine itakuwa huru tu
 
Jihadist propaganda as usual and if this is the case then why is the Hamas terrorist group pleading for a ceasefire..??😛😛
 
Kwa mnavyojishaua halafu hao mabwana zenu wanatumia hivi vichanga kujilinda

 
Yaani, taarifa haina mahusiano kabisa. Imeanzia mbezi ikapita mbagara ikatokea singida.
 
Hii inachekesha sana.

Gaza yote inaelekea kwenda mikononi mwa Israel halafu Hamas wanajitamba kurusha kombora moja kwenda Israel. So what?
".......kurusha kombora moja kwenda Israel. So what?"
Inachekesha zaidi na ZAIDI kwani hapo ni HAMAS karusha kombora halafu ni HAMAS huyo huyo analia!!. Si angeshangilia na halafu upande wa pili tungesikia Israeli akigumia(akilia) kwa maumivu? GAIDI(HAMAS) katika ubora wake. 🙄
 
Mbaya zaidi Yemen nao washaidhinisha jeshi lao kuingia kazini kuipigania Palestine, #FreePalasintine
Yemen nao wana nini cha ajabu? Wamechakazana wao kwa wao na kujichokea watakuja kuwa threat kwa nani sasa.
 
Hiyo taarifa utakuwa una kituo chako cha habari. Unahangaika tu.
Swala la.mateka ni kuwaachia wote bila masharti. Hamasi na washirika wao wachague ,kuachia mateka au vifo vya wapalestina viendelee.
Uamuzi ni wao.
Habari iko vizuri tu na imerudiwa mara nyingi na vituo vya habari.
Utazidi kushangaa siku baada ya siku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…