Hamas yasema haina haja na mazungumzo mapya ya kusitisha vita

Hamas yasema haina haja na mazungumzo mapya ya kusitisha vita

Wanasema kwamba kama hujabatizwa huwezi kuielewa biblia kwani wanasema ikisemwa upanga wewe utajua kua ni upanga hivyo hivyo.

Pia wanasema ikisemwa msichana wewe utajua ni msichana hivyo hivyo kwa sababu kama hujabatizwa hujafunuliwa ili uweze kufahamu parables za kwenye biblia ambazo Yesu alizitumia sana.
Ila ukiwa qafiri kama wewe utaielewa qur an😀

Sunday school na chachi wanawapiga sana saundi sababu wanajua hamujitambui

Hata siku moja upanga hauwezi kua bakora nakinyume chake
 
Wanasema kwamba kama hujabatizwa huwezi kuielewa biblia kwani wanasema ikisemwa upanga wewe utajua kua ni upanga hivyo hivyo.

Pia wanasema ikisemwa msichana wewe utajua ni msichana hivyo hivyo kwa sababu kama hujabatizwa hujafunuliwa ili uweze kufahamu parables za kwenye biblia ambazo Yesu alizitumia sana.


Ubatizo:

Hii ni ibada kuu na ya msingi katika dini ya Kikristo ambayo hata watoto wachanga nao huusishwa nayo pia!

Kwa ujumla wake, ibada hii (ya ubatizo) imeshamiri sana katika Ukristo.

Hata hivyo, pamoja na kuwemo katika orodha ya ibada za Kikristo, lakini kwa mujibu wa maelezo ya Biblia tukufu, asili ya ibada hiyo (ya ubatizo) imetokana na dini ya kipagani (Mithraism).

Uthibitisho wa hayo tunaupata katika maelezo ya Biblia yafuatayo:

"Ibada ya (ubatizo) kutosa mwili majini ni mfano wa utakaso au wakujitengeneza upya.

Ibada kama hiyo ilijulikana na kutendeka katika dini za kale za kipagani na dini ya Kiyahudi pia (kama ubatizo wa waongofu Mdo 2:10; Waesseni)'.

(Tazama Biblia ya Wakatoliki, Imprimatur M. Mihayo Archbishop of Tabora, February, 1967, kwenye maelezo ya Mathayo 3:6 uk. 879).


Maelezo hayo ya Biblia hapo juu yanathibitisha wazi kwamba ibada hiyo ya ubatizo inatokana na dini za kale za kipagani na kamwe haitokani na dini ya Yehovah.

Nasema ibada hiyo (ya ubatizo ya kipagani) katu haitokani na Yehovah, kwa sababu tangu mapema Yehovah alikwisha wakataza na kuwaonya wanadamu kutenda ibada yoyote (kama hiyo ya ubatizo) ya watu wa mataifa (yaani wapagani) kama asemavyo (Yehovah) katika maandiko yafuatayo:

"Utakapokwisha kuingia katika nchi akupayo BWANA, Mungu wako, usijifunze kutenda kwa mfano wa machukizo ya mataifa yale".

(Kumbukumbu la Torati 18:19)

Mkristo anaweza kutaka kuutetea ubatizo kuwa ndio ondoleo la dhambi. Lakini wakrito wote wanakiri kuwa Bw. Yesu hakuwa na dhambi, je iweje asiye na dhambi kama bw. Yesu abatizwe?

Huu kama si uzushi ni kitu gani?
 
