Hamas yasema haitawaachilia tena mateka hadi Israel ikomeshe vita

Hamas yasema haitawaachilia tena mateka hadi Israel ikomeshe vita

Hamas hajampa mtu ombi
Kama anataka watu wake akawakomboe mwenyewe
Kama hawezi aendelee na vita mpaka kieleweke
Kama anataka watu wake apewe inatakiwa afate masharti ya wanaume wa hamas wanataka nn
Hamas kamatieni hapo hapo
Israel amesha sacrifice, hahitaji tena mateka ndio maana anaendeleza mashambulizi. Hamas wanataka mashambulizi yaishe kwa kisingizio cha kuwaachia mateka
 
hiki ulichoandika ni sawa tu na zile hadithi zenu za paukwa pakawa
Wewe unacho andika ni zile ngojera za kanisani tu, nenda na wewe ukawasaidie Israel sema umenda kusomea kilimo 😄

Israel kakimbiza Kikoso cha Golan kaona moto wa Hamasi ni balaa
 
Wewe unacho andika ni zile ngojera za kanisani tu, nenda na wewe ukawasaidie Israel sema umenda kusomea kilimo 😄

Israel kakimbiza Kikoso cha Golan kaona moto wa Hamasi ni balaa
Ustaadhi kuna nafasi za manesi Saudia Arabia serikali ya mama samia imesema watu waombe, je mmejipanga au baadae ndo mtaanza kulialia humu jukwaani kuwa zilikuwa fursa za waislamu lakini wagalatia wengi wameenda kupiga kazi🤣😂!
 
Hivi kumbe ni kweli wapalestina 20K wameuwawa mi nilidhani ni propaganda tu za vyombo vya habari nilidhani waliouwawa ni wachache sana maana hamas wanailinda sana Gaza. Dah polen sana ustaadh
Tushapoa kila nafsi itaonja umauti nisuala la muda
Ndio wazayuni wanachokiweza tu kuua watu wasiokua na hatia
Hawana jengine wanaloliweza maana kupambana na hamas wameshindwa
Israel amesha sacrifice, hahitaji tena mateka ndio maana anaendeleza mashambulizi. Hamas wanataka mashambulizi yaishe kwa kisingizio cha kuwaachia mateka
Hamas hana kisingizio kama mnaweza endeleeni na mapambano mbona simple tu
Hamas kamatieni hapo hapo mpaka magaidi waondoke ukanda wa ghaza kinguvu
 
Tushapoa kila nafsi itaonja umauti nisuala la muda
Ndio wazayuni wanachokiweza tu kuua watu wasiokua na hatia
Hawana jengine wanaloliweza maana kupambana na hamas wameshindwa

Hamas hana kisingizio kama mnaweza endeleeni na mapambano mbona simple tu
Hamas kamatieni hapo hapo mpaka magaidi waondoke ukanda wa ghaza kinguvu
Pole sana Ustaadhi, kuna nafasi za manesi Saudia Arabia serikali ya mama samia imesema watu waombe, je mmejipanga au baadae ndo mtaanza kulialia humu jukwaani kuwa zilikuwa fursa za waislamu lakini wagalatia wengi wameenda kupiga kazi🤣😂!
 
Ustaadhi kuna nafasi za manesi Saudia Arabia serikali ya mama samia imesema watu waombe, je mmejipanga au baadae ndo mtaanza kulialia humu jukwaani kuwa zilikuwa fursa za waislamu lakini wagalatia wengi wameenda kupiga kazi🤣😂!
Kwani wagalatia hua mwenda nchi ya wavaa kobadhi 🤣😀😀
 
Hamas ni wapumbavu
Screenshot_20231219_113054_com.facebook.katana.jpg
 
Pole sana , pia hauna huruma na wapalestina, Gaza imerudi nyuma miaka 30 iliyopita, kule Gaza kila nyumba ni kilio na kusaga meno, karibia kila familia kuna msiba , nyumba zimeharibika, vita ikiendelea ndani ya miezi 6 tutaongea mengine, tupazee sauti hamas iachie mateka na Israel isitishe vita, ona wale hamas wanavyovuliwa nguo na kudakwa na wanajeshi wa Israel ! Huna hata huruma, ni mjinga pekee anaweza kuamini Hamas wataishinda Israel na wanaweza kumuondoa Israel pale middle East, hata kama nchi za kiarabu zikiungana ili kuifuta Israel hawezi kukubali nchi iteketee, lazima alipue boom la nuclear, tuombe vita iishe.
Screenshot_20231219_113054_com.facebook.katana.jpg

UMEISHA PATA BWANA EWE KAFIRI??
 
