Hamas yasema haina haja na mazungumzo mapya ya kusitisha vita

Hamas yasema haina haja na mazungumzo mapya ya kusitisha vita

Tukubaliane hapa kwamba mara hii kwa alichokifanya Israel kwa Palestine zitapita karne na karne kutokea tena kizazi cha Wapalestina kitakachothubutu kufanya yale ya Oct 7 na hata ikitokea wakati huo mzayuni atakuwa amekuwa advanced sana kwenye kujilinda madhara hayatakuwa makubwa.

Piga nikupige zitakuwepo lakini ile kuvamia kabisa kijeshi kama mara ile haitotokea,Mashariki Ya Kati inaenda kutulia ikiacha maumivu makali sana kwa jamii za Kipalestina.
Matarajio ni kwamba kinyume chake ndicho kitakachotokea baada ya kichapo kinachofuata kutoka Iran na washirika wake,
Israel haitaweza tena kuzitangaza iron dome na vifaa vingine kama ndivyo kizuizi cha kuzitisha nchi nyingine zisiishambulie.Kwa sababu zilishindwa kazi oktoba 7 na zimekuwa taabani kuilinda miji yake kutoka kwa vikundi vidogo kama Houth.
 
Tukubaliane hapa kwamba mara hii kwa alichokifanya Israel kwa Palestine zitapita karne na karne kutokea tena kizazi cha Wapalestina kitakachothubutu kufanya yale ya Oct 7 na hata ikitokea wakati huo mzayuni atakuwa amekuwa advanced sana kwenye kujilinda madhara hayatakuwa makubwa.

Piga nikupige zitakuwepo lakini ile kuvamia kabisa kijeshi kama mara ile haitotokea,Mashariki Ya Kati inaenda kutulia ikiacha maumivu makali sana kwa jamii za Kipalestina.
la oct 07 sio chanzo
ila mpaka hamas wakafanya hivyo hiyo siku ilikua ni wamechoka kuvumilia juu ya mambo wanayotendewa wapalestina
ila jitu jinga kama wew lisilokua na utu wala moyo wa huruma halijielewi lipo tu kukoment oct 7 oct 7
halijui chochote kuhusu huu mgogoro

Kila kitu oct 7.
oct 7 ya nyoko
 
la oct 07 sio chanzo
ila mpaka hamas wakafanya hivyo hiyo siku ilikua ni wamechoka kuvumilia juu ya mambo wanayotendewa wapalestina
ila jitu jinga kama wew lisilokua na utu wala moyo wa huruma halijielewi lipo tu kukoment oct 7 oct 7
halijui chochote kuhusu huu mgogoro

Kila kitu oct 7.
oct 7 ya nyoko
Well ni mawazo yako nayaheshimu,ila siyo mimi wala wewe anayejua chochote kuhusu mgogoro huu na kama ni kuonekana mwema hakuna haja ya ku-pretend coz anachokifanya Mzayuni ndicho hicho hicho alikifanya Mpalestine so ngoma draw.
 

Wapiganaji wa Hamas chini ya kiongozi wao mpya Yahya Sinwar imesema haitashiriki kwenye mazungumzo yaliyopangwa kufanyika wiki hii.

Badala yake kundi hilo ambalo limepigana na Israel kwa takriban mwaka sasa limesema kinachotakiwa ni kutolewa kwa ratiba kamili ya kutekelezwa kwa makubaliano yaliyokwishafanyika miezi kadhaa iliyopita.

Soma Pia:
Katika salamu walizozitoa kwa waandaaji wa mkutano huo wa mazungumzo ambao ni Qattar,Misri na Marekani,Hamas imesema ni kupoteza muda bure kuzungumzia kitu hicho hicho kila siku na ni kuipa Israel fursa ya kuzidi kuendeleza mauwaji na madhila kwa wapalestina.