Waache waendeleze mapambano ili kuinusulu, Dini na Mungu wao ili naye awanusulu hapo baadae.
يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا إِن تَنصُرُوا اللَّهَ يَنصُرْكُمْ وَيُثَبِّتْ أَقْدَامَكُمْ
(MUH'AMMAD - 7)
Enyi mlio amini! Mkimnusuru Mwenyezi Mungu naye atakunusuruni na ataithibitisha miguu yenu.
😅😅😅
Jagina, analijua hilo
 
Hivi Mongolian Savage na kipenzi chake Imamu Hussein mbona sijamuona siku hizi mbili tatu au kaenda kuhij kwenye kaburi la kipenzi chake Imam Hussein
Huyu jamaa siyo kawaida yake kabisa mpaka muda huu hajafika hapa ilibidi awe ameshatia neno,upo uwezekano kaenda kulitekeleza hilo ngoja nim-tag

Mkuu The Mongolian Savage njoo utie neno lako hapa aisee,hope duwa'a zako kwenye kaburi la kipenzi chake Alaa zimesikizwa sasa atawapunguzia madhila Wapalestina na kuwapa mioyo ya subira Waisrael.
 
Acha utetezi usio na maana bwana, hivyo vikundi ni vya kiislam na kila mmoja anafahamu hilo na vyote vidadai kumpigania mungu wao anayeitwa allah na vinampigania kwa kuua watu wasiokubaliana nao.
wanasema si waislamu, labda ni walokole.
 
Waache waendeleze mapambano ili kuinusulu, Dini na Mungu wao ili naye awanusulu hapo baadae.
يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا إِن تَنصُرُوا اللَّهَ يَنصُرْكُمْ وَيُثَبِّتْ أَقْدَامَكُمْ
(MUH'AMMAD - 7)
Enyi mlio amini! Mkimnusuru Mwenyezi Mungu naye atakunusuruni na ataithibitisha miguu yenu.
😅😅😅
Jagina, analijua hilo
alah
 
Ubatizo:

Hii ni ibada kuu na ya msingi katika dini ya Kikristo ambayo hata watoto wachanga nao huusishwa nayo pia!

Kwa ujumla wake, ibada hii (ya ubatizo) imeshamiri sana katika Ukristo.

Hata hivyo, pamoja na kuwemo katika orodha ya ibada za Kikristo, lakini kwa mujibu wa maelezo ya Biblia tukufu, asili ya ibada hiyo (ya ubatizo) imetokana na dini ya kipagani (Mithraism).

Uthibitisho wa hayo tunaupata katika maelezo ya Biblia yafuatayo:

"Ibada ya (ubatizo) kutosa mwili majini ni mfano wa utakaso au wakujitengeneza upya.

Ibada kama hiyo ilijulikana na kutendeka katika dini za kale za kipagani na dini ya Kiyahudi pia (kama ubatizo wa waongofu Mdo 2:10; Waesseni)'.

(Tazama Biblia ya Wakatoliki, Imprimatur M. Mihayo Archbishop of Tabora, February, 1967, kwenye maelezo ya Mathayo 3:6 uk. 879).


Maelezo hayo ya Biblia hapo juu yanathibitisha wazi kwamba ibada hiyo ya ubatizo inatokana na dini za kale za kipagani na kamwe haitokani na dini ya Yehovah.

Nasema ibada hiyo (ya ubatizo ya kipagani) katu haitokani na Yehovah, kwa sababu tangu mapema Yehovah alikwisha wakataza na kuwaonya wanadamu kutenda ibada yoyote (kama hiyo ya ubatizo) ya watu wa mataifa (yaani wapagani) kama asemavyo (Yehovah) katika maandiko yafuatayo:

"Utakapokwisha kuingia katika nchi akupayo BWANA, Mungu wako, usijifunze kutenda kwa mfano wa machukizo ya mataifa yale".

(Kumbukumbu la Torati 18:19)

Mkristo anaweza kutaka kuutetea ubatizo kuwa ndio ondoleo la dhambi. Lakini wakrito wote wanakiri kuwa Bw. Yesu hakuwa na dhambi, je iweje asiye na dhambi kama bw. Yesu abatizwe?

Huu kama si uzushi ni kitu gani?
 
wanasema si waislamu, labda ni walokole.
Umeomba ushahidi umeletewa pale juu naona hujataka hata kuujibu

Mukiambiwa maqafir hamna akili sawa sawa mtasema mnatukanwa kumbe mwaambiwa ukweli

Sasa kama alshabab boko haram nk ni waislam wanaenda kuripua na kuua watu misikitini kwanini?

