HAMAS yaua askari 21 wa Israel baada ya kuwashushia makombora mazito

HAMAS yaua askari 21 wa Israel baada ya kuwashushia makombora mazito

Ni kweli limetokea ila ndo hivyo gharama za vita
 
Majibu mepesi yasiyo na logic. Hemu nikuulize ewe gaidi mnalilia chakula( ubwabwa na chapati) kwani zamani mlikuwa mnavipata wapi? Aliyezuia msipate maji,mafuta,dawa na chakula ndo atazuia msipate hata risasi ya bastola.
Ngoja nikwambie ewe mzayuni kutokea gay nation
Hamas itapambana hata kiaka mia acheni kulialia
 
Askari wa Israel walikuwa karibu na Jengo, huku wamehifadhi mabomu ya ardhini. Vijana wa HAMAS wakawaweka katika rada zao, wakawashusia makombora ya RPG yaliyopelekea mlipuko na Askari takriban 21 wa Israel wakafariki. Hii imetokea jana tarehe 22/1/2024 na Imeripotiwa leo na gazeti la Israel la Jerusalem Post.

source: Hamas causes buildings collapse - 21 IDF soldiers dead, several injured

------------------------------------------------------------------------------------------------------

Hamas forces on Monday fired a rocket propelled grenade on multiple adjacent structures which, along with landmines which the IDF forces had collected and brought into the buildings, caused a total collapse, which in turn killed 21 soldiers and injured several others.

The incident occurred around 4:00 p.m. in al-Muasi in central Gaza.

In addition, a separate rocket propelled grenade was fired on an IDF tank which killed two IDF soldiers and injured two others.


It was unclear if the soldiers had violated procedures by bringing the landmines into the structures with them and also unclear how much the collapse of the building was caused by the RPG versus the secondary landmines explosions.

The IDF forces who were harmed were mostly reservists assigned to clear certain areas of dangerous items, such as mines.

Rescue activities went on for hours with the brigade commander having been on site from the start of the incident.

It was unclear what happened to the Hamas attackers.


The IDF released the names of 10 soldiers of the 21 that were killed.

Maj.-Gen. (res.) Matan Lazar, 32, from Haifa, a soldier from the IDF's 6261 Battalion, 261's Brigade.

Maj.-Gen. (res.) Hadar Kapeluk, 23, from Moshav Mevo Beitar, and was a Class Commander in the IDF's 8208 Battalion, 261st Brigade.

Sgt.-Maj. (res.) Sergey Gontmaher, 37, from Ramat Gan, who was a soldier in the IDF's 8208 Battalion, 261st Brigade.

Maj. (res.) Elkana Yehuda Sfez, 25, from Kiryat Arba, was a soldier in the 8208 Battalion, 261st Brigade.

St.-Sgt. (res.) Yoval Lopez, 27, from the settlement Alon Shvut in the West Bank, a soldier in the 9206 Battalion, 205th Brigade.

Maj. (res.) Yoav Levi, 29, from the city Yehud-Monoson in central Israel, who was a soldier in Battalion 8208, 261st Brigade.

Maj. (res.) Nicholas Berger, 22, from Jerusalem, who was a soldier in the 8208 Battalion, 261st Brigade.


Maj. (res.) Cydrick Garin, 23, from Tel Aviv-Yafo, who was a soldier in the 8208 Battalion, 261st Brigade.

St.-Sgt. (res.) Rafael Elias Mosheyoff, 33, from the town Pardes Hanna-Karkur near Haifa, who was a soldier in the 6261 Battalion, 261st Brigade.

St.-Sgt. (res.) Barak Haim Ben Valid, 33, from Rishon Lezion, class commander in Battalion 6261, Brigade 261.
Jeshi la Israel limesema ni wanajeshi 24 kwa mpigo wametangulizwa ahera.
 
Hiyo next movement watafanyia wapi? Wakati mpaka Israel atakapotoka Gaza kutakuwa hakuna jengo lolote lililosimama( siyo la shule wala la hospital). Yaani kifupi IDF haitoki mwaka huu wala mwakani hapo Gaza
Kwakweli Israel wanatapatapa tu ndiyo maana wanapiga na kuuwa watoto wakati Hamas wanaua wanajeshi wenye mafunzo.
 