Ustaadhi kuna nafasi za manesi Saudia Arabia serikali ya mama samia imesema watu waombe, je mmejipanga au baadae ndo mtaanza kulialia humu jukwaani kuwa zilikuwa fursa za waislamu lakini wagalatia wengi wameenda kupiga kazi🤣😂!
We kweli kichaa sa hizo position si kila mtu na bahati yake, sisi tunaongelea nini wewe umerukia nini 😄
 
Mlituaminisha kuwa Israel hawawezi vita ya ardhini uso kwa uso, lakini sasa hivi Hamas wanaomba vita viishe kabisa ili wawaachie mateka. Sasa kama Hamas wana uwezo wa kupambana ardhini, si wangekubaliana na wazo la kuendeleza vita ili waliteketeze jeshi la Israel?
Sasa kama hiyo vita ya ardhini anaiweza mbona ni mwezi wa tatu hajaishinda Hamas na kuwakomboa mateka?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Israel anapigana vita vya kistaarabu sana, mpaka anatangaza wapi anapiga na njia salama za kutokea ni zipi. Hamas nao wanatumia njia hizi hizi wakiwa wamejificha nyuma ya raia.
Netanyahu aliweka wazi kuwa vita ikiisha haitakuwa tena ni ile Gaza watu wanaijua.
Kukomboa mateka siyo kipaumbele cha Israel, mataifa ya nje ambayo raia wake walitekwa pamoja na maandamano ya ndani ya ndugu.wa mateka ndio vinasababisha Israel kugusia kuachiliwa kwa mateka. Takea mwanzo Netanyahu alitaka kukharibu Gaza kwa ujumla wake.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Una uwelewa mdogo sina haja ya kubishana na ww.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Sasa kama hiyo vita ya ardhini anaiweza mbona ni mwezi wa tatu hajaishinda Hamas na kuwakomboa mateka?
Ni wapi Israel imesema lengo ni kuwakomboa mateka?
 
Leo hii Hamas inalilia kusitishwa vita tena na kiongozi wao anasafiri kabisaa tena anaenda Misri kwa ajili ya kuomba usuluhishi wa kusitisha vita😂🤣😁😆 kweli hamna mkate mgumu mbele ya chai🤣😂😅.Yaan Hamas hataki tena vita vya kupigania uhuru 😆🤣😂 dah mbona kajichokea mapema sanaa si wapambane mpake wapate ardhi wanayodai yao😆🤣😂😁
Naona mke wa mchungaji unacheeeeka kwa raha zako.
Una imani na wewe ni muisraeli japo kuwa una sura ka Dr remi ongala.
Hii ndio shida ya kafiri.
Myahudi hata ukimkuta chumbani kwa mkeo lzm ushangilie , ukiulizwa utasema anamtoa pepo
Kisha utalaumu waislamu kumtupia pepo.


Utumwa wa akili Africa hautokwisha hasa kwa wagalatia.
 
Israel nao si iwateke wapalestina na kwenda kuwafungia yaani jino kwa jino, huwezi kujadiliana na magaidi wanaoteka hadi vibibi vizee vya miaka 90 na watoto wadogo.
Kwa akili ya mgalatia lzm udhani kuwa hamas ni kama nyie waimba kwaya.
We unadhani hao mabwana zako hawatamani kufanya hivyo? Sasa jiulize kwanini hawafanyi.
Nyie waimba kwaya hizo mimba changa za wachungaji zinawapa tabu mno.
Ukute ulidanganywa na mchungaji kuwa anakuwekea maji ya upako kutoka Tel aviv. Kumbe mimba. 😁
 
Back
Top Bottom