Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 7,681
- 9,892
Yemen pia kawashika pabaya usisahau 😄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Israel amesha sacrifice, hahitaji tena mateka ndio maana anaendeleza mashambulizi. Hamas wanataka mashambulizi yaishe kwa kisingizio cha kuwaachia matekaHamas hajampa mtu ombi
Kama anataka watu wake akawakomboe mwenyewe
Kama hawezi aendelee na vita mpaka kieleweke
Kama anataka watu wake apewe inatakiwa afate masharti ya wanaume wa hamas wanataka nn
Hamas kamatieni hapo hapo
Israel amesha sacrifice, hahitaji tena mateka ndio maana anaendeleza mashambulizi. Hamas wanataka mashambulizi yaishe kwa kisingizio cha kuwaachia mateka
Wewe unacho andika ni zile ngojera za kanisani tu, nenda na wewe ukawasaidie Israel sema umenda kusomea kilimo 😄hiki ulichoandika ni sawa tu na zile hadithi zenu za paukwa pakawa
Ustaadhi kuna nafasi za manesi Saudia Arabia serikali ya mama samia imesema watu waombe, je mmejipanga au baadae ndo mtaanza kulialia humu jukwaani kuwa zilikuwa fursa za waislamu lakini wagalatia wengi wameenda kupiga kazi🤣😂!Wewe unacho andika ni zile ngojera za kanisani tu, nenda na wewe ukawasaidie Israel sema umenda kusomea kilimo 😄
Israel kakimbiza Kikoso cha Golan kaona moto wa Hamasi ni balaa
Tushapoa kila nafsi itaonja umauti nisuala la mudaHivi kumbe ni kweli wapalestina 20K wameuwawa mi nilidhani ni propaganda tu za vyombo vya habari nilidhani waliouwawa ni wachache sana maana hamas wanailinda sana Gaza. Dah polen sana ustaadh
Hamas hana kisingizio kama mnaweza endeleeni na mapambano mbona simple tuIsrael amesha sacrifice, hahitaji tena mateka ndio maana anaendeleza mashambulizi. Hamas wanataka mashambulizi yaishe kwa kisingizio cha kuwaachia mateka
Pole sana Ustaadhi, kuna nafasi za manesi Saudia Arabia serikali ya mama samia imesema watu waombe, je mmejipanga au baadae ndo mtaanza kulialia humu jukwaani kuwa zilikuwa fursa za waislamu lakini wagalatia wengi wameenda kupiga kazi🤣😂!Tushapoa kila nafsi itaonja umauti nisuala la muda
Ndio wazayuni wanachokiweza tu kuua watu wasiokua na hatia
Hawana jengine wanaloliweza maana kupambana na hamas wameshindwa
Hamas hana kisingizio kama mnaweza endeleeni na mapambano mbona simple tu
Hamas kamatieni hapo hapo mpaka magaidi waondoke ukanda wa ghaza kinguvu
Kwani wagalatia hua mwenda nchi ya wavaa kobadhi 🤣😀😀Ustaadhi kuna nafasi za manesi Saudia Arabia serikali ya mama samia imesema watu waombe, je mmejipanga au baadae ndo mtaanza kulialia humu jukwaani kuwa zilikuwa fursa za waislamu lakini wagalatia wengi wameenda kupiga kazi🤣😂!
Hamas ni wapumbavu
Israel nao si iwateke wapalestina na kwenda kuwafungia yaani jino kwa jino, huwezi kujadiliana na magaidi wanaoteka hadi vibibi vizee vya miaka 90 na watoto wadogo.
Pole sana , pia hauna huruma na wapalestina, Gaza imerudi nyuma miaka 30 iliyopita, kule Gaza kila nyumba ni kilio na kusaga meno, karibia kila familia kuna msiba , nyumba zimeharibika, vita ikiendelea ndani ya miezi 6 tutaongea mengine, tupazee sauti hamas iachie mateka na Israel isitishe vita, ona wale hamas wanavyovuliwa nguo na kudakwa na wanajeshi wa Israel ! Huna hata huruma, ni mjinga pekee anaweza kuamini Hamas wataishinda Israel na wanaweza kumuondoa Israel pale middle East, hata kama nchi za kiarabu zikiungana ili kuifuta Israel hawezi kukubali nchi iteketee, lazima alipue boom la nuclear, tuombe vita iishe.
We kweli kichaa sa hizo position si kila mtu na bahati yake, sisi tunaongelea nini wewe umerukia nini 😄Ustaadhi kuna nafasi za manesi Saudia Arabia serikali ya mama samia imesema watu waombe, je mmejipanga au baadae ndo mtaanza kulialia humu jukwaani kuwa zilikuwa fursa za waislamu lakini wagalatia wengi wameenda kupiga kazi🤣😂!
Sasa kama hiyo vita ya ardhini anaiweza mbona ni mwezi wa tatu hajaishinda Hamas na kuwakomboa mateka?Mlituaminisha kuwa Israel hawawezi vita ya ardhini uso kwa uso, lakini sasa hivi Hamas wanaomba vita viishe kabisa ili wawaachie mateka. Sasa kama Hamas wana uwezo wa kupambana ardhini, si wangekubaliana na wazo la kuendeleza vita ili waliteketeze jeshi la Israel?
Una uwelewa mdogo sina haja ya kubishana na ww.Israel anapigana vita vya kistaarabu sana, mpaka anatangaza wapi anapiga na njia salama za kutokea ni zipi. Hamas nao wanatumia njia hizi hizi wakiwa wamejificha nyuma ya raia.
Netanyahu aliweka wazi kuwa vita ikiisha haitakuwa tena ni ile Gaza watu wanaijua.
Kukomboa mateka siyo kipaumbele cha Israel, mataifa ya nje ambayo raia wake walitekwa pamoja na maandamano ya ndani ya ndugu.wa mateka ndio vinasababisha Israel kugusia kuachiliwa kwa mateka. Takea mwanzo Netanyahu alitaka kukharibu Gaza kwa ujumla wake.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Ni wapi Israel imesema lengo ni kuwakomboa mateka?Sasa kama hiyo vita ya ardhini anaiweza mbona ni mwezi wa tatu hajaishinda Hamas na kuwakomboa mateka?
Myahudi wa kibondo. Unakula dagaa na bada kisha unajidanganya na wewe ni taifa teule, kosa kuvaa koti la mtumba na tai ya jero kanisani. 🤣Hamas ni wapumbavu
Naona mke wa mchungaji unacheeeeka kwa raha zako.Leo hii Hamas inalilia kusitishwa vita tena na kiongozi wao anasafiri kabisaa tena anaenda Misri kwa ajili ya kuomba usuluhishi wa kusitisha vita😂🤣😁😆 kweli hamna mkate mgumu mbele ya chai🤣😂😅.Yaan Hamas hataki tena vita vya kupigania uhuru 😆🤣😂 dah mbona kajichokea mapema sanaa si wapambane mpake wapate ardhi wanayodai yao😆🤣😂😁
Kwa akili ya mgalatia lzm udhani kuwa hamas ni kama nyie waimba kwaya.Israel nao si iwateke wapalestina na kwenda kuwafungia yaani jino kwa jino, huwezi kujadiliana na magaidi wanaoteka hadi vibibi vizee vya miaka 90 na watoto wadogo.