pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
Alisikika akisema Hamas mmoja wa Tandale kwa Tumbo 🤣 🤣Hii kitu imezungumzwa sana mkuu, mtu ana miaka 19 ana nyota jeshini duuuh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alisikika akisema Hamas mmoja wa Tandale kwa Tumbo 🤣 🤣Hii kitu imezungumzwa sana mkuu, mtu ana miaka 19 ana nyota jeshini duuuh
Hiyo next movement watafanyia wapi? Wakati mpaka Israel atakapotoka Gaza kutakuwa hakuna jengo lolote lililosimama( siyo la shule wala la hospital). Yaani kifupi IDF haitoki mwaka huu wala mwakani hapo GazaHAMAS ni jina tu ila Movement yenyewe ni Ukombozi wa wapalestina.
Unaweza kupiga jina liitwalo HAMAS likapotea ila kesho movement itaendelea kwa jina jingine!
Ndio ujue kuwa zile zilikuwa porojo upgane vita siku 6 na nchi 5+ hila leo ukiwa na technology kubwa zaidi ya ile unashindwa na mgambo eneo kama kigamboniZile Swagga za vita ya siku sita ziko wapi?
Swagga za rescue of Entebbe
Kwani sasa hv movement wanafanyia wapo na israel wapo hapo hapo gaza na makombora wanarusha na soldiers wanauwawa kila siku israel hamna kitu wamepambwa sana tpdf km huwa wanaenda israel kwenye trainning watafute sehemu nyingne ya kwenda jeshi linapgwa na mgambo mwezi 3 huu eneo km kigamboni limewashindaHiyo next movement watafanyia wapi? Wakati mpaka Israel atakapotoka Gaza kutakuwa hakuna jengo lolote lililosimama( siyo la shule wala la hospital). Yaani kifupi IDF haitoki mwaka huu wala mwakani hapo Gaza
Sio mchezo ni balaa hiyo ndio maana ya vita,hamas wasubiri majibu wasianze kulalamika kipondo kikikoleaAskari wa Israel walikuwa karibu na Jengo, huku wamehifadhi mabomu ya ardhini. Vijana wa HAMAS wakawaweka katika rada zao, wakawashusia makombora ya RPG yaliyopelekea mlipuko na Askari takriban 21 wa Israel wakafariki. Hii imetokea jana tarehe 22/1/2024 na Imeripotiwa leo na gazeti la Israel la Jerusalem Post.
source: Hamas causes buildings collapse - 21 IDF soldiers dead, several injured
------------------------------------------------------------------------------------------------------
Hamas forces on Monday fired a rocket propelled grenade on multiple adjacent structures which, along with landmines which the IDF forces had collected and brought into the buildings, caused a total collapse, which in turn killed 21 soldiers and injured several others.
The incident occurred around 4:00 p.m. in al-Muasi in central Gaza.
In addition, a separate rocket propelled grenade was fired on an IDF tank which killed two IDF soldiers and injured two others.
It was unclear if the soldiers had violated procedures by bringing the landmines into the structures with them and also unclear how much the collapse of the building was caused by the RPG versus the secondary landmines explosions.
The IDF forces who were harmed were mostly reservists assigned to clear certain areas of dangerous items, such as mines.
Rescue activities went on for hours with the brigade commander having been on site from the start of the incident.
It was unclear what happened to the Hamas attackers.
The IDF released the names of 10 soldiers of the 21 that were killed.
Maj.-Gen. (res.) Matan Lazar, 32, from Haifa, a soldier from the IDF's 6261 Battalion, 261's Brigade.
Maj.-Gen. (res.) Hadar Kapeluk, 23, from Moshav Mevo Beitar, and was a Class Commander in the IDF's 8208 Battalion, 261st Brigade.
Sgt.-Maj. (res.) Sergey Gontmaher, 37, from Ramat Gan, who was a soldier in the IDF's 8208 Battalion, 261st Brigade.
Maj. (res.) Elkana Yehuda Sfez, 25, from Kiryat Arba, was a soldier in the 8208 Battalion, 261st Brigade.
St.-Sgt. (res.) Yoval Lopez, 27, from the settlement Alon Shvut in the West Bank, a soldier in the 9206 Battalion, 205th Brigade.
Maj. (res.) Yoav Levi, 29, from the city Yehud-Monoson in central Israel, who was a soldier in Battalion 8208, 261st Brigade.
Maj. (res.) Nicholas Berger, 22, from Jerusalem, who was a soldier in the 8208 Battalion, 261st Brigade.
Maj. (res.) Cydrick Garin, 23, from Tel Aviv-Yafo, who was a soldier in the 8208 Battalion, 261st Brigade.
St.-Sgt. (res.) Rafael Elias Mosheyoff, 33, from the town Pardes Hanna-Karkur near Haifa, who was a soldier in the 6261 Battalion, 261st Brigade.
St.-Sgt. (res.) Barak Haim Ben Valid, 33, from Rishon Lezion, class commander in Battalion 6261, Brigade 261.
Waziri wa Ulinzi wa Yoav Gallant amethibitisha pia kutokea kwa tukio hilo la kuuawa kwa Wanajeshi 21 (Servicemen) wa Israel.Hii habari umeitoa kwenye chanzo gani ewe mhamas wa tukuyu?
