Hamas yasema haina haja na mazungumzo mapya ya kusitisha vita

Hamas yasema haina haja na mazungumzo mapya ya kusitisha vita

la oct 07 sio chanzo
ila mpaka hamas wakafanya hivyo hiyo siku ilikua ni wamechoka kuvumilia juu ya mambo wanayotendewa wapalestina
ila jitu jinga kama wew lisilokua na utu wala moyo wa huruma halijielewi lipo tu kukoment oct 7 oct 7
halijui chochote kuhusu huu mgogoro

Kila kitu oct 7.
oct 7 ya nyoko
Ugaidi wa October 7 ndio umeleta kadhia yote hii. Na Israel imeapa kuutokomeza ugaidi kwa faida ya raia wa pande zote mbili.
 
Bora wawauwe wote tu
maana kama ni unyama wametendewa wa kutosha
haina haja ya mazungumzo..wapalestina kila kitu kimewasaliti,ulimwengu mzima umewasaliti inaonekana hata mungu hayupo upande wao.
Ugaidi ni dhambi mbaya. Wakiuwa wanatukuza mungu wao kwa kumuita allahu akibar. Acha wafe waende kwa shetani wao asiependa kuishi kwa amani
 
Tukubaliane hapa kwamba mara hii kwa alichokifanya Israel kwa Palestine zitapita karne na karne kutokea tena kizazi cha Wapalestina kitakachothubutu kufanya yale ya Oct 7 na hata ikitokea wakati huo mzayuni atakuwa amekuwa advanced sana kwenye kujilinda madhara hayatakuwa makubwa.

Piga nikupige zitakuwepo lakini ile kuvamia kabisa kijeshi kama mara ile haitotokea,Mashariki Ya Kati inaenda kutulia ikiacha maumivu makali sana kwa jamii za Kipalestina.
  • Al-Qaeda (Global)
  • ISIS/ISIL/Daesh (Iraq and Syria)
  • Boko Haram (Nigeria)
  • Taliban (Afghanistan)
  • Al-Shabaab (Somalia)
  • Hamas (Palestinian Territories)
  • Hezbollah (Lebanon)
  • Jemaah Islamiyah (Southeast Asia)
  • Al-Qaeda in the Arabian Peninsula (AQAP) (Yemen)
  • Al-Qaeda in the Islamic Maghreb (AQIM) (North Africa)
  • Lashkar-e-Taiba (Pakistan)
  • Jaish-e-Mohammed (Pakistan)
  • Islamic Movement of Uzbekistan (IMU) (Central Asia)
  • Ansar al-Sharia (Libya)
  • Ansar Dine (Mali)
  • Harkat-ul-Mujahideen (Pakistan)
  • Abu Sayyaf Group (Philippines)
  • Jund al-Sham (Syria)
  • Harakat Ahrar al-Sham al-Islamiyya (Syria)
  • Ansar Bayt al-Maqdis (Egypt
Wafia dini wanasema "haya makundi hayahusiani na dini"

Naombeni kundi lolote linalo ongozwa na :
1. Padri.
2,. Mchungaji
3. Nabii.
4. Mtume
 
  • Al-Qaeda (Global)
  • ISIS/ISIL/Daesh (Iraq and Syria)
  • Boko Haram (Nigeria)
  • Taliban (Afghanistan)
  • Al-Shabaab (Somalia)
  • Hamas (Palestinian Territories)
  • Hezbollah (Lebanon)
  • Jemaah Islamiyah (Southeast Asia)
  • Al-Qaeda in the Arabian Peninsula (AQAP) (Yemen)
  • Al-Qaeda in the Islamic Maghreb (AQIM) (North Africa)
  • Lashkar-e-Taiba (Pakistan)
  • Jaish-e-Mohammed (Pakistan)
  • Islamic Movement of Uzbekistan (IMU) (Central Asia)
  • Ansar al-Sharia (Libya)
  • Ansar Dine (Mali)
  • Harkat-ul-Mujahideen (Pakistan)
  • Abu Sayyaf Group (Philippines)
  • Jund al-Sham (Syria)
  • Harakat Ahrar al-Sham al-Islamiyya (Syria)
  • Ansar Bayt al-Maqdis (Egypt
Makundi ya Kigaidi ya kiislamu.
Hatari kubwa sana!!!
 
niondolewe wehu wako
yaan hata kutofautisha uyahudi na uzayuni haujui halaf uvimba kukoment.
kanyonyeshe na kulea mume mambo mengine achana nayo
maana unatangaza utahira wako tu
Mimi ushauri wangu nakupa tena bure achana na masuala ya Palestine maliza shida zako kwanza maana maandishi yako hapa yanakuonyesha namna ulivyo na stress inaonekana kuna kitu kinakusibu.
 
Tukubaliane hapa kwamba mara hii kwa alichokifanya Israel kwa Palestine zitapita karne na karne kutokea tena kizazi cha Wapalestina kitakachothubutu kufanya yale ya Oct 7 na hata ikitokea wakati huo mzayuni atakuwa amekuwa advanced sana kwenye kujilinda madhara hayatakuwa makubwa.

