Hamas yasema haina haja na mazungumzo mapya ya kusitisha vita

Hamas yasema haina haja na mazungumzo mapya ya kusitisha vita

Bora wawauwe wote tu
maana kama ni unyama wametendewa wa kutosha
haina haja ya mazungumzo..wapalestina kila kitu kimewasaliti,ulimwengu mzima umewasaliti inaonekana hata mungu hayupo upande wao.
Mungu ana kulinda unapochokozwa, lakini kama wewe ndio umeanzisha ugomvi hakuna cha msasa wa Mungu unabaki na shetani na shetani aliyekutuma uanzishe ugomvi anakuzomea. Hamas waliyatimba October 17 na watu wakashangilia wakajua Israel itafyata mkia na kuwapigia magoti hamas. Israel anajua anachukiwa sana na majirani zake, dawa ya moto ni moto ,ubabe wake ndio umefanya nchi za Egypt, Jordan ziishi naye kwa heshima. Hamas waachie mateka ili vita iishe kwa sababu wamepoteza vitu vingi sana, watoto , wanawake, wazee wasio na hatua yoyote wamekufa.
 
Wapiganaji wa Hamas chini ya kiongozi wao mpya Yahya Sinwar imesema haitashiriki kwenye mazungumzo yaliyopangwa kufanyika wiki hii.
Badala yake kundi hilo ambalo limepigana na Israel kwa takriban mwaka sasa limesema kinachotakiwa ni kutolewa kwa ratiba kamili ya kutekelezwa kwa makubaliano yaliyokwishafanyika miezi kadhaa iliyopita.
Katika salamu walizozitoa kwa waandaaji wa mkutano huo wa mazungumzo ambao ni Qattar,Misri na Marekani,Hamas imesema ni kupoteza muda bure kuzungumzia kitu hicho hicho kila siku na ni kuipa Israel fursa ya kuzidi kuendeleza mauwaji na madhila kwa wapalestina.

Hamas says it won’t take part in cease-fire talks planned for this week


View attachment 3067456
of course, kama nchi imekuwa hivi, usitishe nini sasa na ukirudi ukaishi wapi?
 
Wakati wanaimba Takbir allahu akbar tarehe 07/Oktoba hawakujua kuwa yatakayowapata ni mazito?wao waache wapambane na hali zao
Bora wawauwe wote tu
maana kama ni unyama wametendewa wa kutosha
haina haja ya mazungumzo..wapalestina kila kitu kimewasaliti,ulimwengu mzima umewasaliti inaonekana hata mungu hayupo upande wao.
 
Wakati wanaimba Takbir allahu akbar tarehe 07/Oktoba hawakujua kuwa yatakayowapata ni mazito?wao waache wapambane na hali zao
Hawakujua kabisa.Kilichowasukuma na kufanya ushujaa ule ni yale yaliyokwishawapata huko nyuma.
Israel naye haijui chochote kinachofuatia.Leo anashangilia kuua.Kesho yake inaweza kuwa mbaya zaidi kuliko hii ya kuishi kwenye mahandaki.
 
Sijajua hayo maridhiano ya awali yalikuwa na vipengele gani. Wengine wanasema hii vita inatumika kimkakati ili Netanyahu aendelee kubaki madarakani kwa muda mrefu, kama ni hivyo itachukua muda mrefu kumalizika
Ndio turufu yake iliyobaki netanyahu hyo vita ndio maana hataki iishe
 
Bora wawauwe wote tu
maana kama ni unyama wametendewa wa kutosha
haina haja ya mazungumzo..wapalestina kila kitu kimewasaliti,ulimwengu mzima umewasaliti inaonekana hata mungu hayupo upande wao.
Mungu kama amewatenga pia
 
Mara ya mwisho makubaliano ambayo yalitangazwa sana na Biden ilikuwa ni kusitishwa vita moja kwa moja,Israel kutondosha jeshi lake Gaza na Hamas kuachia mateka wote iliobaki nao.
Wewe inaonekana akili zako ni kama wale jamaa waliotumwa kuwakamata viongozi wa CDM
 
Mungu kama amewatenga pia
Mngu wetu huwa hamtengi mja wake.Kinachotokea Gaza sisi tunasema ni mitihani ya Allah na kila mmoja anatakiwa ajikaze ili aifaulu.
anayeuliwa huwa hatumlilii sana tunajua ametangulia tu.Anayeumia huwa halii mpaka akatoka machozi.
Anayemuona mwenzake anaumizwa ana wajibu wa kumuokoa na kadhalika.
 