Kama watakaa hapo muda mrefu wajue kuwa gharama ya kukaa hapo kwa muda huo ni vifo vingi. Kwa hiyo wana choice ya kuondoka waponye uhai wao au kufa. Hii vita imekuwa ngumu ghafla. Ushauri wangu wangetafuta njia bora ya exit kuliko kuendelea kuyaweka hatarini maisha ya vijana wadogo wenye miaka 20 - 32.Hiyo next movement watafanyia wapi? Wakati mpaka Israel atakapotoka Gaza kutakuwa hakuna jengo lolote lililosimama( siyo la shule wala la hospital). Yaani kifupi IDF haitoki mwaka huu wala mwakani hapo Gaza
Bado hamjasema yaaani [emoji23]Ila hawa HAMAS walijipanga mno na vita
Hata ikae miaka 50 ila itatoka tu sababu vita haitasimama yaaniHiyo next movement watafanyia wapi? Wakati mpaka Israel atakapotoka Gaza kutakuwa hakuna jengo lolote lililosimama( siyo la shule wala la hospital). Yaani kifupi IDF haitoki mwaka huu wala mwakani hapo Gaza
Wakiondoka inakuwa safe heaven ya ugaidi. Mojawapo ya garama za vita ni loss of lives. Its just a matter of comparison anachokufanya Israel kila siku kinaiimalisha Hamas au kinaidhoofisha? AMINI NAKUAMBIA HAMAS KUNA SIKU IJAYO ISIYO NA JINA WATAKUWA HAWANA HATA RISASI HATA MOJA....UKI FIRE RISASI ZINAPUNGUA KWENYE MAGAZINE NA HUNA ACCESS YA KU REPLACE HUKO KWENYE HANDAKI. RPG NA BUNDUKI NA VILIPUZI VYOTE VILIPITA KWA MAGENDO MPAKA WA RAFAL( GAZA NA MISIRI) KWA SASA NI TOTALLY IMPOSSIBLE. HATA ROLI LILILOBEBA MAJI YA KUNYWA LINAKAGULIWA MPAKA KWENYE AIR CLEANER.Kama watakaa hapo muda mrefu wajue kuwa gharama ya kukaa hapo kwa muda huo ni vifo vingi. Kwa hiyo wana choice ya kuondoka waponye uhai wao au kufa. Hii vita imekuwa ngumu ghafla. Ushauri wangu wangetafuta njia bora ya exit kuliko kuendelea kuyaweka hatarini maisha ya vijana wadogo wenye miaka 20 - 32.
Hasira zake Israel Kwa mauaji haya ya wanajeshi wake wajiandae wapalestina kufa zaidi....Sio mchezo ni balaa hiyo ndio maana ya vita,hamas wasubiri majibu wasianze kulalamika kipondo kikikolea
Upo sahihi kabisaa mkuuWakiondoka inakuwa safe heaven ya ugaidi. Mojawapo ya garama za vita ni loss of lives. Its just a matter of comparison anachokufanya Israel kila siku kinaiimalisha Hamas au kinaidhoofisha? AMINI NAKUAMBIA HAMAS KUNA SIKU IJAYO ISIYO NA JINA WATAKUWA HAWANA HATA RISASI HATA MOJA....UKI FIRE RISASI ZINAPUNGUA KWENYE MAGAZINE NA HUNA ACCESS YA KU REPLACE HUKO KWENYE HANDAKI. RPG NA BUNDUKI NA VILIPUZI VYOTE VILIPITA KWA MAGENDO MPAKA WA RAFAL( GAZA NA MISIRI) KWA SASA NI TOTALLY IMPOSSIBLE. HATA ROLI LILILOBEBA MAJI YA KUNYWA LINAKAGULIWA MPAKA KWENYE AIR CLEANER.
Utawapa wew RPG? Hemu achana na akili za Mudy tumia zako Zaki mbagala mbagala angalau kwa nusu saa. YAAANI WEW NA FAMILIA YAKO MNAONA HAMASI ATAIBUKA KIDEDEA KWENYE HII VITA?Hata ikae miaka 50 ila itatoka tu sababu vita haitasimama yaani
Punguza hasira, hata wakifa wote haikuzidishii wala haikupunguzii kitu, wale ni mashoga tu wananuka mavi.Haiwapunguzii seacefire hamas kama kubondwa kabondeka kweli kweli..........pale mpaka wainuke tena miaka 30 ya kubaka..............hapo ni majengo bado miundo mbinu mingine
Kwani hizo walizonazo niliwapa mie ewe mzayuniUtawapa wew RPG? Hemu achana na akili za Mudy tumia zako Zaki mbagala mbagala angalau kwa nusu saa. YAAANI WEW NA FAMILIA YAKO MNAONA HAMASI ATAIBUKA KIDEDEA KWENYE HII VITA?
Majibu mepesi yasiyo na logic. Hemu nikuulize ewe gaidi mnalilia chakula( ubwabwa na chapati) kwani zamani mlikuwa mnavipata wapi? Aliyezuia msipate maji,mafuta,dawa na chakula ndo atazuia msipate hata risasi ya bastola.Kwani hizo walizonazo niliwapa mie ewe mzayuni
Kwani wewe na familia yako mnadhani LGBTq nation's ndio wataibuka kidedea?