Piga nikupige zitakuwepo lakini ile kuvamia kabisa kijeshi kama mara ile haitotokea,Mashariki Ya Kati inaenda kutulia ikiacha maumivu makali sana kwa jamii za Kipalestina.
Endelea kujidanganya na kudanganywa huko unapodanganywa miaka yote ila ngoja nikutoe tongo

Munaaminishwa miaka kadhaa huki nyuma israhell iliyapiga mataifa yote ya kiarabu kwa siku sita na kuyashinda ila leo ana mwaka anapigana tu na hamas sio nchi ni kundi eneo kama kata ama wilaya fulani mwaka sasa (hapa utapata jibu nani kaongezeka uwezo nani kapungua uwezo)

Miaka ya nyuma huko Palestine walikua wanapigana kwa manati na mawe ila leo wameweza kuingia ndani kabisa ya israhell na kuwafyeka na kurusha marockets kibao (hapa utapata pia jibu nani kaenda mbele na nani karudi nyuma)

Munaambiwa huko nyuma israhell ilitumia 24masaa kutoka hapo kwenda entebee kuwaokoa mateka wake wote ila leo inatumia zaidi ya miezi tisa hapo ghaza jirani na wamekomboa mateka hawazidi wanne (utapata jibu nani kazidi uwezo nani kapungua)

Mwishi Binafsi naamini hii vita itaifanya israhell itambulike rasmi kama taifa ila kama haitatambulika ikaja ikapiganwa vita nyengine huko miaka ya mbeleni israhell hatoboi yaani hatoboi
 
Endelea kujidanganya na kudanganywa huko unapodanganywa miaka yote ila ngoja nikutoe tongo

Munaaminishwa miaka kadhaa huki nyuma israhell iliyapiga mataifa yote ya kiarabu kwa siku sita na kuyashinda ila leo ana mwaka anapigana tu na hamas sio nchi ni kundi eneo kama kata ama wilaya fulani mwaka sasa (hapa utapata jibu nani kaongezeka uwezo nani kapungua uwezo)

Miaka ya nyuma huko Palestine walikua wanapigana kwa manati na mawe ila leo wameweza kuingia ndani kabisa ya israhell na kuwafyeka na kurusha marockets kibao (hapa utapata pia jibu nani kaenda mbele na nani karudi nyuma)

Munaambiwa huko nyuma israhell ilitumia 24masaa kutoka hapo kwenda entebee kuwaokoa mateka wake wote ila leo inatumia zaidi ya miezi tisa hapo ghaza jirani na wamekomboa mateka hawazidi wanne (utapata jibu nani kazidi uwezo nani kapungua)

Mwishi Binafsi naamini hii vita itaifanya israhell itambulike rasmi kama taifa ila kama haitatambulika ikaja ikapiganwa vita nyengine huko miaka ya mbeleni israhell hatoboi yaani hatoboi
Pole 😀
 
Basi sawa Israel imekiri kushindwa, Hamas waachie mateka ili Israel ishindwe basi.

Aah kumbe wanastahiri kichapo. Hapo sawa, mimi nikajua utasema wanaonewa.

Kuna mawili, moja ni kuachia mateka ili Israel iachie mapigano. Mbili, ni kupigana mkiwa mmeshikilia mateka na mkipigwa na Israel. Hamas wamechagua namba mbili, sasa sijui kilio unatoa cha nini. Na mazungumzo wasitake wakae na mateka yao huku vifusi vikishushwa zaidi.
Ingekua kushushwa vifusi ndio ushindi muda huu ghaza ingekua mali ya wazayuni

Ngoja kwanza waliwezaje kukomboa mateka entebbe leo wahapo ghaza wanataka mpaka wapewe

Neta paka alitwambia malengo yake kuifuta hamas na kuokoa mateka mpaka sasa kakomboa mateka wangapi na kuifuta hamas

Tuliwaambia na naendelea kuwaambia ushindi anaoupata israhell ni kuvunja majengo na kuua kina mama na watoto ila kuokoa mateka wake mossad na washirika wake wameshindwa na musahau na kuifuta hamas idf na washirika wake wameshindwa na musahau
 
H
Hawa Hamas hawana busara kabisa.
Nchi imekuwa majivu bado tu wana jimwambafai tu, hivi kukiri kuwa umeshindwa vita kuna ubaya gani ?
Wanawaza Dini tu.
Yaani mafundisho waliyolishwa hayana ustawi wa jamii.
Kwahiyo wakisha wasilimisha Wakristo na Wayahudi wanahamia kupigana na wa Dini nyingine ili wawasilimishe pia.
Kwa mtazamo huo hawawezi kufanikisha azma yao.
Hamas hawana huruma kabisa ya raia wao.
Wapalestina wanawachaguje hao Magaidi kuongoza nchi ?
Hakika inasikitisha sana sana.
Yaani wewe upo kismayo sijui nakuru unaona ubaya wa hamas kuliko wakaazi halali wa ghaza

Wakaazi wa ghaza ukiwaekea pesa na hamas wanachagua hamas sababu wanajua ndio watu sahihi kwa palestina ila wewe unawaona hawafai
 
Magaidi si wanajiita WAISLAMU.
1. ISLAMIC jihad ni WASABATO?
2. MUSLIM BROTHERHOOD ni
Walutheri?
3. Hizbollah ni Anglikan?=. Chama cha Mwenyezi Mungu" au "Kundi la Mungu." Hii ni harakati ya kisiasa na kijeshi inayotokana na dhehebu la Kishia, iliyoko nchini Lebano.

