HAMAS yaua askari 21 wa Israel baada ya kuwashushia makombora mazito

Ni vijana wadogo sana ndio maana wanachapika kirahisi, walitakiwa waajiri wababe walioshiba na wenye miaka 40+, ni bora wangeomba usaidizi kwa nchi za kiafrika
 
HAMAS ni jina tu ila Movement yenyewe ni Ukombozi wa wapalestina.
Unaweza kupiga jina liitwalo HAMAS likapotea ila kesho movement itaendelea kwa jina jingine!
Hiyo next movement watafanyia wapi? Wakati mpaka Israel atakapotoka Gaza kutakuwa hakuna jengo lolote lililosimama( siyo la shule wala la hospital). Yaani kifupi IDF haitoki mwaka huu wala mwakani hapo Gaza
 
Hiyo next movement watafanyia wapi? Wakati mpaka Israel atakapotoka Gaza kutakuwa hakuna jengo lolote lililosimama( siyo la shule wala la hospital). Yaani kifupi IDF haitoki mwaka huu wala mwakani hapo Gaza
Kwani sasa hv movement wanafanyia wapo na israel wapo hapo hapo gaza na makombora wanarusha na soldiers wanauwawa kila siku israel hamna kitu wamepambwa sana tpdf km huwa wanaenda israel kwenye trainning watafute sehemu nyingne ya kwenda jeshi linapgwa na mgambo mwezi 3 huu eneo km kigamboni limewashinda
 
Sio mchezo ni balaa hiyo ndio maana ya vita,hamas wasubiri majibu wasianze kulalamika kipondo kikikolea
 
Hiyo next movement watafanyia wapi? Wakati mpaka Israel atakapotoka Gaza kutakuwa hakuna jengo lolote lililosimama( siyo la shule wala la hospital). Yaani kifupi IDF haitoki mwaka huu wala mwakani hapo Gaza
Kama watakaa hapo muda mrefu wajue kuwa gharama ya kukaa hapo kwa muda huo ni vifo vingi. Kwa hiyo wana choice ya kuondoka waponye uhai wao au kufa. Hii vita imekuwa ngumu ghafla. Ushauri wangu wangetafuta njia bora ya exit kuliko kuendelea kuyaweka hatarini maisha ya vijana wadogo wenye miaka 20 - 32.
 
Wakiondoka inakuwa safe heaven ya ugaidi. Mojawapo ya garama za vita ni loss of lives. Its just a matter of comparison anachokufanya Israel kila siku kinaiimalisha Hamas au kinaidhoofisha? AMINI NAKUAMBIA HAMAS KUNA SIKU IJAYO ISIYO NA JINA WATAKUWA HAWANA HATA RISASI HATA MOJA....UKI FIRE RISASI ZINAPUNGUA KWENYE MAGAZINE NA HUNA ACCESS YA KU REPLACE HUKO KWENYE HANDAKI. RPG NA BUNDUKI NA VILIPUZI VYOTE VILIPITA KWA MAGENDO MPAKA WA RAFAL( GAZA NA MISIRI) KWA SASA NI TOTALLY IMPOSSIBLE. HATA ROLI LILILOBEBA MAJI YA KUNYWA LINAKAGULIWA MPAKA KWENYE AIR CLEANER.
 
Upo sahihi kabisaa mkuu
 
Hata ikae miaka 50 ila itatoka tu sababu vita haitasimama yaani
Utawapa wew RPG? Hemu achana na akili za Mudy tumia zako Zaki mbagala mbagala angalau kwa nusu saa. YAAANI WEW NA FAMILIA YAKO MNAONA HAMASI ATAIBUKA KIDEDEA KWENYE HII VITA?
 
Haiwapunguzii seacefire hamas kama kubondwa kabondeka kweli kweli..........pale mpaka wainuke tena miaka 30 ya kubaka..............hapo ni majengo bado miundo mbinu mingine
Punguza hasira, hata wakifa wote haikuzidishii wala haikupunguzii kitu, wale ni mashoga tu wananuka mavi.
 
Kwani hizo walizonazo niliwapa mie ewe mzayuni
Kwani wewe na familia yako mnadhani LGBTq nation's ndio wataibuka kidedea?
Majibu mepesi yasiyo na logic. Hemu nikuulize ewe gaidi mnalilia chakula( ubwabwa na chapati) kwani zamani mlikuwa mnavipata wapi? Aliyezuia msipate maji,mafuta,dawa na chakula ndo atazuia msipate hata risasi ya bastola.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…