Hamas says it won’t take part in cease-fire talks planned for this week

Wazee wa kulia lia wakichapwa na mayahudi wanasemaje?
Naona HAMAAS wanataka kuwawahi ma bik*** 72, waache waende.
 
la oct 07 sio chanzo
ila mpaka hamas wakafanya hivyo hiyo siku ilikua ni wamechoka kuvumilia juu ya mambo wanayotendewa wapalestina
ila jitu jinga kama wew lisilokua na utu wala moyo wa huruma halijielewi lipo tu kukoment oct 7 oct 7
halijui chochote kuhusu huu mgogoro

Kila kitu oct 7.
oct 7 ya nyoko
Okay 7/10 Magaidi ya Kiislamu yalipeleka Keki Israeli eeh, wacha wakasheherekee na mabik** 72.
 
Well ni mawazo yako nayaheshimu,ila siyo mimi wala wewe anayejua chochote kuhusu mgogoro huu na kama ni kuonekana mwema hakuna haja ya ku-pretend coz anachokifanya Mzayuni ndicho hicho hicho alikifanya Mpalestine so ngoma draw.
niondolewe wehu wako
yaan hata kutofautisha uyahudi na uzayuni haujui halaf uvimba kukoment.
kanyonyeshe na kulea mume mambo mengine achana nayo
maana unatangaza utahira wako tu
 
Okay 7/10 Magaidi ya Kiislamu yalipeleka Keki Israeli eeh, wacha wakasheherekee na mabik** 72.
braza siongelei maswala ya dini
na hata kama yangekua ya kidini hapo ni myahudi ni muislam.
sawa wew mkristo hauhusiki
au jicho linakuwasha unautaka?
maana siyo kwa hiko kiherehere cha kukoment
 
Kuwaomba Hamas wawaachie mateka ni kukiri kushindwa kwa vita.Na kwa upande mwengine wapongezwe Hamas kwa maandalizi waliyofanya kupambana ambapo sasa ni mwezi wa 10 na bado wanapigana wakiwa wamezingirwa na kukatiwa misaada yote.
Basi sawa Israel imekiri kushindwa, Hamas waachie mateka ili Israel ishindwe basi.
Wale walio ndani ya uwanja wa mapambano ndio hao hao ambao wamechagua kifo kuliko kufru na fedheha.
Ndio maana wanauliwa na kuumizwa lakini mmoja akiinuka tu anashika japo jiwe analirusha.
Aah kumbe wanastahiri kichapo. Hapo sawa, mimi nikajua utasema wanaonewa.

Kuna mawili, moja ni kuachia mateka ili Israel iachie mapigano. Mbili, ni kupigana mkiwa mmeshikilia mateka na mkipigwa na Israel. Hamas wamechagua namba mbili, sasa sijui kilio unatoa cha nini. Na mazungumzo wasitake wakae na mateka yao huku vifusi vikishushwa zaidi.
 
la oct 07 sio chanzo
ila mpaka hamas wakafanya hivyo hiyo siku ilikua ni wamechoka kuvumilia juu ya mambo wanayotendewa wapalestina
ila jitu jinga kama wew lisilokua na utu wala moyo wa huruma halijielewi lipo tu kukoment oct 7 oct 7
halijui chochote kuhusu huu mgogoro

Kila kitu oct 7.
oct 7 ya nyoko
Ugaidi wa Oct 7 hauwezi kuvumiliwa na serikali yoyote ile. Hata kama ingekua ni Iran imevamiwa.
Ndio maana naunga mkono magaidi yashughulikiwe kwa nguvu zote
 
Bora wawauwe wote tu
maana kama ni unyama wametendewa wa kutosha
haina haja ya mazungumzo..wapalestina kila kitu kimewasaliti,ulimwengu mzima umewasaliti inaonekana hata mungu hayupo upande wao.
Huyo Mungu unamainisha ni yule Allah!!!!!!???
 