Siii wangedili tu nakuua watu makanisani kama wao kweli waislamu (ingawaje uislamu hautaki kuua wala kulazimisha watu katika dini)
 
Ila ukiwa qafiri kama wewe utaielewa qur an😀

Sunday school na chachi wanawapiga sana saundi sababu wanajua hamujitambui

Hata siku moja upanga hauwezi kua bakora nakinyume chake
Hizo ni fikra zako lkn haziakisi uhalisia. Wewe elewa unavyoelewa tu.
 

View: https://www.youtube.com/live/4nqo70s8BYo?si=96S0yXS1C4CFSgNM

Hamas, wamepiga Tela Aviv leo, afu kondoo wanasema Hamas kisha 😄

Na hi chini kondoo wanakimbia kukwepa missiles za Hezbullah


View: https://www.youtube.com/live/a7QqfaYxVjQ?si=dCxoZ-6P60tbOVBj

Suala la kuimaliza hamas na kuiondoa ghaza hili walisahau kabisaaaa

Tokea oc7 tunawasisitiza hapa suala la israhell kuifuta hamas na kukomboa mateka hili suala walifute kabisaaa

Kuna wachafuzi eti wanakuja wanakwambia ona ghaza imegeuzwa majivu sasa ingekua kugeuzwa majivu ndio ushindi muda huu paka angetangaza ushindi
 
Waache waendeleze mapambano ili kuinusulu, Dini na Mungu wao ili naye awanusulu hapo baadae.
يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا إِن تَنصُرُوا اللَّهَ يَنصُرْكُمْ وَيُثَبِّتْ أَقْدَامَكُمْ
(MUH'AMMAD - 7)
Enyi mlio amini! Mkimnusuru Mwenyezi Mungu naye atakunusuruni na ataithibitisha miguu yenu.
😅😅😅
Jagina, analijua hilo

Ubatizo haupo , wewe endelea kufuata mila Za wapagani
 
Kama waliwaua nawapongeza sana haiwezekani adui anawaua kila siku halafu nyie mumtunzie watu wake na kama bado hawajawaua wafanye haraka kuwaua kuendelea kukaa nao ni sawa na kufuga majini mwisho wa siku watakuja kuwanyonya damu wewe na familia yako na utawaponza wengine wasiohusika.
Mwenzio amenielewa Baki na upunguani wako kubwa jinga
 
Ubatizo haupo , wewe endelea kufuata mila Za wapagani
Basi na tuache vita ya Gaza iendelee tu hadi Hamas au Mayahudi watakapo ridhika.

Na asitokee mtu wa kuwasuluhiasha au kutaka kusitisha hiyo vita.

Na hatutaki mandamano ya Stop the war.
Maana ninyi amanu mnapenda sana vita na mnatueleza humu kuwa mnapenda sana kupigana na Mazayuni.
Mnapenda kupigana Hadi mshinde.
Tunasubiri hadi mshinde ili vita iishe.
 
Kubwa jinga ni mama yako anayekorogwa mavi,tatizo lipo wapi kwenye comment yangu hadi unitukane? Basi na mimi nipo vizuri tu kwenye matusi ya rejareja.
Trust me Mr kubwa jinga,Kama Hauna nguvu usipambanane na usiyemuweza maisha hayapo
Kama vile wewe unavyotaka iwe amini kwenye ukweli unao kuumiza.
 
Basi na tuache vita ya Gaza iendelee tu hadi Hamas au Mayahudi watakapo ridhika.

Na asitokee mtu wa kuwasuluhiasha au kutaka kusitisha hiyo vita.

Na hatutaki mandamano ya Stop the war.
Maana ninyi amanu mnapenda sana vita na mnatueleza humu kuwa mnapenda sana kupigana na Mazayuni.
Mnapenda kupigana Hadi mshinde.
Tunasubiri hadi mshinde ili vita iishe.

Ubatizo ni mila za upagani usikimbie , hakuna ubatizo
 
Back
Top Bottom