Wewe mkenya rais wenu kenda kuwasujudia mazayuni huko kwao, unalijuwa hilo?Ulishapoteza credit na thamani humu jukwaani, hata uache kuangaika dogo make we fala tu habari zako zote hazina uhalisia🤣🤣🤣🤣
Utabiri wa kobasi au?Huamini unachokisikia kwa hisia Israel ni taifa teule.Mimi sijadanganya.Nimeandika nilichokiona kwenye runinga kwa macho yangu.
Ulitaraji hutosikia tena habari za Hamas baada ya kuelezwa na wenzako kuwa wamezingira kwa vifaru na mahandaki yote yamebomolewa.Mbona hawa jamaa bado wako na afya nzuri wakiendelea na vita kwa silaha kadri walizonazo.
Utaona pia Iron Dome zimeishiwa nguvu.Ogopa Syria na Iran wakiingia kazini rasmi kuitetea Palestina.
Kuna utabiri pia Israel imebakiwa na wiki tatu tu kuendelea na vita.
Ama viwe vimesitishwa au kuokoa mateka wote kabla vurugu la kiuchumi kuikumba nchi hiyo.
Hizbullah hana uwezo hata wa kupigana na TPDF hebu kuwa na akili muislamLebanon ilitandikwa vya kutosha na Israel,ikarudia Tena kumalizia kilichobakia, Israel ikokosa wapi pa kupiga.
Siku kadhaa nae akatandikwa vya kutosha akaomba vita iishe, Hezbollah hao[emoji1787]
Tunapowaambia Israel hakuna kitu muelewe.
Hizbullah hana uwezo hata wa kupigana na TPDF hebu kuwa na akili muislam