Mungu ana kulinda unapochokozwa, lakini kama wewe ndio umeanzisha ugomvi hakuna cha msasa wa Mungu unabaki na shetani na shetani aliyekutuma uanzishe ugomvi anakuzomea. Hamas waliyatimba October 17 na watu wakashangilia wakajua Israel itafyata mkia na kuwapigia magoti hamas. Israel anajua anachukiwa sana na majirani zake, dawa ya moto ni moto ,ubabe wake ndio umefanya nchi za Egypt, Jordan ziishi naye kwa heshima. Hamas waachie mateka ili vita iishe kwa sababu wamepoteza vitu vingi sana, watoto , wanawake, wazee wasio na hatua yoyote wamekufa.
Kwa hiyo sasa hivi mungu yuko upanse wa iran na shetan upande wa israel,maana waisrael wamemuua kiongozi ndani ya iran,wao ndio wameichokoza irani...
 
Mungu ana kulinda unapochokozwa, lakini kama wewe ndio umeanzisha ugomvi hakuna cha msasa wa Mungu unabaki na shetani na shetani aliyekutuma uanzishe ugomvi anakuzomea. Hamas waliyatimba October 17 na watu wakashangilia wakajua Israel itafyata mkia na kuwapigia magoti hamas. Israel anajua anachukiwa sana na majirani zake, dawa ya moto ni moto ,ubabe wake ndio umefanya nchi za Egypt, Jordan ziishi naye kwa heshima. Hamas waachie mateka ili vita iishe kwa sababu wamepoteza vitu vingi sana, watoto , wanawake, wazee wasio na hatua yoyote wamekufa.

Kwani Gaza wameanza jana kupoteza hao wazee na watoto ??

Msikilize myahudi anavyosema


View: https://www.youtube.com/shorts/GVebcxqdcVM?feature=share
 
Mungu ana kulinda unapochokozwa, lakini kama wewe ndio umeanzisha ugomvi hakuna cha msasa wa Mungu unabaki na shetani na shetani aliyekutuma uanzishe ugomvi anakuzomea. Hamas waliyatimba October 17 na watu wakashangilia wakajua Israel itafyata mkia na kuwapigia magoti hamas. Israel anajua anachukiwa sana na majirani zake, dawa ya moto ni moto ,ubabe wake ndio umefanya nchi za Egypt, Jordan ziishi naye kwa heshima. Hamas waachie mateka ili vita iishe kwa sababu wamepoteza vitu vingi sana, watoto , wanawake, wazee wasio na hatua yoyote wamekufa.
Hiyo oct 17 huwa unaitoa wapi ?!!

Ni oct 7
 
Hawakujua kabisa.Kilichowasukuma na kufanya ushujaa ule ni yale yaliyokwishawapata huko nyuma.
Israel naye haijui chochote kinachofuatia.Leo anashangilia kuua.Kesho yake inaweza kuwa mbaya zaidi kuliko hii ya kuishi kwenye mahandaki.
Tukubaliane hapa kwamba mara hii kwa alichokifanya Israel kwa Palestine zitapita karne na karne kutokea tena kizazi cha Wapalestina kitakachothubutu kufanya yale ya Oct 7 na hata ikitokea wakati huo mzayuni atakuwa amekuwa advanced sana kwenye kujilinda madhara hayatakuwa makubwa.

Piga nikupige zitakuwepo lakini ile kuvamia kabisa kijeshi kama mara ile haitotokea,Mashariki Ya Kati inaenda kutulia ikiacha maumivu makali sana kwa jamii za Kipalestina.
 
Back
Top Bottom