Wapuuzi Sana Hao , hivyo vyeo wanapeana kama wanavyoana mashoga humo kwenye hilo gengeIsrael wana vituko sana yaani maj general ana miaka 23 hilo jeshi kaingia lini hayo mafunzo mpk kamaliza muda gani ndio maana wana chapika tu hawana uzoefu wowote
Kumbe na wateule huwa wanakufa ?Nimeshakuambia hakuna vita isiyokuwa na vifo Wala majeruhi huko Russia kwenyewe vifo na majeruhi havikosekana tena yy anapiga kutokea mbali sembuse IDF walioamua kuingia nyumbn kwa magaidi?
IDF wanasonga mbele ndio, Niko naangalia Aljazeera muda huu wanasema Khan Younis ngome kuu ya Hamas imezungukwa na IDF, vita vilianzia Southern Israel watu wakala kichapo wanakimbilia Gaza wanaume wakawafuata huko huko wakaanzia north Gaza wamesafisha wakaja Gaza City msako ukaendelea na sasa watabe wapo Khan Younis southern Gaza kama sio kusonha mbele ni nini?
Pumbav revenge Kwa kuua wanawake ,wazee na vichangaSubili na revenge yake. Hao ni 21 subili after myth
Ya kwamba ww kilaza kutoka nchi inayo zalisha umeme wa megawatt 1600 uwe na tv, ila mwananchi wa Iran inchi inayo zalisha umeme wa megawatt zaidi ya 150,000 wakose tv ?au unadhani Iran kuna mgao wa umeme na maji, na shule hazina matundu ya vyoo kama linchi lako la hovyo?Huko irani kuna kijiji wananchi hawajawai kuangalia TV......ndio pesa wakazigawe bure kwa hamas kisa mabikira 72 yenye macho kama mayai??punguani ni wewe tu sio watu wote
Kabisa hata wakati ule israhell kupitia idf walipo dai kuigawa ghaza pande mbili pia aljazeera walitangaza ila kupitia kuwanukuu idfKwa hiyo hiyo Al Jazeera unaitizama ww mwenyewe tu wengine hatuna tv ndani kwetu?
Kuizunguka Khan yunis ni kwa mujibu wa jeshi la Israel na sio kwa mujibu wa Aljazeera , Aljazeera wao wanaripoti wanacho ambiwa.
Vita yoyote ile wanajeshi lazima wafe! Hiyo ya wateule umeweka wewe sasa..Kumbe wateule wa mungu nao huwa wanakufa ? Nikadhani risasi huwa zina wapiga na kudunda.
Naona na huyo punga mwenzako The Icebreaker anajichekesha kama amekalia mpododo
Inakuwaje Maj Gen ana miaka 23!
Hawa askari ni kifaru chao kilikanyaga bomu walilotega wenyewe IDF, acha umbea
Ndio gharama za vita! Au unadhani vita ni lelemama?!Kama ninavyokuona kijana uliyebandikwa papuchi ukiwa jerusalemu ya kigogo unaogopa kwenda kuchukuwa maiti za wabandikwa papuchi wenzako zinazoliwa na majibwa
View attachment 2881097
Gharama Za vita ni kubandikana papuchi na kuliwa na majibwaπππππππNdio gharama za vita! Au unadhani vita ni lelemama?!
Tulia hivyo hivyo magaidi lazima mshughulikiweGharama Za vita ni kubandikana papuchi na kuliwa na majibwaπππππππ
Tushughulikiwe na waliobandikana papuchi na wanaoliwa na majibwa? Mtakula Al yassin Za kwenye makalio mkaliwe na majibwa Kama wenzenuππππππTulia hivyo hivyo magaidi lazima mshughulikiwe
Sasa hivi tena wayahudi sio wateule tena?Vita yoyote ile wanajeshi lazima wafe! Hiyo ya wateule umeweka wewe sasa..
Jipige kifua sema mimi ndeziHii habari umeitoa kwenye chanzo gani ewe mhamas wa tukuyu?
Hawa Wanamgambo wa Israeli wataisha maana wanachapwa shaba kama nyumbuAskari wa Israel walikuwa karibu na Jengo, huku wamehifadhi mabomu ya ardhini. Vijana wa HAMAS wakawaweka katika rada zao, wakawashusia makombora ya RPG yaliyopelekea mlipuko na Askari takriban 21 wa Israel wakafariki. Hii imetokea jana tarehe 22/1/2024 na Imeripotiwa leo na gazeti la Israel la Jerusalem Post.
source: Hamas causes buildings collapse - 21 IDF soldiers dead, several injured
------------------------------------------------------------------------------------------------------
Hamas forces on Monday fired a rocket propelled grenade on multiple adjacent structures which, along with landmines which the IDF forces had collected and brought into the buildings, caused a total collapse, which in turn killed 21 soldiers and injured several others.
The incident occurred around 4:00 p.m. in al-Muasi in central Gaza.
In addition, a separate rocket propelled grenade was fired on an IDF tank which killed two IDF soldiers and injured two others.
It was unclear if the soldiers had violated procedures by bringing the landmines into the structures with them and also unclear how much the collapse of the building was caused by the RPG versus the secondary landmines explosions.
The IDF forces who were harmed were mostly reservists assigned to clear certain areas of dangerous items, such as mines.
Rescue activities went on for hours with the brigade commander having been on site from the start of the incident.
It was unclear what happened to the Hamas attackers.
The IDF released the names of 10 soldiers of the 21 that were killed.
Maj.-Gen. (res.) Matan Lazar, 32, from Haifa, a soldier from the IDF's 6261 Battalion, 261's Brigade.
Maj.-Gen. (res.) Hadar Kapeluk, 23, from Moshav Mevo Beitar, and was a Class Commander in the IDF's 8208 Battalion, 261st Brigade.
Sgt.-Maj. (res.) Sergey Gontmaher, 37, from Ramat Gan, who was a soldier in the IDF's 8208 Battalion, 261st Brigade.
Maj. (res.) Elkana Yehuda Sfez, 25, from Kiryat Arba, was a soldier in the 8208 Battalion, 261st Brigade.
St.-Sgt. (res.) Yoval Lopez, 27, from the settlement Alon Shvut in the West Bank, a soldier in the 9206 Battalion, 205th Brigade.
Maj. (res.) Yoav Levi, 29, from the city Yehud-Monoson in central Israel, who was a soldier in Battalion 8208, 261st Brigade.
Maj. (res.) Nicholas Berger, 22, from Jerusalem, who was a soldier in the 8208 Battalion, 261st Brigade.
Maj. (res.) Cydrick Garin, 23, from Tel Aviv-Yafo, who was a soldier in the 8208 Battalion, 261st Brigade.
St.-Sgt. (res.) Rafael Elias Mosheyoff, 33, from the town Pardes Hanna-Karkur near Haifa, who was a soldier in the 6261 Battalion, 261st Brigade.
St.-Sgt. (res.) Barak Haim Ben Valid, 33, from Rishon Lezion, class commander in Battalion 6261, Brigade 261.