Acha utetezi usio na maana bwana, hivyo vikundi ni vya kiislam na kila mmoja anafahamu hilo na vyote vidadai kumpigania mungu wao anayeitwa allah na vinampigania kwa kuua watu wasiokubaliana nao.Kwani wewe muislamu ukiamua kuanzisha kundi lako kama hao ulowataja likawa lakuua na kuteka na kubaka watu halafu ukalipa jina kundi lako liitwe Allah Akbar ila lisiwe la kiislamu wala dini itakua kundi la kiislamu
Huo ujinga mlomezeshwa kuwatoka mnatakiwa mpigwe msasa kwel kwel yaani