Wakiondoka inakuwa safe heaven ya ugaidi. Mojawapo ya garama za vita ni loss of lives. Its just a matter of comparison anachokufanya Israel kila siku kinaiimalisha Hamas au kinaidhoofisha? AMINI NAKUAMBIA HAMAS KUNA SIKU IJAYO ISIYO NA JINA WATAKUWA HAWANA HATA RISASI HATA MOJA....UKI FIRE RISASI ZINAPUNGUA KWENYE MAGAZINE NA HUNA ACCESS YA KU REPLACE HUKO KWENYE HANDAKI. RPG NA BUNDUKI NA VILIPUZI VYOTE VILIPITA KWA MAGENDO MPAKA WA RAFAL( GAZA NA MISIRI) KWA SASA NI TOTALLY IMPOSSIBLE. HATA ROLI LILILOBEBA MAJI YA KUNYWA LINAKAGULIWA MPAKA KWENYE AIR CLEANER.
Mchambuzi wa siasa uchwara ukijitahidi kuchambua matembele.

Waziri mkuu mwenyewe wa Israel amekiri hivi vita kuwa vya muda mrefu kwasababu anajua Hamas huwezi kuwazuia kuingiza silaha wala kutengeneza silaha zao.

Hawa jamaa wanatengeneza silaha zao wenyewe kwa viwanda bubu sasa utawazuia vipi kuendelea kutengeneza silaha?

Wale ni wanaume kamili hawatishwi na jeshi la mashoga kama Israel hadi wanafunga pampas ili wasijinyee maana wamefumuliwa marinda yote.
 
Utawapa wew RPG? Hemu achana na akili za Mudy tumia zako Zaki mbagala mbagala angalau kwa nusu saa. YAAANI WEW NA FAMILIA YAKO MNAONA HAMASI ATAIBUKA KIDEDEA KWENYE HII VITA?
Kwahiyo kwa akili zako unadhani ipo siku vita vya Israel na Palestina vitaisha?

Hamas ni ideology inayoendelea vizazi na vizazi. Ulishawahi kuona mtu anaua ideology?

Utauwa watu kadhaa waliopo sasahivi ila kwakuwa Hamas ni ideology watoto wanaozaliwa wanalishwa ideology ile ile na mapambano yanaendelea hadi tamati ya dunia.
 
Majibu mepesi yasiyo na logic. Hemu nikuulize ewe gaidi mnalilia chakula( ubwabwa na chapati) kwani zamani mlikuwa mnavipata wapi? Aliyezuia msipate maji,mafuta,dawa na chakula ndo atazuia msipate hata risasi ya bastola.
Kwa akili zako Palestina ategemee chakula cha Mazayuni?

Mwezi wa tatu huu hakuna maji, chakula wala umeme lakini Mazayuni bado hawaelewi washike lipi waache lipi kwa vipigo wanavyopitia.

Jana familia za Mazayuni ambao ndugu zao wametekwa na Hamas walivamia Bunge la Israel vikao vikiwa vinaendelea wakidai ndugu zao waachiliwe na hawaoni juhudi zozote wala mafanikio ya jeshi la Israel kuwakomboa.
 
Wamefyekwa wote hawa
20240123_160001.jpg
 
Ngoja nikwambie ewe mzayuni kutokea gay nation
Hamas itapambana hata kiaka mia acheni kulialia
Nani analia lia? Wiki hii wapalestina wangapi wameuwawa? Na Waisrael wangapi wameuwawa? Mind you leo Jumanne. KAZI KUJIPA MOYO TU. Kufikia Jumapili wiki hii jumlisha idadi ya wapalestina na Waisrael ndo utajua muelekeo wa vita huko tunakoenda.
 
Nani analia lia? Wiki hii wapalestina wangapi wameuwawa? Na Waisrael wangapi wameuwawa? Mind you leo Jumanne. KAZI KUJIPA MOYO TU. Kufikia Jumapili wiki hii jumlisha idadi ya wapalestina na Waisrael ndo utajua muelekeo wa vita huko tunakoenda.
Magaidi ya kiisrahel mpaka yaondoke ghaza yatafyekwa sana tu
 
Back
Top Bottom