H
Kwani lazima wote tuwe waislam?! Hawa jamaa vituko kweli. 🤣🤣
Jagina
Hawa Hamas hawana busara kabisa.
Nchi imekuwa majivu bado tu wana jimwambafai tu, hivi kukiri kuwa umeshindwa vita kuna ubaya gani ?
Wanawaza Dini tu.
Yaani mafundisho waliyolishwa hayana ustawi wa jamii.
Kwahiyo wakisha wasilimisha Wakristo na Wayahudi wanahamia kupigana na wa Dini nyingine ili wawasilimishe pia.
Kwa mtazamo huo hawawezi kufanikisha azma yao.
Hamas hawana huruma kabisa ya raia wao.
Wapalestina wanawachaguje hao Magaidi kuongoza nchi ?
Hakika inasikitisha sana sana.
 
Wao ndio wana cha kupoteza maanake wataendelea kukimbilia kwa wanawake na watoto na matokeo yake kusababisha mauaji kuongezeka maradufu.
Sijui watu uwa mnawashwaga na nini!! Kama si mihemuko,usingesema wao hawana cha kupoteza.
Mnajazwa ujinga huko mlipo,mara ohhh wamerusha makombola yote yamedakwa. Kuna nchi ilitakiwa iwe na ulinzi mkali kwa raisi wake kama USA? Kilichotokea majuzi kwa Trump,ni ishara tosha ya kuwa hata wanaojiita mafia,juu yao kuna wengine.

Weee,unadhani vita ni makopo yanayopigwa kama ngoma? Israel haiziki,wanazika tu wapalestina!!! Aiseee
Kila nafsi ina haki ya kuishi.

Ila kweli, imeloa. Ndo maana.
 
braza siongelei maswala ya dini
na hata kama yangekua ya kidini hapo ni myahudi ni muislam.
sawa wew mkristo hauhusiki
au jicho linakuwasha unautaka?
maana siyo kwa hiko kiherehere cha kukoment
Magaidi si wanajiita WAISLAMU.
1. ISLAMIC jihad ni WASABATO?
2. MUSLIM BROTHERHOOD ni
Walutheri?
3. Hizbollah ni Anglikan?=. Chama cha Mwenyezi Mungu" au "Kundi la Mungu." Hii ni harakati ya kisiasa na kijeshi inayotokana na dhehebu la Kishia, iliyoko nchini Lebano.

4 . Mujahidin--Asemblies of God? --
ni neno la Kiarabu linalomaanisha "wale wanaojitahidi" au "wapiganaji wa jihadi." Linatokana na neno "jihad," ambalo kwa maana yake halisi linaashiria jitihada au juhudi kwa ajili ya sababu fulani, mara nyingi kwa muktadha wa kidini. Katika matumizi ya kisiasa na kijeshi, "Mujahidin" hurejelea wapiganaji au vikundi vya wanamgambo ambao wanajihusisha na mapambano, mara nyingi kwa misingi ya kidini, dhidi ya kile wanachokiona kama wavamizi au maadui wa Uislamu. Katika historia, jina hili limekuwa maarufu zaidi kuhusiana na wapiganaji waliopambana na uvamizi wa Kisovieti nchini Afghanistan katika miaka ya 1980.

5. Al -Shabab- ni Wabaptisti? ="Al-Shabaab" ni neno la Kiarabu linalomaanisha "Vijana." Ni kundi la wanamgambo wa Kiislamu lenye itikadi kali, lenye makao yake nchini Somalia. Kundi hili lilijitokeza mwanzoni mwa miaka ya 2000 kama tawi la harakati ya Kiislamu nchini Somalia, lakini baadaye lilijitenga na kuwa kundi huru. Al-Shabaab linafahamika kwa kushiriki katika mapambano na mashambulizi ya kigaidi, si tu ndani ya Somalia, bali pia katika nchi jirani kama Kenya. Kundi hili linadhamiria kuanzisha utawala wa Kiislamu wenye misingi ya sheria kali ya Shariah. Pia limehusishwa na mtandao wa kigaidi wa al-Qaeda
 
Back
Top Bottom