Hamas yarusha kombora zito mpaka Tel Aviv. Mtaa mzima kizaazaa

Utabiri wa kobasi au?
 
Hizo Mizigio inayotakiwa kuingia Gaza ikaguliwe balabala... Nahisi Jordan kujifanya ana drop Misaada ya Dawa kwa Dege la mizigo achunguzwe na ale kichapo pia.. Barozi si ashaondosha!
 
Hizo Mizigio inayotakiwa kuingia Gaza ikaguliwe balabala... Nahisi Jordan kujifanya ana drop Misaada ya Dawa kwa Dege la mizigo achunguzwe na ale kichapo pia.. Barozi si ashaondosha!
Jordan ni hao hao tu.
 
Lebanon ilitandikwa vya kutosha na Israel,ikarudia Tena kumalizia kilichobakia, Israel ikokosa wapi pa kupiga.

Siku kadhaa nae akatandikwa vya kutosha akaomba vita iishe, Hezbollah hao[emoji1787]

Tunapowaambia Israel hakuna kitu muelewe.
Hizbullah hana uwezo hata wa kupigana na TPDF hebu kuwa na akili muislam
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…