Hamas yasema haina haja na mazungumzo mapya ya kusitisha vita

Hamas yasema haina haja na mazungumzo mapya ya kusitisha vita

Kwani wewe muislamu ukiamua kuanzisha kundi lako kama hao ulowataja likawa lakuua na kuteka na kubaka watu halafu ukalipa jina kundi lako liitwe Allah Akbar ila lisiwe la kiislamu wala dini itakua kundi la kiislamu

Huo ujinga mlomezeshwa kuwatoka mnatakiwa mpigwe msasa kwel kwel yaani
Acha utetezi usio na maana bwana, hivyo vikundi ni vya kiislam na kila mmoja anafahamu hilo na vyote vidadai kumpigania mungu wao anayeitwa allah na vinampigania kwa kuua watu wasiokubaliana nao.
 
Kwani wewe muislamu ukiamua kuanzisha kundi lako kama hao ulowataja likawa lakuua na kuteka na kubaka watu halafu ukalipa jina kundi lako liitwe Allah Akbar ila lisiwe la kiislamu wala dini itakua kundi la kiislamu

Huo ujinga mlomezeshwa kuwatoka mnatakiwa mpigwe msasa kwel kwel yaani
Oh, kwahiyo kumbe ni wa Islamu ila si makundi ya ki-islamu.

Huyo 'mungu' wanao muitaga wakati wanakata makoromeo ya wasio dini yao , wani mungu wa dini ipi?
Sasa inakuwaje "waumini wa hiyo dini uliyotaja ndio pekee wananzisha makundi na kuua watu"?
 
Acha utetezi usio na maana bwana, hivyo vikundi ni vya kiislam na kila mmoja anafahamu hilo na vyote vidadai kumpigania mungu wao anayeitwa allah na vinampigania kwa kuua watu wasiokubaliana nao.
Mkiambiwa akili zenu hazina akili mnakataa
Sasa kwanini makundi yote yanafanya kazi kwenye nchi za kiislamu kwa 99% na kuua waislam wenzao
Badala ya kwenda kusipokua na waislamu?
 
Oh, kwahiyo kumbe ni wa Islamu ila si makundi ya ki-islamu.

Huyo 'mungu' wanao muitaga wakati wanakata makoromeo ya wasio dini yao , wani mungu wa dini ipi?
Sasa inakuwaje "waumini wa hiyo dini uliyotaja ndio pekee wananzisha makundi na kuua watu"?
Unaushahidi upi kama hao wanaofanya hivyo waislamu

Unaushahidi gani kama kila anaesema Allah akbar ndio muislamu?

Unamjua muumini gani aloanzisha kundi la kigaidi ?
 
Shart kuu hamas wawaachie mateka,hili halitekelezeki maana hamas walishawauwa mateka wote,haya maneno ni kujimwambafai tu.
Kama waliwaua nawapongeza sana haiwezekani adui anawaua kila siku halafu nyie mumtunzie watu wake na kama bado hawajawaua wafanye haraka kuwaua kuendelea kukaa nao ni sawa na kufuga majini mwisho wa siku watakuja kuwanyonya damu wewe na familia yako na utawaponza wengine wasiohusika.
 
Yanahusiana na dini gani?
Paul makenza wa hapa kenya unajua alishtakiwa kwa kesi gani unajua?
Vijana mnapenda kupelekeshwa kama mbuzi😀
Sijajua , Mackenzie ni cult na ni Mkristu na hajaua dini zingine ila ameua washirika wake.
Hao magaidi wa kislamu wanaua washirika wao ama dini nyingine?
Boko haram wanaua waislamu huko maiduguri?
Al Shabab Wanaua Wasilam wa Somalia?
 
Unaushahidi upi kama hao wanaofanya hivyo waislamu

Unaushahidi gani kama kila anaesema Allah akbar ndio muislamu?

Unamjua muumini gani aloanzisha kundi la kigaidi ?
Sina ushahidi, hivyo :
1. Papa ndio anasema alah akbar.
2,. TBJoshua ndio anasema alah akbhar
3. Mwamposa - ndio anasema ala akbar.

Case closed.
 
Wamejichagulia kufa kuliko fedheha.Lakini masharti ya kusitisha vita yakitimizwa maisha yatakuwa mazuri kwao na kwa mayahudi.
Huo ni msimamo mzuri sana unaendana na mezani.
Faida kwa wote Mayahudi na Mapalestina.
 
Sijajua , Mackenzie ni cult na ni Mkristu na hajaua dini zingine ila ameua washirika wake.
Hao magaidi wa kislamu wanaua washirika wao ama dini nyingine?
Boko haram wanaua waislamu huko maiduguri?
Al Shabab Wanaua Wasilam wa Somalia?
Nikiwaambia kwamba hamuna munalojua munajifanya kubisha na kupinga

Hujawahi kusikia au kuona alshabab wanaua watu miskitini?

Hujawahi kuona au kusikia boko haram wanaua watu miskitini?

Kama hujawahi nenda ka gugo halaf ulete majibu

Pia isis is alqaeda nawengineo wote wanaua waislam
 
Sina ushahidi, hivyo :
1. Papa ndio anasema alah akbar.
2,. TBJoshua ndio anasema alah akbhar
3. Mwamposa - ndio anasema ala akbar.

