Hakuna wajuacho Hawa wainjilisti wa mwendokasi,, Israel anahali ngumi hawataki elewa.a Israel na America ndio wanaomba vita visimame sio Hamasi,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna wajuacho Hawa wainjilisti wa mwendokasi,, Israel anahali ngumi hawataki elewa.a Israel na America ndio wanaomba vita visimame sio Hamasi,
Acha kujichekesha kama shoga na acha kupotosha ili ujifariji na aibu ya kushindwa kwa jeshi lenu teule.Hamas hataki tena vita anataka viishe[emoji1787][emoji38][emoji28][emoji23] hatari sana kiongoz wao yuko Misr analialia anamuomba Misri aishawishi Israel iache kipondo maana sio poa.
Hawakuzidi ww lakini mkuuHamas ni wapumbavu
dah huruma sana migaidi inafyekelewa mbali kila siku.😄 Acheni uwongo Misri ndio kaomba Hamasi waende kusikiliza offer aliyo toa Israel na America, kusema hakubali offer mpa vita isimame kabisa. Hamasi Target yake ni kumuingiza Natanyahu jela.
Nani kakuambia Hamasi atawacha vita na Israel, hio ni ndoto mnaota.
Acha kujichekesha kama shoga na acha kupotosha ili ujifariji na aibu ya kushindwa kwa jeshi lenu teule.
Israel yenyewe ndo iliyo omba mazungumzo ya kuachiwa kwa mateka na usitishaji wa vita kwa wiki moja na hamas wakaweka mashriti yao ambayo Israel inatakiwa iyatimize ikiwemo kusitisha vita,kuachiliwa wafugwa wa kipalestina na kujiondoa gaza, kama hawataki waendelee kupigana mpaka washinde hamas wako tiyari kwa hilo.
Alafu vita kadri inavyo dumu muda mrefu ndo vinavyo zidi kuigharimu na kuiumiza Israel mpaka sasa Israel imesha poteza zaidi ya $120bilion kwenye uchumi wake ,maelfu ya raia wake wamepoteza kazi, raia wake zaidi ya 500,000 ni wakimbizi wa ndani ,wanajeshi wake wanaendelea kufa kwa sababu ya hii vita, kiufupi Israel inalipa gharama kubwa sana kutokana na hii vita.
Alafu Israel si ni wateule wa mungu kwann wasimuombe mungu akawaoneshe mateka walipo,au wasimuombe mungu awauwe Hamas wote ili washinde vita, nyinyi warokole ni watu wapumbavu sana ndani ya dunia hii ndio maana Urusi na mataifa ya ulaya mashariki mlipigwa marufuku.
Na mm siku nikiwa na mamlaka ndani ya nchi hii kiama chenu kimefika.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Si unajua hawa ni wana wa Ibilisi yule baba wa uwongo hivyo uwongo ni DNA yao.Si wanasema Hamas inaichapa Israel? Kwanini tunahangaika?
Hakuna alieomba vita vikome kama yupo leta ushahidiYaani wenzio waliopo field wanaomba vita vikome wewe kwenye keyboard unawahamasisha wakamatie hapohapo!
Kazi kwelikweli!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mlituaminisha kuwa Israel hawawezi vita ya ardhini uso kwa uso, lakini sasa hivi Hamas wanaomba vita viishe kabisa ili wawaachie mateka. Sasa kama Hamas wana uwezo wa kupambana ardhini, si wangekubaliana na wazo la kuendeleza vita ili waliteketeze jeshi la Israel?Israel ni sikio la kufa, imekataa kushindwa kwenye makaratasi sasa iinakwenda kushindwa kimapambano na kwa aibu kubwa
Mmekimboa wateka wangapi mpaka Muda huuVita itaendelea, na hili litasimuliwa vizazi na vizazi vya wapalestina milele na milele kwamba tuliwachokoza wayahudi na walichotufanya we acha tu wapalestina watakuwa wakisimulia hivyo watoto na vitukuu na vilembwe vyao kizazi baada ya kizazi. Hivi Ustaadh Bwana Utam mpaka sasa wapalestina washauliwa wangapi na mazayuni?
Ina maana sioni au labda sijaielewa vizuri taarifa?Hakuna alieomba vita vikome kama yupo leta ushahidi
🤣😀🤣Subili baada ya miezi michache hiyo Hamas itakuwa kama Muslim brotherhood ya Misri,zaidi ya hayo malengo yanazidi kutimia maana hamas zaidi ya 8000 wameshawahishwa jehanamu upesi wakaungane na Allah motoni huko.
Ndio maana ni kakwambia leta ushahidiIna maana sioni au labda sijaielewa vizuri taarifa?
Israhell anaondoka ghaza nisuala la muda tuuuIsrael kuondoka Gaza hilo sahau maishani mwako,bado wapo sana ni mpaka malengo ya kuifuta Hamas itimie.
Hamas ni magaidi watafutwa na watakaobaki labda wakimbilie Sinai jangwani huko wakaungane na Al nusra front waendelee ugaidi wao lakini ndani ya mipaka ya Israel hutawasikia tenaIsrahell anaondoka ghaza nisuala la muda tuuu
Kuifuta hamas hilo suala lifute kichwani mwako
Hamas haifutiki ile
HeheeeeeeKama hana haja na mateka kwann anafanya majadiliano ya kuwaachia baada ya kushindwa kuwapata?
Alafu nyinyi si ndo mlikuwa mnataka Urusi ishinde Ukraine yenye ukubwa karibia sawa na Tz na yenye rundo la silaha za kisasa kutoka kwa mashoga.
Lakini leo hii taifa lenu pendwa mlio kuwa mnashinda humu mnalikuza sasa ni miezi 3 linapambana na wahuni wasiozidi 30,000 wenye silaha za kienyeji kwenye kieneo sawa na nusu ya kigamboni walicho kizunguka kila sehemu na hakuna dalili yeyote ya kuwashinda.
Au mlidhani vita ni kukata mauno na kutikisa matako?[emoji2][emoji3][emoji2][emoji3][emoji2].
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Endelea kupiga porojoHamas ni magaidi watafutwa na watakaobaki labda wakimbilie Sinai jangwani huko wakaungane na Al nusra front waendelee ugaidi wao lakini ndani ya mipaka ya Israel hutawasikia tena
Toka vita vya aridhini vianze jeshi la Israel limefanya nini? Mashambilizi tunayoyaona kutoka Gaza upande wa Israel yanafanywa kwa kutumia anga ili kuwapa urais wanajeshi wa aridhini lakini bado wanafeli. Israel inachofanya ni kubomoa majumba na kuuwa raia tu basi, Israel hapigani vita ila anachofanya ni uharibifu wa kibinadamuMlituaminisha kuwa Israel hawawezi vita ya ardhini uso kwa uso, lakini sasa hivi Hamas wanaomba vita viishe kabisa ili wawaachie mateka. Sasa kama Hamas wana uwezo wa kupambana ardhini, si wangekubaliana na wazo la kuendeleza vita ili waliteketeze jeshi la Israel?
Hao waliowateka wakiwemo Watanzania wawili, walikuwa wapi?Lini hamas walikua ndani ya mipaka ya israhell
Haka ka, nchi jeuri Sana, kikundi cha watu, kutoka ulaya! Kinaua watu kama kuua panya vile, bila msaada wa ulaya na USA, Israel ingekuwa imeishafutika kabisa.Netanyau amekalia kuti kavu. Uwezo wa kuwakomboa mateka wakiwa hai ni 0% na jambo hili linakwenda kumpoteza mazkma kwenye siasa za Israel