4 . Mujahidin--Asemblies of God? --
ni neno la Kiarabu linalomaanisha "wale wanaojitahidi" au "wapiganaji wa jihadi." Linatokana na neno "jihad," ambalo kwa maana yake halisi linaashiria jitihada au juhudi kwa ajili ya sababu fulani, mara nyingi kwa muktadha wa kidini. Katika matumizi ya kisiasa na kijeshi, "Mujahidin" hurejelea wapiganaji au vikundi vya wanamgambo ambao wanajihusisha na mapambano, mara nyingi kwa misingi ya kidini, dhidi ya kile wanachokiona kama wavamizi au maadui wa Uislamu. Katika historia, jina hili limekuwa maarufu zaidi kuhusiana na wapiganaji waliopambana na uvamizi wa Kisovieti nchini Afghanistan katika miaka ya 1980.

5. Al -Shabab- ni Wabaptisti? ="Al-Shabaab" ni neno la Kiarabu linalomaanisha "Vijana." Ni kundi la wanamgambo wa Kiislamu lenye itikadi kali, lenye makao yake nchini Somalia. Kundi hili lilijitokeza mwanzoni mwa miaka ya 2000 kama tawi la harakati ya Kiislamu nchini Somalia, lakini baadaye lilijitenga na kuwa kundi huru. Al-Shabaab linafahamika kwa kushiriki katika mapambano na mashambulizi ya kigaidi, si tu ndani ya Somalia, bali pia katika nchi jirani kama Kenya. Kundi hili linadhamiria kuanzisha utawala wa Kiislamu wenye misingi ya sheria kali ya Shariah. Pia limehusishwa na mtandao wa kigaidi wa al-Qaeda
Kwani wewe muislamu ukiamua kuanzisha kundi lako kama hao ulowataja likawa lakuua na kuteka na kubaka watu halafu ukalipa jina kundi lako liitwe Allah Akbar ila lisiwe la kiislamu wala dini itakua kundi la kiislamu

Huo ujinga mlomezeshwa kuwatoka mnatakiwa mpigwe msasa kwel kwel yaani
 
Ugaidi ni dhambi mbaya. Wakiuwa wanatukuza mungu wao kwa kumuita allahu akibar. Acha wafe waende kwa shetani wao asiependa kuishi kwa amani
Kwakua wewe unaependa amani utaishi milele hongera😀
 
  • Al-Qaeda (Global)
  • ISIS/ISIL/Daesh (Iraq and Syria)
  • Boko Haram (Nigeria)
  • Taliban (Afghanistan)
  • Al-Shabaab (Somalia)
  • Hamas (Palestinian Territories)
  • Hezbollah (Lebanon)
  • Jemaah Islamiyah (Southeast Asia)
  • Al-Qaeda in the Arabian Peninsula (AQAP) (Yemen)
  • Al-Qaeda in the Islamic Maghreb (AQIM) (North Africa)
  • Lashkar-e-Taiba (Pakistan)
  • Jaish-e-Mohammed (Pakistan)
  • Islamic Movement of Uzbekistan (IMU) (Central Asia)
  • Ansar al-Sharia (Libya)
  • Ansar Dine (Mali)
  • Harkat-ul-Mujahideen (Pakistan)
  • Abu Sayyaf Group (Philippines)
  • Jund al-Sham (Syria)
  • Harakat Ahrar al-Sham al-Islamiyya (Syria)
  • Ansar Bayt al-Maqdis (Egypt
Wafia dini wanasema "haya makundi hayahusiani na dini"

Naombeni kundi lolote linalo ongozwa na :
1. Padri.
2,. Mchungaji
3. Nabii.
4. Mtume
Yanahusiana na dini gani?
Paul makenza wa hapa kenya unajua alishtakiwa kwa kesi gani unajua?
Vijana mnapenda kupelekeshwa kama mbuzi😀
 
Wao ndio wana cha kupoteza maanake wataendelea kukimbilia kwa wanawake na watoto na matokeo yake kusababisha mauaji kuongezeka maradufu.
MUngu siku zote hujidhihirisha kwa njia zake adui wanaishia kugombana wenyewe kwa wenyewe, yule mzee gantz yeye alishaona hawezi kuendelea kuongoza na mtu mjinga akajitoa mapema kwa kujiuzulu
Hawa waliobakiwa hadi sasa wanapayukiana hadharani , gallant akimtuhumu netanyahu kuidanganya dunia
Hii vita tulisema itaiabisha sana serikali ya netanyahu na israel
 

Attachments

  • Screenshot_20240813-061309_Facebook.jpg
    Screenshot_20240813-061309_Facebook.jpg
    269.3 KB · Views: 3
Back
Top Bottom