Case closed.
Case closed bila hoja
Wewe hapo umesema Allah akbar wewe muisalmu
Kwani kusema kwajija la baba la mwana na laroho mtakatifu alimuradi nitekeleze mambo yangu haliyakua sio muislamu kunashida gani?

Unadhani bila hao wasanii kujiita waislam na kusema Allah akbar wewe leo ungeuchukia Uislam?

Nenda kawafatilie hao unaowaita magaidi na vyanzo na matukio yao ndio utaelewa
 
Sijajua , Mackenzie ni cult na ni Mkristu na hajaua dini zingine ila ameua washirika wake.
Hao magaidi wa kislamu wanaua washirika wao ama dini nyingine?
Boko haram wanaua waislamu huko maiduguri?
Al Shabab Wanaua Wasilam wa Somalia?
Siku nyengine uache kuropoka ropoka kijana

Hawa wanaoupigania uislamu bado wanaua waislamu sasa wanapigania waislamu gani?

Mwisho-naomba unitajie kundi moja la kigaidi mnaloaminishwa kwamba linaupigania uislamu halafu haliui waislamu ambao linawapigania

Muache upuu,i
 

Attachments

  • IMG_20240813_113410.jpg
    IMG_20240813_113410.jpg
    241.2 KB · Views: 2
  • IMG_20240813_113337.jpg
    IMG_20240813_113337.jpg
    318.7 KB · Views: 1
Kama Hamas wanaona njia sahihii ya kutatua matatizo na Israeli ni kupitia kuvamia, kuteka na kuwauwa Waisraeli basi waache waendeleze vita vyao.
Ila hatutaki fujo duniani na mandamano yenye mabango yaliyo andikwa STOP the WAR.

Acheni kabisa kulialia humu na kuomba Dunia iwasaidie kusimamisha hiyo vita.

Ita iendelee Hadi Hamasi watakapo ridhia nia yao ya kuwamaliza Waisraeli wote.
 
Mkiambiwa akili zenu hazina akili mnakataa
Sasa kwanini makundi yote yanafanya kazi kwenye nchi za kiislamu kwa 99% na kuua waislam wenzao
Badala ya kwenda kusipokua na waislamu?
Wanataka wasio waislam kwanza waondoke kwenye ardhi za kiislam au wawe waislam na baada ya hapo ndio wasambaze jihad kwingineko.
 
Nikiwaambia kwamba hamuna munalojua munajifanya kubisha na kupinga

Hujawahi kusikia au kuona alshabab wanaua watu miskitini?

Hujawahi kuona au kusikia boko haram wanaua watu miskitini?

Kama hujawahi nenda ka gugo halaf ulete majibu

Pia isis is alqaeda nawengineo wote wanaua waislam
Wanawaua wale wanaopingana na mafundisho haya hapa chini 👇
***********************************************
Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; behead them when you catch them – 47.4”
********************************************
 
Wanawaua wale wanaopingana na mafundisho haya hapa chini 👇
***********************************************
Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; behead them when you catch them – 47.4”
********************************************

ulisahau na hii pia

1723543348287.jpeg
 
Sijui watu uwa mnawashwaga na nini!! Kama si mihemuko,usingesema wao hawana cha kupoteza.
Mnajazwa ujinga huko mlipo,mara ohhh wamerusha makombola yote yamedakwa. Kuna nchi ilitakiwa iwe na ulinzi mkali kwa raisi wake kama USA? Kilichotokea majuzi kwa Trump,ni ishara tosha ya kuwa hata wanaojiita mafia,juu yao kuna wengine.

Weee,unadhani vita ni makopo yanayopigwa kama ngoma? Israel haiziki,wanazika tu wapalestina!!! Aiseee
Kila nafsi ina haki ya kuishi.

Ila kweli, imeloa. Ndo maana.
 
Wanasema kwamba kama hujabatizwa huwezi kuielewa biblia kwani wanasema ikisemwa upanga wewe utajua kua ni upanga hivyo hivyo.

Pia wanasema ikisemwa msichana wewe utajua ni msichana hivyo hivyo kwa sababu kama hujabatizwa hujafunuliwa ili uweze kufahamu parables za kwenye biblia ambazo Yesu alizitumia sana.
 
Bora wawauwe wote tu
maana kama ni unyama wametendewa wa kutosha
haina haja ya mazungumzo..wapalestina kila kitu kimewasaliti,ulimwengu mzima umewasaliti inaonekana hata mungu hayupo upande wao.
mnapochoma mwiz mnaona sio unyama ila wanapouliwa hao watekaj na wauaji basi hiyo ni unyamaa , ngozi nyeus imelaaniwa
 
Siku nyengine uache kuropoka ropoka kijana

Hawa wanaoupigania uislamu bado wanaua waislamu sasa wanapigania waislamu gani?

Mwisho-naomba unitajie kundi moja la kigaidi mnaloaminishwa kwamba linaupigania uislamu halafu haliui waislamu ambao linawapigania

Muache upuu,i
Imeloa sala ni moja ya mafundisho ya uislamu
 
Back
Top Bottom